Nathubutu kusema swali lako halina logic hata kidogo, naweza kusema hujauliza swali
1. Unataka uelezwe ukimwi sio sababu ya HIV, Swali hili ni dalili tosha bado una mengi ya kujifunza. Ukimwi haupelekei HIV(futa huu uchafu kichwani mkuu). Ndio kwa mara ya kwanza ninasikia kiumbe hapa duniani anataka kujua kuwa ukimwi unapelekea HIV. Ukimwi kama upungufu wa kiinga mwilini kila mtu anao miaka nenda rudi, sisi tunachopinga hakuna kirusi kinachoitwa HIV hizo ni propaganda za WHO na Mashirika makubwa ya dawa duniani kupiga fedha kwenye miradi ya ukimwi. Kiuhalisia hakuna daktari yoyote duniani amewahi kuona huyo kirusi HIV kama yupo huyo daktari aje hapa na concrete evidence. Sasa iweje tupoze muda na "illusion disease".
2.Swali lako la pili unasema kipi kinapelekea mtu aliethirika na ukimwi kumuuambukiza mtu mwingine.
Kabla sijakujibu jiulize yafuatayo, ukimwi ni Upungufu wa kinga mwilini ambao unaweza kusababishwa na lishe duni, matumizi ya madawa ya kulevya au stress. Na dawa yake ni kuwa na lishe bora, kuacha madawa ya kulevya au kuhimiri stress za maisha. Sasa nisaidie na mimi kuelewa ni namna gani mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) ambapo dawa yake ni lishe bora au kuacha madawa ya kulevya anaweza kumuambukiza mpenzi wake na yeye asipate tiba.
Mantiki nzima ya ukimwi kuanzia maana,njia na namna ya kujizuia na ukimwi imejaa maswali utata mwingi (Hoax)
Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono. Yani unawEza kumuambukiza mtu UPUNGUFU WA KINGA MWILINI??? how ???
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using
JamiiForums mobile app