Je inawezekana mtu aliye ishia kidato cha pili na kufaulu kujiunga na QT

Je inawezekana mtu aliye ishia kidato cha pili na kufaulu kujiunga na QT

dirtyboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2017
Posts
380
Reaction score
669
Habari za wakati huu wana JF.
Kuna bwana mdogo mmoja alifanikiwa kusomo hadi form four lakini kabla ya kusajiliwa kufanya mtihani wa mwisho akapatikana na kesi iliyo mpelekea kufukuzwa shule 2019. Kwa sasa anatamani kufanya mtihan wa form four ili aweze kufata ndoto zake. Swali ni je, anaweza kufanya mtihani wa qt kwa mwaka mmoja? Nakama inawezekana nitaratibu zipi afate?

Nakaribisha michango yenu.
 
Qt huwa ni miaka miwili kwa kawaida mkuu. Bila shaka Inawezekana. A-focus na masomo tu atafanikiwa
 
Habari za wakati huu wana JF.
Kuna bwana mdogo mmoja alifanikiwa kusomo hadi form four lakini kabla ya kusajiliwa kufanya mtihani wa mwisho akapatikana na kesi iliyo mpelekea kufukuzwa shule 2019. Kwa sasa anatamani kufanya mtihan wa form four ili aweze kufata ndoto zake. Swali ni je, anaweza kufanya mtihani wa qt kwa mwaka mmoja? Nakama inawezekana nitaratibu zipi afate?

Nakaribisha michango yenu.
Kama ulifaulu kidato cha pili, QT ya nini? QT ni daraja kati ya darasa la saba na kidato cha nne. Jiandikishe tu kufanya CSEE.

Labda kama imepita miaka mingi tangu ufanye huo mtihani wa kidato cha pili.
 
Form two kamaliza 2017
Kama ulifaulu kidato cha pili, QT ya nini? QT ni daraja kati ya darasa la saba na kidato cha nne. Jiandikishe tu kufanya CSEE.

Labda kama imepita miaka mingi tangu ufanye huo mtihani wa kidato cha pili.
 
Kisheria hairuhusiwi mtu aliyefaulu kidato cha pili, akatumia matokeo hayo kufanyia mtihani wa QT

Iko hivi, ili ufanye mtihan wa QT form four lazima uwe na namba ya mtihani wa QT ulofanya huku ukiwa umefaulu, au uwe na unarudia mtihan wa form four baada ya kuwa umeufanya hapo nyuma...

Utaratibu huu umeanza tangu mwaka 2010, ila hapo nyuma iliruhusiwa kwa mtu kufanya mtihan wa QT Form four kwa kutumia namba ya mtihan ya form two..

Kwa ufafanuzi zaidi, nipigie 0768 343631
 
Habari za wakati huu wana JF.
Kuna bwana mdogo mmoja alifanikiwa kusomo hadi form four lakini kabla ya kusajiliwa kufanya mtihani wa mwisho akapatikana na kesi iliyo mpelekea kufukuzwa shule 2019. Kwa sasa anatamani kufanya mtihan wa form four ili aweze kufata ndoto zake. Swali ni je, anaweza kufanya mtihani wa qt kwa mwaka mmoja? Nakama inawezekana nitaratibu zipi afate?

Nakaribisha michango yenu.
Ni Lazima Afanye QT ,Then Akifaulu Atapata Namba Ambayo Atasajilia PC
 
Habari za wakati huu wana JF.
Kuna bwana mdogo mmoja alifanikiwa kusomo hadi form four lakini kabla ya kusajiliwa kufanya mtihani wa mwisho akapatikana na kesi iliyo mpelekea kufukuzwa shule 2019. Kwa sasa anatamani kufanya mtihan wa form four ili aweze kufata ndoto zake. Swali ni je, anaweza kufanya mtihani wa qt kwa mwaka mmoja? Nakama inawezekana nitaratibu zipi afate?

Nakaribisha michango yenu.
Itawezekana, chamsingi awe na ile namba yake ya mtihani ambayo itaonesha ufaulu wake wa form two, maana ili ufanye mtihani wa kidato cha nne lazima uwe umefaulu kidato cha pili,
Kwahiyo kama sifa hizo anazo basi anaweza kufanya mtihani wa kidato cha nne.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom