Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?

Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?

Je, inawezekana mtu kupata HIV, kwenye sex chini ya dakika 2?! Ikiwa ulikutana nae anatumia dawa na wadudu wake ni wachache?
Sio kwa ubaya lakini umejuaje kama wadudu wake ni wachache Mkuu?
Na kwani wakiwa wachache hawaambukizi?

Ushauri wangu kama upo ndani ya masaa 72 nenda kituo cha afya ukapate PEP.
 
Sio kwa ubaya lakini umejuaje kama wadudu wake ni wachache Mkuu?
Na kwani wakiwa wachache hawaambukizi?

Ushauri wangu kama upo ndani ya masaa 72 nenda kituo cha afya ukapate PEP.
Nilianza pep ndan ya saa 13 tu nkawa tayari ila yeye alisema amezaliwa nao na anakunywa dawa kwa wakati na wadudu ni chini sana
 
Nyie Si mnapenda vitoto vya 2000 bwana?? Hivi viingi vimezaliwa na ngwengwe .

Kumbuken miaka ipi ngoma ilitishia.


Mashangazi mengi ambayo yalivizaa hivi vitoto, wameshazeeka, au kutangulia mbele ya haki.


Yamebaki Mashangazi salama salimini ni kujichagulia na kusukuma nyama tu 👌🤩
 
Nyie Si mnapenda vitoto vya 2000 bwana?? Hivi viingi vimezaliwa na ngwengwe .

Kumbuken miaka ipi ngoma ilitishia.


Mashangazi mengi ambayo yalivizaa hivi vitoto, wameshazeeka, au kutangulia mbele ya haki.


Yamebaki Mashangazi salama salimini ni kujichagulia na kusukuma nyama tu 👌🤩
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom