Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

haha hahaaa matakoni tena ...warumi "" acha masihara basiiii"""
 
Sawa,
Basi ieleweke hivi,
Kirusi cha HIV hakipo kwani hakijawahi kuonekana.
Ila tufanye kuwa, umetambuliwa aina ya upungufu wa kinga mwilini ambao unauwezo wa kuambukiza toka mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya mwingiliano wa damu.
Yaani mtu mwenye huo upungufu wa kinga mwilini mwake anaweza kumwambukiza mtu asiye na huo upungufu kama damu yake itaingiliana na damu ya mtu huyo.
Hapa naona imekaa sawa sawa, pia tahadhari lazima itolewe kwa watu kujikinga na aina hiyo ya upungufu wa kinga mwilini inayoambukiza.
Upungufu huo wa kinga unaoambukiza tuuite kwa jina la AIDS, na ule wa kawaida usioambukiza tuuite HIV.
 
Nayajua mengi kwa kuwa nimempa kila mtu nafasi ya kuwa mwalimu wangu, kila mtu humifunza kwa yale atakayo, naheshimu kauli na mawazo ya wote kwa uzito sawa, LAKINI UELEWA NI JUU YANGU.
haha hahaa
 
hahaaa....deception ndio HIV mwenyew ...madoctor wameota mbawa...hahaa Jamaa yuko smart minde mnooo aiseee...daahh wajua mtu unafuatilia mjadala mpka waona bichwa la taka Ku bust ..aiseee
 
Inawezana ila kwa sababu zifuatazo
1. Kama huna michubuko
2. Hujafanya mara nyingi kurudiarudia.
3. Kutumia nguvu sana wakati wa tendo, kwani upelekea msuguano kuwa mkubwa na hivyo mishipa ya damu kutanuka na kusababisha kuruhu kuingia kwa majimaji au kutoka kwa majimaji.
4. Na wewe pia huna maambukizi
5. Physiological ya gland peni hasa njia yake ni nyembamba sana, na kupelekea uguma kidogo kwa majimaji kupenya tofauti na mwanamke.
Hizo ni sababu za kiutaalamu zaidi.
 
Pia usisahau kama hakuna majimaji ya kutosha kwa mwanamke kwa ajili ya misoften viginal chance ya kupata mchubuko ni mkubwa mkuu, ni hayo tu
 
Hakuna ugonjwa unaoitwa Ukimwi (AIDS) unaotokana na HIV. HIV no retrovirus ambae kapewa sifa za kinadharia kuwa anababisha AIDS ili watu wapige pesa ila kiuhalisia hakuna kitu kinaitwa HIV. Hapo nakubaliana na wewe.



Sasa turudi kwenye hoja zako. Unasema mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini anaweza kumuambukiza mtu kwa njia ya damu. Huo ni uongo. Hivi unajua stress za maisha zinaweza kumfanya mtu kuwa na upungufu wa kinga mwilini??? SASA naomba unieleweshe kwa namna gani mtu mwenye stress anaweza kumuambukiza upungufu wa kinga mwilini (ukimwi ) mtu mwingine kwa njia ya muingiliano wa damu.

Kila mtu ana ukimwi hata wewe hapo unao na mimi pia , au hujui???? Sasa kipi kinakutatiza mkuu.
 
Kwa hiyo kwa utafiti wako hakuna haja ya kutumia kinga za ki-Kondom wakati wa tendo la kujamiiana kama lengo lake ni kujifurahisha tu ?
Kondom ivaliwe kwa kuepuka mimba sizizoratibiwa, na magonjwa kama Kisonono, Kaswende pekee.

Na sio kujikinga na HIV wala AIDS ?

Hapa inabidi mkuu uombe kufanya Mhadhara wa Kitabibu ili ufafanue hili wazo lako mbele ya jopo la wataalamu wa Afya.
 
Condom ya kwanza ya mfumo wa rubber ilitengenezwa mwaka 1855 , unaweza ingia ukasoma history yake. Na haikutengenezwa kwa ajili ya HIV. Mpaka hapo utakuwa umepata jibu.
 
