Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Daudi 1990

Jibu Swali hili.
Magonjwa yasiyosababishwa na Bacteria au Virus kama Cancer hayaambukizi.
Ni Vipi mtu aambukizwe Ukimwi na aliyeayethirika na Ukimwi ?

Deception,
unaweza kutusaidia hapa.
nasubiri jibu lake kwa shauku kubwa mnoo "" mkuu
 
mkuu mimi naomba unisaidie kujibu hili swali...kama UKIMWI sio sababu ya kirusi cha HIV..kina chopelekea mtu aliyetembea na mtu ambaye nimuathirika wa ukimwi kuweza kupata ama kurithi huo ugonjwa ninini ?
Nathubutu kusema swali lako halina logic hata kidogo, naweza kusema hujauliza swali

1. Unataka uelezwe ukimwi sio sababu ya HIV, Swali hili ni dalili tosha bado una mengi ya kujifunza. Ukimwi haupelekei HIV(futa huu uchafu kichwani mkuu). Ndio kwa mara ya kwanza ninasikia kiumbe hapa duniani anataka kujua kuwa ukimwi unapelekea HIV. Ukimwi kama upungufu wa kiinga mwilini kila mtu anao miaka nenda rudi, sisi tunachopinga hakuna kirusi kinachoitwa HIV hizo ni propaganda za WHO na Mashirika makubwa ya dawa duniani kupiga fedha kwenye miradi ya ukimwi. Kiuhalisia hakuna daktari yoyote duniani amewahi kuona huyo kirusi HIV kama yupo huyo daktari aje hapa na concrete evidence. Sasa iweje tupoze muda na "illusion disease".


2.Swali lako la pili unasema kipi kinapelekea mtu aliethirika na ukimwi kumuuambukiza mtu mwingine.

Kabla sijakujibu jiulize yafuatayo, ukimwi ni Upungufu wa kinga mwilini ambao unaweza kusababishwa na lishe duni, matumizi ya madawa ya kulevya au stress. Na dawa yake ni kuwa na lishe bora, kuacha madawa ya kulevya au kuhimiri stress za maisha. Sasa nisaidie na mimi kuelewa ni namna gani mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) ambapo dawa yake ni lishe bora au kuacha madawa ya kulevya anaweza kumuambukiza mpenzi wake na yeye asipate tiba.

Mantiki nzima ya ukimwi kuanzia maana,njia na namna ya kujizuia na ukimwi imejaa maswali utata mwingi (Hoax)
Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono. Yani unawEza kumuambukiza mtu UPUNGUFU WA KINGA MWILINI??? how ???



Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Nathubutu kusema swali lako halina logic hata kidogo, naweza kusema hujauliza swali

1. Unataka uelezwe ukimwi sio sababu ya HIV, Swali hili ni dalili tosha bado una mengi ya kujifunza. Ukimwi haupelekei HIV(futa huu uchafu kichwani mkuu). Ndio kwa mara ya kwanza ninasikia kiumbe hapa duniani anataka kujua kuwa ukimwi unapelekea HIV. Ukimwi kama upungufu wa kiinga mwilini kila mtu anao miaka nenda rudi, sisi tunachopinga hakuna kirusi kinachoitwa HIV hizo ni propaganda za WHO na Mashirika makubwa ya dawa duniani kupiga fedha kwenye miradi ya ukimwi. Kiuhalisia hakuna daktari yoyote duniani amewahi kuona huyo kirusi HIV kama yupo huyo daktari aje hapa na concrete evidence. Sasa iweje tupoze muda na "illusion disease".


2.Swali lako la pili unasema kipi kinapelekea mtu aliethirika na ukimwi kumuuambukiza mtu mwingine.

Kabla sijakujibu jiulize yafuatayo, ukimwi ni Upungufu wa kinga mwilini ambao unaweza kusababishwa na lishe duni, matumizi ya madawa ya kulevya au stress. Na dawa yake ni kuwa na lishe bora, kuacha madawa ya kulevya au kuhimiri stress za maisha. Sasa nisaidie na mimi kuelewa ni namna gani mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) ambapo dawa yake ni lishe bora au kuacha madawa ya kulevya anaweza kumuambukiza mpenzi wake na yeye asipate tiba.

