Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Yani bado narudi pale kwamba ndugu yetu kauliza mambo ya msingi sana. Na yawezekana umeshajibu huko awali na post ni nyingi, ila unazijua zako. Ishu ni kwamba, Kwa nini Bukoba walikufa sana kuanzia baba, mama, watoto, mahawara, n.k? tena kwa dalili zile zile? Nasikia pia wapo watu wanaoitwa carrier (sijui kama ni sahihi). Hawa wanaambukiza tu ila hawaugui HIV.

Ninyi watu mnarudisha mjadala nyuma jamani,,kwann hamtumii muda wenu kidogo kupitia huu uzi kabla yakuchangia au kuuliza maswali?
 
Kuna watu wanasema mimi nina UKIMWI ndio maana nashabikia, sasa sijui nashabikia nini, yani mtu uwe na UKIMWI then upinge matumizi ya ARV? Ajabu, yani watu ni wajinga sana, na ndio maana watu wanaogopa kuchangia humu

Mimi nasema asilimia nyingi ya watu wanaosoma humu na kuogopa kuchangia ni wale watumiaji wa ARV wanaogopa wakiuliza humu Live watu watawajua, wanakimbilia PM. Unadhani kama mimi nina matatizo yangu nashindwa kwenda PM na kuongea kimya kimya? Why nije hadharani?

Wengine wanasema Deception kanihonga niwashawishi watu waamini uongo wake, mimi nimekuwa Mungu mpaka niwafanye watu waamini kitu?, yani yote hayo ni kuchanganyikiwa na kutafuta faraja. SIna undugu na deception nimemfahamu humu tu kama wengi wenu humu.

Ndo shida ya watanzania mkuu hawapendi kujifunza jambo jipya...kile walichokaririshwa darasan na wanachokiona mtaani hawawezi kuhoji hata kidogo...
 
Last edited by a moderator:
Ninyi watu mnarudisha mjadala nyuma jamani,,kwann hamtumii muda wenu kidogo kupitia huu uzi kabla yakuchangia au kuuliza maswali?

Tumeshaambiwa tuna UKIMWI wote tunaochangia humu, yani nacheka apa, wengine wanasema mimi na deception ni mtu mmoja, wengine wanasema deception ananipangia maswali nimuulize ili adanganye watu vizuri, wengine wanasema mimi mpumbavu, sasa nashindwa kuelewa si waje watuondoelee huo upumbavu kwa hoja zenye mashiko? Yani wapo uko PM wanasambaziana umbea na majungu kitu ambacho sio lengo la huu uzi
 
Ndo shida ya watanzania mkuu hawapendi kujifunza jambo jipya...kile walichokaririshwa darasan na wanachokiona mtaani hawawezi kuhoji hata kidogo...

Wananiita MPUMBAVU na majina yote mabaya, mimi nimekubali hadharani mpumbavu, wewe mwelevu unayesoma apa njoo utuondolee huu upumbavu kwa hoja zenye mashiko, sio kueneza majungu na umbea ambao mwisho wa siku hausaidii, maana kama umbea na majungu hakuna anayeniweza nadhani wananijua, ila apa tupo kwa ajili ya kueleweshana na sio majungu na ujuaji
 
Naomba kujua....wakati tunapochangia damu huwa wanapima ile damu mara ngap ili kujiridhisha haina maambukizi!? Ninachofahamu huwa inapimwa inapotolewa kwa mchangiaji,,je ule utaratibu wakumpima mtu angalau mara tatu kwa kipindi cha miezi 3 hapa hautumiki? Au wanapochukua damu huwa wanaiweka maabara na kuipima mara tatu kwa vipindi vya miezi mitatu mitatu ili kijiridhisha kwamba damu haina maambukizi? Au inapimwa mara moja tu na kwenda kuwekewa wagonjwa? Kama ni mara moja tu na vipimo vyenyewe huwa havitabiriki je hakuna uwezekano wakuongeza maambukizi kwa njia hii?
 
