Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para influenza virus, and respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo HIV virus anahusika hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa
 
labda nisaidie jibu hili swali...!
nikwamba hali hii inatokana na swala la upungufu wa kinga mwilini niki maanisha kwamba mtu alie na kinga pungufu mwilini(cd4) ndiye atakaye pata TB(tuberclosis) ila kwa asye na upungufu wa kinga mwilini hawezi pata maambukizi ya TB...kwasababu kinga zake ziko vzuri

kuku thibitishia hili nakupa mechanism kidogo ya circle ya Microbacterium tuberclosis wanavyo mpata mtu adi jnsi anavyo kuwa infected.....M.tuberclosis ni normal flora(wadudu wasiyo na madhara) waishio kwenye ngozi ya binadamu na kwenye hewa hii ni kwasababu they are Anaerobic huweza kumpata mtu through inhalation ya air droplets from an infected individual ivyo basi kwakuwa ni anaerobic hukimbilia moja kwa moja kwenye mapafu(simanishi kuwa M.tuberclosis wana shambulia only upper pulmonary) wakiingia mwilini immune system huwatambua kama infected micro organism ivyo kinacho fanyika cells ambazo zko responsble kwajili yaku wazuia ni Microcytes ambazo moja kwa moja huenda kuzi enguf(phagocytosis..kuzimeza) TB ...kinacho fanyika ni kwamba m.tuberclosis bado wanakuwa hai ndani ya hiyo macrocytes ivyo CD4&cd8 znakuja saidia ku activw enzymes ambao wapo juu ya macrocytes ku release Toxic ambayo huzi angamiza M.tuberclosis ivyo basi iwapo mtu atakuwa na HIV+ cd4 zake ztashuka na ikimbukwe kuwa kutokana na process tajwa hapo juu m.tuberclosis(TB) wapo kwenye hewa ivyo asilimia 90% ya watu wote kila mtu anao tb ivyo baso immune system yako ikishuka kutakuwa amna destructipn tena ya hao Tb na ndiyo maana unakuta karbu kila HIV+ anayo TB...hii ni the same way with other OP(magonjwa nyemelezi) yote yapo mwilini mfano Candidias (fungi) wapo kwenye genital area ya mwanamke ila hawana madhara mpaka Cd4 zako ztakapo shuka....nafkiri utakuwa umenielewa kwanini watu wengine wanaweza ambukizwa TB na wengine hawawezi..!!

Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus wanaweza Kupotea Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama Wataalam baadhi wanavyosema Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri
 
mfano nani umesha wahi msikia anaumwa TB ambaye ana HIV+ ebu npe mfano...??

Mimi niliwahi kuugua TB lakini sikuwa HIV+.Historia yangu ipo kwenye hospitali fulani.Hilo unalizungumziaje?Kivingine,Je kama huna HIV huwezi kupata TB?Kivingine,Je,wote wenye TB wana HIV?
 
Pengine kama amesema hivi basi ameteleza maana kimsingi si kila mwenye TB ana virusi vya UKIMWI! Mtu anapo fikia stage ya UKIMWI anakuwa ana andamwa na kila aina ya magonjwa na kati ya magonjwa nyemelezi na TB hipo kati yao...lakini kila aina ya Magonjwa humuandama mtu mwenye UKIMWI....!

Lakini tunatakiwa kujua magonjwa hayo yanaweza mpata mtu hata kama hana virusi vya UKIMWI!

Nafikiri kuna sehemu hamuelewani lakini mnaongea lugha moja!

Hiyo elimu unayoitoa ni nyepesi mno,kila mtu anaijua humu,hukufuatilia vizuri mjadala huu toka mwanzo.Huyo DR alisema hivyo mara nyingi tu na akaulizwa na kurudia vilevile,na alikuwa anamaanisha hivyo,si bahati mbaya,hata wewe muulize.
Ukitaka kuona kwamba mjadala huu ni mzito kuliko unavyofikiri,wewe fuatilia tu.
 
Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona ingelikuwa vizuri mkijua kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!

yaaan we dk ntakutia kwenzi aiseee.yaan nyie c ndio mabingwa wa kusoma vitabu vikubwa vikubwa vya masayansi.sasa huu uzi wa kulasa100 za kwenye cm tena unakushindaje kusoma!!!yaaan mbna uko nyuma jamaa alielezea jinsi ARV znavyofanya kazi.akaelezea jinsi zilivyo na sumu..yaaaan tena vizuri kabisa na akasema aje dk apinge hakutokea mtu.wewe leo unauliza tena???we ni dk au pre dk??me naona niendelee kusoma tu maaan Madk wanantia hasira tu.hawaleti vitu tunavyovitarajia wanabisha tu hata wakijibiwa wanauliza tena.mmekula maharage ya wap nyieeeeew
 
Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus wanaweza Kupotea Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama Wataalam baadhi wanavyosema Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri

jitahidi usome vizuri virology moja kati ya virus complication ni hao wa HepatitisB& C nani kakwambia unaweza kuwa nao kutokana na immunity nzuri kwanza lazma uelewe hao virus wanashambulia cells tofauti za ini kama kupfer cells&hepatocytes nakuleta liver cirrhosis ugonjwa hambao hauna dawa labda PEP...tukirud kwenye HIV hawa. hawana swala la immunity sytem kutokana nakwamba ni intracellular( wanazaliana ndani ya cell kwaku badlisha DNA yako kutoa copy yake orginal japo yy ni RNA) ivyo basi wakijaa wana replication nakuwa wengi ambapo new generation nayo inarudia process ivyo amna immunity system yaku wasimamisha..!!!
 
Mimi niliwahi kuugua TB lakini sikuwa HIV+.Historia yangu ipo kwenye hospitali fulani.Hilo unalizungumziaje?Kivingine,Je kama huna HIV huwezi kupata TB?Kivingine,Je,wote wenye TB wana HIV?

kwanza niambie ulikuwa una TB ipi..ya mifupa, ya uti wa mgongo au ya mapafu...!!????
 
Seriously dude?ushawahi kusikia kuhusu residriv UTI hebu kamuulize daktari wa karibu yako inakuwa chronic.Kuna watu wanakuwa on antibiotics kwa mwaka au zaidi,Hasa vizee ambao hawana uwezo mzuri wa kukojoa mkojo wote.Wanakuwa na mabaki ya mkojo kwenye kibofu wakati wote kwahio wanakula dawa kumaintain UTI looool.Kama ww unajua zaidi kuliko mm HONGERAAAAAAAAAAAAA.Na kwani uliponiquote post hii uliona nimemjibu nani na nini?Nilimjibu Kaunga kuhusu antibiotics haihusiani na ARV usidandie daladala kwa mbele Troojan

unaona maajabu yenu.adi mchokonolewee wee ndio mnajivutavuta.sasa hayo maelezo io aina ya UTI ulishindwa nini kuielezea tangu mda??wengi tunajua UTI za kawaida ambazo dozi ni week maximum unadunda.wazee kwanza wengi wanashambuliwa sana na magonjwa nyemelezi.kinga zao zmechoka ndugu.ndio maana wengi wanakisukali,tb na magpnjwa kibao.
 
Last edited by a moderator:

kiutaratibu wa kazi na mazingira huwa amna treatment kabla ya history taken ya mgonjwa..labda nkulize maswali machache kabla ya kujbu swali..

ulisha wahi pima HIV baada au kabla yakukutwa na TB...??

baada yakukutwa +ve ilipewa dawa zipi na ulitumia mda gani...!!?

je unaweza npa ushahidi wowote katika hilo tatizo ata picha ya hospital request...!??
 
Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para influenza virus, and respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo HIV virus anahusika hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa

lazima utambue pneumonia ni ugonjwa ambao uko complication sana....kila micro organism anaweza sababisha pneumonia...je wajua minyoo kama( strongiloides stericoralis, hookworm& ascaris) wanaweza sababisha pneumonia...je wajua karibu aina zote za bacteria kama..strayptoccocus pneumonia, haemophilus ducrey...proteus wote wanaweza sababisha pneumoni....so usi kariri kuwa only virus ndo anasababisha peneumonia.

definition ya pneumonia ni inflamation of lungs ivyo mashambulizi yoyote ya respiratory surface twaweza taita pneumonia ivyo basi hli HIV- & pneumonia= aids sjui umeitolea wap...?????
 
Nionavyo mimi,tunatakiwa kutafakari kwa mapana zaidi juu ya facts mpya zilizoletwa na wanasayansi mbalimbali juu ya huu ugonjwa,tutafakari tena kwanini maoni ya wanasayansi hao waliosema hiv sio cause ya aids hayakutiliwa mkazo na hayajawekwa katika vitabu mbalimbali ambavyo madaktari wanafundishiwa?kwanini nguvu nyingi sana zimetumika kuutangaza huu ugonjwa?wanaotangaza sana huu ugonjwa ni wakina nani na ni kwanini? Watengenezaji wa haya madawa ni wakina nani? Na kama hayaondoi hiv kwanini usitafutwe mbadala wake ambao hauna side effects za hatari kama za arvs?Ambaye ni daktari na ambaye si daktari hebu tuondoe bias katika jambo hili na tujadili kwa mapana zaidi ya tulivyofundishwa..
 
kiutaratibu wa kazi na mazingira huwa amna treatment kabla ya history taken ya mgonjwa..labda nkulize maswali machache kabla ya kujbu swali..

ulisha wahi pima HIV baada au kabla yakukutwa na TB...??

baada yakukutwa +ve ilipewa dawa zipi na ulitumia mda gani...!!?

je unaweza npa ushahidi wowote katika hilo tatizo ata picha ya hospital request...!??

Hujanielewa Dr.nimesema niliwahi kuwa na TB muda mrefu huko nyuma lakini waliponipima HIV nilikuwa HIV-.Nazungumzia hoja ya Dr mmoja aliyesema ili uwe na ukimwi lazima uwe na HIV,umenielewa maana yangu?
 
Back
Top Bottom