Si kweli.Ukiwa na nia ya kujua ukweli utajua tu.Kuna mifano mingi ipo ya watu wenye HIV na hawatumii ARVs na bado CD4 zao ziko juu,tena ni wengi hata humu wapo watu wanatoa ushuhuda.
Mimi sikubaliani kwamba HIV/AIDS is real.AIDS ndio real na hata hiyo AIDS haitishi,ukibadilisha lifestyle tu uko safi na wakati mwingine unakuwa na AIDS wewe mwenyewe hujui mpaka uumwe mfano TB ndio utagundua,lakini wakati mwingine AIDS inatoweka bila wewe kujua,ni utaratibu wa maisha tu ambao nilishazungumzia haya.
Lakini napinga mpaka mwisho wa maisha yangu kwamba hakuna AIDS inayosababishwa na HIV.HIV hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili,nina scientific evidence na mifano hai kuthibitisha hili.Wewe umeanzia mwishoni huu uzi.
Na ndio maana nasema ili mtu aelewe ukweli kuhusu jambo hili inabidi apitie hatua zote nilizotaja mwanzoni.Halafu inabidi ajue kwamba hii ni biashara ya watu fulani,HIV/AIDS haukutokea kwa bahati mbaya,ulipangwa.Ninaposema ulipangwa sina maana HIV ametengenezwa,la hasha,bali mfumo mzima wa kutunga ugonjwa huu HEWA ndio umepangwa.
Watu hawajui;HIV ni retrovirus,retrovirus huyu amepachikwa jina hili na watu wawili tu ambao ni Robert Gallo na Luc Montaigner.Hawa ndio wamepewa hati miliki ya ugunduzi.Wamekusanya data zao wakachanganya zikawa zinatofautiana lakini pamoja na hayo wakaamua watoe jina moja la mdudu huyu HEWA ambalo ni HIV.Sasa hakuna retrovirus yoyote duniani mwenye uwezo wa kushusha kinga.
Unahitaji kujua mambo mengi sana kwa kuwa kila pembe ya ugonjwa huu feki kuna very tricky deception.Kama huelewi pembe zote hizo basi kila wakati utaendelea kujishawishi kwamba HIV/AIDS is real kila kukicha.Hwa jamaa wana akili bwana.