Kuna watu wanasema mimi nina UKIMWI ndio maana nashabikia, sasa sijui nashabikia nini, yani mtu uwe na UKIMWI then upinge matumizi ya ARV? Ajabu, yani watu ni wajinga sana, na ndio maana watu wanaogopa kuchangia humu

Mimi nasema asilimia nyingi ya watu wanaosoma humu na kuogopa kuchangia ni wale watumiaji wa ARV wanaogopa wakiuliza humu Live watu watawajua, wanakimbilia PM. Unadhani kama mimi nina matatizo yangu nashindwa kwenda PM na kuongea kimya kimya? Why nije hadharani?

Wengine wanasema Deception kanihonga niwashawishi watu waamini uongo wake, mimi nimekuwa Mungu mpaka niwafanye watu waamini kitu?, yani yote hayo ni kuchanganyikiwa na kutafuta faraja. SIna undugu na deception nimemfahamu humu tu kama wengi wenu humu.

Huo Ukimwi wamekupima au? Tatizo watu ni waoga na hawapendi kujifunza mambo mapya Yale waliokremishwa bila hata Ku challenge na kuangalia upande wa pili wa shilingi. Hii mada ni nzuri sana tu kujifunza sema watu wanaogopa kuisiwa ati!
Nilitegemea tena madaktari wamchallenge Deception lakini hamna kitu wanadai siasa.

Hii kitu mi nilisikia watu mbalimbali wakiongea na hapa nimeona kitu.In short Watanzania tupende kujifunza vitu vipya.
 
Last edited by a moderator:
Huo Ukimwi wamekupima au? Tatizo watu ni waoga na hawapendi kujifunza mambo mapya Yale waliokremishwa bila hata Ku challenge na kuangalia upande wa pili wa shilingi. Hii mada ni nzuri sana tu kujifunza sema watu wanaogopa kuisiwa ati!
Nilitegemea tena madaktari wamchallenge Deception lakini hamna kitu wanadai siasa.

Hii kitu mi nilisikia watu mbalimbali wakiongea na hapa nimeona kitu.In short Watanzania tupende kujifunza vitu vipya.

Unajua mwalimu anapomfundisha mwanafunzi, mwanafunzi anakuwa na uwezo mkubwa wa kujua uwezo wa ufundishaji wa yule mwalimu kupitia jinsi anavyofundisha, anaweza kujua huyu mwalimu mbaya au mzuri, ila haimaanishi kuwa huyo mwanafunzi anajua sana kuliko mwalimu. Hata mashuleni/vyuoni wanafunzi wengi wanagomaga kuwa hawamtaki mwalimu /lecture flani kwa kuwa hajui kufundisha au hawamuelewi, unadhani hao wanafunzi wanakuwa wana akili sana kuliko walimu /lecture? Hapana sio kweli. Sisi binadamu tuna uwezo mkubwa sana na akili ya kufanya zaidi ya yale tunayoyafanya, ila tunakosa ujuzi na maarifa tu jinsi ya kutumia akili zetu vizuri.

Ukiachilia mbali akili/ufahamu ambao baadhi ya watu wanaupata kutoka kwenye taasisi mbali mbali za Elimu, Binadamu tumeumbwa na akili zetu za asili tofauti na ile ya mashuleni.

So madaktari wasituone sisi hatuna akili kabisa,bado tuna haki ya msingi ya kujua kiundani yale ambayo wao wamesomea na yanayouhusu afya zetu , na tunategemea wao ndio watuelezee vizuri, lakini matokeo yake imekuwa tofauti kabisa, halafu bado wanatuona sisi tunawadharau kwa kukubali yale ambayo deception anayasema ambayo wao wanapinga bila kuleta maelezo ya kujitosheleza.
 