Condom ya kwanza ya mfumo wa rubber ilitengenezwa mwaka 1855 , unaweza ingia ukasoma history yake. Na haikutengenezwa kwa ajili ya HIV. Mpaka hapo utakuwa umepata jibu.
Kama mawazo yako ni muhimu kwa jamii yetu,
Omba Mhadhara wa Kitabibu ili uieleze Umma kuhusu hilo wazo lako.
Hapa unazumngumza na watu ambao hawana utaalam wa kutosha wa mambo ya kiafya na Kitabibu
Na unaweza kuwapotosha watu wakaacha tahadhali ya kuchukua dhidi ya maambukizi ya Ukimwi.
Ili uaminike nenda Wizara ya Afya uwaeleze kuhusu hilo wazo lako la kuwa Virus HIV hayupo wala AIDS haipo, na juhudi za mashirika kama ya TACAIDS hazina maana.
Ukiweza kudhibitisha hilo wazo lako huko kunakohusika ndipo hapo sisi tutakuamini.
Hapa hatuwezi kukuamini kwani hatujui taaluma yako, wala mashiko ya utafiti wako.
Inawezekana unataka kupotosha umma tu.
Nenda kathibitishe hoja yako Wizara ya Afya kama ni ya ukweli itakubaliwa tu.
Sisi bado tunaamini mdudu HIV yupo na AIDS ipo.
Hadi hapo mashirika ya Afya yatakaposema vinginevyo.

" Ukweli huwa Ukweli Ukizungumzwa na Mhusika aliyebobea na kuaminiwa na umma juu ya jambo husika "
 
Yote uliyoandika yapo humu kwenye uzi huu nakuomba uanze kusoma tangu mwanzo wa thread hii mpaka hapa
 
Vipi kwa wale wanawake/wanaume waliotulia kwenye ndoa lakini wakaupata kutokana na wenza wao kutotulia,nao walistahili adhabu?

Hesabu niliyo nayo ni ndefu mno kwamba kama ulitulia kwenye ndoa yako ila mwenza akawa kiwembe, Muumba hataruhusu uupate. Kama uliupata, chunguza tu taratiibu, kuna siku katika hasira ya kutaka kumkomoa uliterereka ukatoka kwenye mstari. Kama ni me uliamua kumsulubu kwa kuingia lango lile la uani kwa hasira zako kuwa unamuadhibu. Kama ni ke, uliamua kuchoviwa na rafikiye kipenzi au mmoja wa wenye wake wenzio. Pole sana, Muumba wetu hana unyama huo.
 
Mm nadhani hii ni pointi ni muhimu na ni kubwa haiwezekani watu wakaugua na kudhoofika siku had siku na wakat huo mwanzo hawakuwa hivyo na akienda kupima anaambiwa ni + na anaweza kwenda hata hospitali hata zaidi ya tatu akaambiwa ni + na wewe ukaenda hizo hospitali 3/ukaambiwa ni( -) haiingii akilini mtu kusema hakuna huu ugonjwa ilhali tunawaona watu wanavyo fukiwa kila ck sasa tuseme ni nini kinachowaua kama c ngwengwe!!!! Cha msingi serikali zetu zifuatilie huu ugonjwa kwa undani zaid huko kwa wenzetu na kujua namna ya kuuondoa na kama kweli wazungu wanatudanganya bac tugundue bac ni nini kinachotuua kila siku naomba sana serikali zetu za Afrika zishirikiane katika kutatua hili suala la huu ugonjwa haraka inawezekana kweli wanatunganya kwa mitego fulani hawa wa magharibi.
 
naona rais trump amekusapoti bega kwa bega ktk hili la global warming kwani jamaa haamini hili jambo hadi ameitoa USA kwenye makubaliano yahusuyo global warming
 
Mkuu ungesema kwa kithwahili wengi wakaelewa maana hicho kizaramo ulichoandika hakieleweki bora ungeandika kisukuma.!
 
mkuu ..nafuatilia huu mjadala ambao sikiwahi kujua kama upo ...nakuhakikishia nitasoma "" kurasa zote bila kuacha hata kurasa moja...lakini nataka nikupe heshima yko aisee...shikamoo ..shikamooo..shikamooo .@deception
Napenda mtu kama wewe ambae una guts za kusoma huu uzi toka page ya kwanza hadi mwisho. Nikushauri usome na kudadisi kwa kina utapata jambo jipya.

Nasikitika wako baadhi wanarukia page ya mwisho na kudondosha comment, sulute kwa deception. Huu uzi uko humu toka 2013, usome mkuu utapata mengi sana.
 
Inawezekana kabisa ndugu! Kama kila anaelala na mwenye ukimwi bila condom angekuwa anaambukizwa basi tungekuwa tumeisha. Asilimia kubwa ya watu hawavai condom, na wengi wanafanya ngono kama hobby, all in all your theory is right Saint H.Jr
Neno zuri
 
asante chief "" unapousoma mjadala kuanzia mwanzo ndio unapata kung'amua mambo mengi kwakina ""...nashukuru sana kwa pongezi"""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…