Mantiki nzima ya ukimwi kuanzia maana,njia na namna ya kujizuia na ukimwi imejaa maswali utata mwingi (Hoax)
Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono. Yani unawEza kumuambukiza mtu UPUNGUFU WA KINGA MWILINI??? how ???



Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi wala sijakubishia "" nia na madhumuni ya swali langu nikuwa Mwenye kujifunza kutokana na majibu utakayonipa "" so unavyoanza kunishambulia hivyo "" wakati dhamira yangu ya kuuliza swali ninzuri kidogo unakuwa unanichanganya""
..nimesoma article yko na Nina jitahidi kukubaliana na wewe kuwa hakuna kirusi kinachoitwa HIV na Nina kubali kuwa nimipango ya WHO pamoja na UN kuweza kuwa na mradi wa pesa"" haya mambo yapo wazi na huo sio mradi wao mmoja pekee wanamiradi mingi tu zaidi yahuo......
lakini bado jibu lako hakijaweza kunitoa utatandu nilionao kichwani"". swali langu nihili" tumekuwa washuhuda wakuona watu wengi walioathirika "" pindi wanapokufa basii na wenza wao pia hufa"" baada ya miezi .mwaka.au miaka"" hii inaleta mkanganyiko wakutufanya tuhisi kuwa UKIMWI unaambukiza ...na Mimi nimekuwa shuhuda kabisa...kuna ambao waliokufa kbla hata yakutumia dose "" na wenzawao pia hivyo wakafikwa na huo ugonjwa wenye hizo dalili zote nao wakafa pasipo kutumia dose ""swali ni je kilichosababisha mauti yao ninini ?? kama UKIMWI hauambukizi""" ?? ilhali wote walikufa kwa magonjwa yenye mfanano.....naomba unisaidie kuelewa tafadhali""""
 
Wale wanaoyatumia aumbile yao visivyo na kwa sababu zisizo. Unatumia midoli badala ya watu, unatumia njia isiyo na watu wasio wa jinsi hiyo pia. Hilo ni chukizo mbele za Muumba wako hivyo unastahili adhabu kali sana
Vipi kwa wale wanawake/wanaume waliotulia kwenye ndoa lakini wakaupata kutokana na wenza wao kutotulia,nao walistahili adhabu?
 
Mkuu mimi wala sijakubishia "" nia na madhumuni ya swali langu nikuwa Mwenye kujifunza kutokana na majibu utakayonipa "" so unavyoanza kunishambulia hivyo "" wakati dhamira yangu ya kuuliza swali ninzuri kidogo unakuwa unanichanganya""
..nimesoma article yko na Nina jitahidi kukubaliana na wewe kuwa hakuna kirusi kinachoitwa HIV na Nina kubali kuwa nimipango ya WHO pamoja na UN kuweza kuwa na mradi wa pesa"" haya mambo yapo wazi na huo sio mradi wao mmoja pekee wanamiradi mingi tu zaidi yahuo......
lakini bado jibu lako hakijaweza kunitoa utatandu nilionao kichwani"". swali langu nihili" tumekuwa washuhuda wakuona watu wengi walioathirika "" pindi wanapokufa basii na wenza wao pia hufa"" baada ya miezi .mwaka.au miaka"" hii inaleta mkanganyiko wakutufanya tuhisi kuwa UKIMWI unaambukiza ...na Mimi nimekuwa shuhuda kabisa...kuna ambao waliokufa kbla hata yakutumia dose "" na wenzawao pia hivyo wakafikwa na huo ugonjwa wenye hizo dalili zote nao wakafa pasipo kutumia dose ""swali ni je kilichosababisha mauti yao ninini ?? kama UKIMWI hauambukizi""" ?? ilhali wote walikufa kwa magonjwa yenye mfanano.....naomba unisaidie kuelewa tafadhali""""
Na mimi ndo nipo hapa nawaza wale watu wa Kagera kilichokuwa kinawaua ni nini?Wilaya ya Makete mkoani Njombe watoto yatima(wao pia ni waathirika)wamejazana wengi kwa kuwa wazazi wao inasemekana walikufa kwa huo ukimwi,sasa hapa hata sielewi
 