UKIMWI una privacy? Waje watuelezee humu walivyopima na kupewa dozi na experience yao kuhusu ARV ili wengine wajifunze kupitia wao

Hahaaaa .toka Uzi huu umeanza hakuna hata MTU mmoja aliyejitolea kuthibitisha au kukiri anatumia ARV japo I'd zetu feki ila hapo pagumu
 
Ndio maana nakwambia usome toka mwanzo, we tulia soma vizuri, maswali yako tu yanaonyesha hujafuatilia toka mwanzo, ndio maana nakusisitizia usome

Wewe ni muongo hupendi kujifunza kama unavyodai ila unataka ligi ambayo apa ndio nyumbani kwake, ila tu bahati mbaya huu si wakati wa ligi ni wakati wa kufahamishana tu na kueleweshana

Mimi na deception ni ID mbili na wawili tofauti wenye imani tofauti na ndio maana deception haamini kama ukimwi upo ila mimi naamini upo na unaua, ila kwa upande wa ARV unaruhisiwa tu kusema mimi na deception ni mtu mmoja

Warumi ngoja nisaidie kuelewesha ni hivi Deception amesema UKIMWI/AIDS na tena ulikuwepo tangu zamani ila asichokubaliana nacho ni kuwa Ukimwi hausababishwi na VVU/HIV kwasababu VVU ni kirusi kisichonauwezo wa kupunguza kinga mwilini ( kutokana na taarifa za kisayansi) sasa unapogundulika kuwa una VVU haimaanishi tayari una UKIMWI, sasa kwenye ARV Deception anaamini ndo zinazopelekea pia kuwa na UKIMWI kutokana na side effects zake zinazosababisha kupungua kwa kinga mwilini na hata mwili kushindwa kuhimili magonjwa nyemelezi
 
Hahaaaa .toka Uzi huu umeanza hakuna hata MTU mmoja aliyejitolea kuthibitisha au kukiri anatumia ARV japo I'd zetu feki ila hapo pagumu

Tatizo sio fake IDs, tatizo nafsi, watu wanaogopa kukashfiwa, ID is just a series of text ila behind kuna binadamu mwenye moyo wa nyama, ukianza kukashfiwa sio ID itakayoumia ila yeye mtu binafsi, ndio maana watu wanaogopa kuumizwa hisia zao.
 
warumi sema madaktari wa kibongo huwa hawataki kuambiwa kitu au Ku chalenjiwa wanakua wakali mno. Unaweza ukawa daktari na bado usijue yote. Pia kupitia vitu mbalimbali kuongeza ujuzi na knowledge na wengi wavivu kufanya research.
 
Last edited by a moderator:
Warumi ngoja nisaidie kuelewesha ni hivi Deception amesema UKIMWI/AIDS na tena ulikuwepo tangu zamani ila asichokubaliana nacho ni kuwa Ukimwi hausababishwi na VVU/HIV kwasababu VVU ni kirusi kisichonauwezo wa kupunguza kinga mwilini ( kutokana na taarifa za kisayansi) sasa unapogundulika kuwa una VVU haimaanishi tayari una UKIMWI, sasa kwenye ARV Deception anaamini ndo zinazopelekea pia kuwa na UKIMWI kutokana na side effects zake zinazosababisha kupungua kwa kinga mwilini na hata mwili kushindwa kuhimili magonjwa nyemelezi

Tira una uelewa mzuri sana, napenda watu wadadisi kama wewe, that is what exactly jamaa alivyoelezea kulingana na scientific research... labda tu aje aongezee mengine kama atakuwa nayo, karibu
 
Last edited by a moderator:
Niliona makala moja inasema kuna binadamu wachache cell zao hazina ncha. Kirusi kikiingia kinazunguka hakioni pa kuingilia na hufa. Hawa jamaa wanakula mizigo peku peku. Nataka na mimi nikaangalie je cell zangu zikoje, natamani ziwe butu niwanyime ulaji PSI.
 
Najaribu kukuelewa mkuu,,sasa ukimwi unasababishwa na nini kama c hiv?

Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta
 
Last edited by a moderator:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta

Utaambiwa sasa ivi na wewe muathirika, ngoja waje apa
 
Last edited by a moderator:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta

Na huu ndo mkanganyiko mkubwa kuhusu hiv...which means mtu ukiwa na afya njema HIV hana maana yoyote...
 
Last edited by a moderator:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta

Watakacho fanya wakiona unaumwa malaria mara kwa mara wanakurundikia ma ARVs as if ukishayameza haya madawa huta ugua tena maleria maishani mwako...lazima wataalamu wetu wa afya wafikirie kuja na mbinu mpya...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom