warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Yaah alikuwa ana tumia kabisa..tena zaidi ya mwaka..!
NImefurahi kukuona uku binamu, karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah alikuwa ana tumia kabisa..tena zaidi ya mwaka..!
NImefurahi kukuona uku binamu, karibu
Dokta fake aka mwanasiasa.... jibu swali eti ananipa mifano BP mafuta. Thts crazy. Ila sio mbaya endelea kuwafariji watu waone ndugu zao walionewa na madaktari kwa ukimwi wao. Au wao wenyewe wakatae kupima. Maana kuna watu walikuwa hawataki kusikia issue ya kupima. Sasa watakuwa umewapa sababu
Dokta fake aka mwanasiasa.... jibu swali eti ananipa mifano BP mafuta. Thts crazy. Ila sio mbaya endelea kuwafariji watu waone ndugu zao walionewa na madaktari kwa ukimwi wao. Au wao wenyewe wakatae kupima. Maana kuna watu walikuwa hawataki kusikia issue ya kupima. Sasa watakuwa umewapa sababu
Hahahahahaha Unajua nini maana Ya Ukimwi kweli......
Ndio, upungufu Wa kinga mwilini.
Unasababishwa na Nini
Kama umelala na mwenye ukimwi,nenda kapime kama positive kubali hiyo hali na fuata ushauri wa wataalam.Kufa kuko kwa wote walio nao na wasio nao
Dokta fake aka mwanasiasa.... jibu swali eti ananipa mifano BP mafuta. Thts crazy. Ila sio mbaya endelea kuwafariji watu waone ndugu zao walionewa na madaktari kwa ukimwi wao. Au wao wenyewe wakatae kupima. Maana kuna watu walikuwa hawataki kusikia issue ya kupima. Sasa watakuwa umewapa sababu
Na vvu au virusi vya ukimwi.
Wewe ndio daktari wa kwanza mpuuzi kumsikia duniani. Kwanza unawakataza watu wasipime. Unawaambia vipimo fake . Unaambiwa pima ukimwi mara 3 . Na sababu ipo wazi .eti unatoa mfano wa maralia. Tb....hayo magonjwa ni tofauti na ukimwi . Hayo magonjwa yana dawa ukimwi hauna dawa.........unadanganya watu ukimwi hauambukizwi kwa sex hivi wewe sio shetani kweli? .......nimesoma jana late ya ukimwi afrika imeshuka . Na nchi kama russia imeongezeka sana . Na sababu ni kuwa watu wamepata elimu ya ukimwi . Ila sasa nadhani ni kampeni maalum ya kuurudisha kwa kasi ukimwi afrika na wewe ni mmojawapo wa waliotumwa. Utakuwa umelipwa hela nzuri sana
Dokta fake aka mwanasiasa.... jibu swali eti ananipa mifano BP mafuta. Thts crazy. Ila sio mbaya endelea kuwafariji watu waone ndugu zao walionewa na madaktari kwa ukimwi wao. Au wao wenyewe wakatae kupima. Maana kuna watu walikuwa hawataki kusikia issue ya kupima. Sasa watakuwa umewapa sababu
Basi rudi shule tena ......
Anza we kunielimisha mkuu, mwaga hapa materials.
REACT TO THE MESSAGE, NOT TO THE PERSON, Hili ndio tatizo kubwa tulilonalo wafu wa fikra (wa afrika )