Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Bravo hta kaka yangu na shangazi waligoma na mpaka leo wandunda mwaka 6 na 4 huu
 
Your luck. Kuna watu hawana HIV receptor so hata wakuinject HIV virus watakuwa chakula chako tu mkuu .
 
Deception nimekuelewa sanaa broo na nna shukuru kwa kutufungua asee binafsi nlikuwa mguu nje kuhusu ukimwi hususan pale nilipokuja kusikia kuwa Huyo virus feki ni man made... daahh nikasema kuna people zinauwezo wa kukipa roho kiumbe...??
Anyway maswali mengi yameulizwa nikihisi ni magumu lakin man umeyajibu kirahisi sanaa kiasi Hata mm cna cha kuuliza zaid tuu naomba unisaidie hapa mkuu na me nitembee kifua mbele na nielimishe wengine kadri nitakavyo jaaliwa...



1.Huyu retrovirus najua yupo na wao ndo wanamsingizia kuwa anasababisha ukimwi feki asa je hyu virus anaambukizwaje au katika mazingira gan mtu unaweza kumpata....?? Kiasi kupimwa na kukutwa una kinga dhidi yake ambayo wao ndo wanaiterm as ukimwi...??

2.Je akikuingia hyu virus the ukamdhibiti ndo unakuwa vaccinated against it au vp...??

Sina swali zaid...
Ila ningeoendekeza yafuatayo.....


1. Naona una nia ya thabbit kabbisa kuukomboa huu umma so ingependeza zaid na nnaomba ungetengeneza audio voice kuelezea hii kitu vizur na kwa lugha nyepesi tu ili hata kwa yule asiyekuwa na elim hata ya shule aelewe ilimrad ajue tuu kiswahili....

2.No 1 will left katika huu ulimwengu na me nnajua haya yote yamefanyika kwa lengo flan hv....
For my side naona its all about ILLUMINATE na FREEMANSON kupunguza watu na kuweza kuitawala dunia.... Apart from hlo coz hata ukiangalia condom,uzazi wa mpango na mengine kibbao.

So pls man usivunjike moyo elimisha man as much as you can na kwa kadri alivokuwezesha Allah naiman unafungu lako.....
Deception
 
Asante mkuu Deception hakika nimepata maarifa mapya Mungu akubariki uendelee na moyo huo huo.
 
Mi mmoja wapo,tena nina afya huwezi jua kama situmii na Nina zaid ya miaka 20
 
Mkuu nakushauri uingie kwenye dozi haraka iwezekanavyo....
 
Hivi Mzee baba aids ilipoingia tz kupitia Uganda kulikua hakuna ARV mbona watu walipukutika sana
 
My dad is HIV positive.. But it took two years my mom to realize it.. And still now she's negative.. Thou nowadays they're using condoms... But earlier they didn't used it.. Dadii he was just very carefully protecting her wife without my mom noticing..

Rafiki yangu kipenz alinipa hiki Kisa cha ukweli kuhusu wazazi wake
 
Usije ujajaribu.Minakuomba uache zinaaa
 
Hakika unaweza kwenda peku na usiupate ili mradi usiwe na manjonjo mengi kitandani na kikubwa ni kumwandaa tu

Samahani sana jingus;
Hayo manjonjo mengi kitandani ni yapi?? Wataka kutuambia kuwa "Kifo cha mende tu" ndio ruksa na ku pump kama baiskeli kujaza upepo basi?? Nina mashaka na wewe na ukiendeleza utoto huo, jamaa atatoka nje leo leo. Akirudi wewe utapewa kadawa tu kwa wiki mara moja.
Mwanamke jifunze kila aina ya utundu kitandani bora chunga jicho lisiguswe tu. Wake zetu leo wanatutoa mijasho na hatujaupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…