Na mimi ndo nipo hapa nawaza wale watu wa Kagera kilichokuwa kinawaua ni nini?Wilaya ya Makete mkoani Njombe watoto yatima(wao pia ni waathirika)wamejazana wengi kwa kuwa wazazi wao inasemekana walikufa kwa huo ukimwi,sasa hapa hata sielewi
ngoja aje "" ila hilo la kuhusu kagera "" nadahani alishalijibu...kwenye post za mwanzo kabisaa....wajua mimi nimewaelewa kiasi"" ila nataka nifahamishwe hapo ktik hilo swali ambalo nimeuliza"""
 
ngoja aje "" ila hilo la kuhusu kagera "" nadahani alishalijibu...kwenye post za mwanzo kabisaa....wajua mimi nimewaelewa kiasi"" ila nataka nifahamishwe hapo ktik hilo swali ambalo nimeuliza"""
Em nikatafute hiyo ya kagera,akija uniite
 
Em nikatafute hiyo ya kagera,akija uniite
sijui ipo post namba ngapi "" nilishasahau...ila alichokiongea haswaa...uhinjwa mkubwa uliokuwa unawamaliza watu ni TB...so mamlaka husika zikaamua kuitembelea hiyo fursa na kuwaaminisha watu kuwa ni HIV....yaani ungeianzia mwanzo hii trd ..ukakutana na mtaalamu deception... ndio ungeielewa vyema...aisee nihatari """
 
sijui ipo post namba ngapi "" nilishasahau...ila alichokiongea haswaa...uhinjwa mkubwa uliokuwa unawamaliza watu ni TB...so mamlaka husika zikaamua kuitembelea hiyo fursa na kuwaaminisha watu kuwa ni HIV....yaani ungeianzia mwanzo hii trd ..ukakutana na mtaalamu deception... ndio ungeielewa vyema...aisee nihatari """
[emoji23] inaitwa akili za mwenzio changanya na zako
 
Mkuu mimi wala sijakubishia "" nia na madhumuni ya swali langu nikuwa Mwenye kujifunza kutokana na majibu utakayonipa "" so unavyoanza kunishambulia hivyo "" wakati dhamira yangu ya kuuliza swali ninzuri kidogo unakuwa unanichanganya""
..nimesoma article yko na Nina jitahidi kukubaliana na wewe kuwa hakuna kirusi kinachoitwa HIV na Nina kubali kuwa nimipango ya WHO pamoja na UN kuweza kuwa na mradi wa pesa"" haya mambo yapo wazi na huo sio mradi wao mmoja pekee wanamiradi mingi tu zaidi yahuo......
lakini bado jibu lako hakijaweza kunitoa utatandu nilionao kichwani"". swali langu nihili" tumekuwa washuhuda wakuona watu wengi walioathirika "" pindi wanapokufa basii na wenza wao pia hufa"" baada ya miezi .mwaka.au miaka"" hii inaleta mkanganyiko wakutufanya tuhisi kuwa UKIMWI unaambukiza ...na Mimi nimekuwa shuhuda kabisa...kuna ambao waliokufa kbla hata yakutumia dose "" na wenzawao pia hivyo wakafikwa na huo ugonjwa wenye hizo dalili zote nao wakafa pasipo kutumia dose ""swali ni je kilichosababisha mauti yao ninini ?? kama UKIMWI hauambukizi""" ?? ilhali wote walikufa kwa magonjwa yenye mfanano.....naomba unisaidie kuelewa tafadhali""""
Samahani kama majibu yangu hapo juu yalikukwaza.Haikuwa lengo langu.



Umewahi kuisikia hii kauli ""UKIMWI HAUUWI ILA MAGONJWA NYEMELEZI" Sasa kama ukimwi hauuwi ni kipi kinachokuthibitishia na kukuaminisha kuwa Mwenza wa kwanza na wa pili ni kutokana na sababu ya ukimwi ... Hilo ni moja naomba uende hospital au kwa hivyo vifo ulivyovishuhudia kuwa vilitokana ukimwi ukadadisi ni ugonjwa upi dhahiri ulisababisha kifo. Mtu kufa na mwingine akifuatia ni coincidence tu hakuna uhusiano na ukimwi.


Naomba umtafute Karry Mullis , mgunduzi wa kifaa cha PCR mahospital ambacho ndicho kifaa hawa madactari wetu hukitumia kuverify hicho wanachoita sijui ukimwi au HIV(Cha kushangaza mgunduzi wa kifaa hicho hajawahi kuona kitu kinaitwa HIV). Hapa nilipo network inazingua ningekuwekea link uone
 
Inaonekana huna utaalamu wowote kuhusu haya mambo, naona umeamua kubisha bila point za msingi, maana naona anakuelezea kwa undani ila wewe unajibu kimzaha mzaha bila mashiko yeyote
umemuona eehh"" !!?
 
Samahani kama majibu yangu hapo juu yalikukwaza.Haikuwa lengo langu.



Umewahi kuisikia hii kauli ""UKIMWI HAUUWI ILA MAGONJWA NYEMELEZI" Sasa kama ukimwi hauuwi ni kipi kinachokuthibitishia na kukuaminisha kuwa Mwenza wa kwanza na wa pili ni kutokana na sababu ya ukimwi ... Hilo ni moja naomba uende hospital au kwa hivyo vifo ulivyovishuhudia kuwa vilitokana ukimwi ukadadisi ni ugonjwa upi dhahiri ulisababisha kifo. Mtu kufa na mwingine akifuatia ni coincidence tu hakuna uhusiano na ukimwi.


Naomba umtafute Karry Mullis , mgunduzi wa kifaa cha PCR mahospital ambacho ndicho kifaa hawa madactari wetu hukitumia kuverify hicho wanachoita sijui ukimwi au HIV(Cha kushangaza mgunduzi wa kifaa hicho hajawahi kuona kitu kinaitwa HIV). Hapa nilipo network inazingua ningekuwekea link uone
okay asante ..ngoja niendelee kujifunza "" but kuna uhusiano wowote baina ya maambukizo ya HIV fake ""tunayoambiwa kuwa ipo "" na mambukizi ya TB tu pekee"" yaani na maanisha kuwa huwenda ikawa wahusika walikuwa na TB kisha wakaambiwa kuwa wana HIV na mwisho wasiku wakajikuta wanaacha kufuata Tiba ya TB na nakupewa tiba ya VVU""Mwisho wa siku hupelekea wao kufa"" ?? na je mtu anapopatwa na maambukizi ya TB ya weza kuchukua muda kiasi gani mpka kujakubainika kuwa anaumwa huo ugonjwa...na maanisha dalili za TB huwa zinaweza kuchukua muda kiasi gani mpka kuanza kujitokeza kwa muathirika......!?
 
MImi ndio nina upeo mdogo na ndio maana nakuwa makini kusikiliza ili upeo wangu uwe mkubwa, kuliko wewe unayejifanya unajua wakati maandishi yako tu yanakuumbua kuwa hauna huelewa wowote kuhusu hili suala... usiku mwema to you darln, say hi to shemej uko
hahaaa warumi bhanaaa""'
 
OOh!! Tatizo wewe hujaelewa tu ndio maana ume panick, jamaa kazungumza mengi kuhusu Ukimwi, kwani unadhani mi sijui kuwa ukimwi upo na unaua? ,kwani wewe hujui kuwa ARV zipo kwa ajili ya kupunguza makali ya ukimwi? Kuna mambo mwngine ni magumu kumuelezea mtu akakuelewa lazima utumie lugha ya tofauti kidogo, ila mimi nimemuelewa sana,jaribu kutuliza akili yako,penda kujifunza kitu kwa kusikiliza

Binafsi mpaka sasa ivi sijamuona mtu yeyote anayepinga hoja za jamaa kwa hoja za msingi, Tuache kukumbatia Upumbavu, wengi wao wanaishia kujionyesha tu jinsi walivyokuwa na akili ndogo na utashi uliochacha
true ..true ...wanapayuka tu"" halafu wanadhani kuwa sisi wafuatiliaji akili zetu ni ndogo sana kiasi kwamba hatuwezi kujua ipi fact "" na ipi pumba....
 
Back
Top Bottom