Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Doh kama ni kweli anakunywa dawa kwa wakati na ulimeza PEP bas uwezekano wa wewe kupata ni mdogo sanaNilianza pep ndan ya saa 13 tu nkawa tayari ila yeye alisema amezaliwa nao na anakunywa dawa kwa wakati na wadudu ni chini sana