Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?

Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?

Kama kweli ulienda kupata dawa za kufubaza uko salama. Ila kama umekuja kutafuta huruma humu nakuhurumia sana maana hata sekunde moja inatosha kirusi kuingia mwilini . Hiv sio mpaka mchubuko hata majimaji yanayopatikana kwenye k hubeba hivyo virusi. Kumbuka pia kucheki na Homa ya ini
Ninazo na leo ni siku ya 11 natumia ndan ya mda sahihi tok nimepewa
 
Pole mkuu, Naimani hautapata pia fikiria kwanini Mungu amekupitisha hapo ndani yako unajua vyema njia zako.

Mimi nilipitia hali kama yako na yangu ni hatari maana nilitembea nae zaidi hata ya mara 20+ ...bila kusalisali nisingekuja kujua, Ila pia mwisho nipo safi nikiona mada ya HIV moyo unashtuka sana hahahah ni kama mtu aliewahi kung'atwa na nyoka.

Kila sala ninayosali ya shukrani huwa namshukuru Mungu kwa hili...niliandikia uzi kwenye hii avatar yangu.
 
Pole mkuu, Naimani hautapata pia fikiria kwanini Mungu amekupitisha hapo ndani yako unajua vyema njia zako.

Mimi nilipitia hali kama yako na yangu ni hatari maana nilitembea nae zaidi hata ya mara 20+ ...bila kusalisali nisingekuja kujua, Ila pia mwisho nipo safi nikiona mada ya HIV moyo unashtuka sana hahahah ni kama mtu aliewahi kung'atwa na nyoka.

Kila sala ninayosali ya shukrani huwa namshukuru Mungu kwa hili...niliandikia uzi kwenye hii avatar yangu.
Nakubal kaka maan nmekua na mawaz san, na toka mda ule hat ckutaka tena mawasilian nae mpaka leo...sitaki na sitotak hat kwa wengn
 
Nakubal kaka maan nmekua na mawaz san, na toka mda ule hat ckutaka tena mawasilian nae mpaka leo...sitaki na sitotak hat kwa wengn
Hali hiyo lazima upitie.... Mimi mwanzo nilikuwa namuogopa Mungu anisamehe.... Ila niliomba sana nimsamehe na nimsahau sahizi sina mawasiliano nae pia usimnyanyapae....do your best kujibu jibu badae potea...

Upo sawa just imagine zaidi ya mara 20+ na sex za mda mrefu tu... But kupima muhim sikuhizi wadada warembo wengi, wenye miili mizuri tu wanakuwa wanatumia dawa.
 
Nakubal kaka maan nmekua na mawaz san, na toka mda ule hat ckutaka tena mawasilian nae mpaka leo...sitaki na sitotak hat kwa wengn
Mimi naimani haujapata mkuu ukipitia thread yangu utacheka kimuhemuhe kilikuwa kikubwa ila pia kuipunguza hiyo tension na mawazo uwe unapima pima after mwez pima, baada ya hapo miez 2 utajikuta tu mwili umetulia na hofu imeondoka...

Baada ya mwaka kupita nikiwa safi aiseh sikuamini Ila Mungu mwema.
 
Mimi naimani haujapata mkuu ukipitia thread yangu utacheka kimuhemuhe kilikuwa kikubwa ila pia kuipunguza hiyo tension na mawazo uwe unapima pima after mwez pima, baada ya hapo miez 2 utajikuta tu mwili umetulia na hofu imeondoka...

Baada ya mwaka kupita nikiwa safi aiseh sikuamini Ila Mungu mwema.
Naamin kaka na hapo nyuma huo ulikua ndo mtindo wang lakn sijui hii cku ilikuaj, kun mda nasem bor hat sikuiy nisingekuwep ili kupishan nae kabs, na ndo ilikua mar ya 1 lkn nachokishukur ni mda pia hatukuzid hap na hat izo 2 nimekadilia tu maan nadhan hat hapo ckufik nkaw nmemalz
 
Naamin kaka na hapo nyuma huo ulikua ndo mtindo wang lakn sijui hii cku ilikuaj, kun mda nasem bor hat sikuiy nisingekuwep ili kupishan nae kabs, na ndo ilikua mar ya 1 lkn nachokishukur ni mda pia hatukuzid hap na hat izo 2 nimekadilia tu maan nadhan hat hapo ckufik nkaw nmemalz
Upo salama mkuu...kama ni hatari mimi ilikuwa kubwa zaidi maana nahisi hata dawa alikuwa hatumii vizuri, kuna muda alilazwa week means dawa hakuwa anazingatia ila nilipona...

Usihofu ni hali ya muda tu,utakuwa sawa na kilakitu kitaendelea vizuri chamsingi kushukuru Mungu umeshtuka mapema....maana wengine tuliahtuka baada ya kuota ndoto tena miaka 2 ikiwa imepita
 
maliza hizo PEP kisha rudi upime kaka... Pia jipe moyo mimi nilimconfront ndio akakiri anatumia dawa hapo nimelala naumwa malaria/homa nikachanganyikiwa nikaenda hospital njiani nikawa nasema nikiwa nimeugua basi ni kheri nijiue tu..

nilipima zaidi hata ya mara 25 kiasi kwamba doctor wa hospital akawa ananipa na vipimo nijipime mwenyewe Ila mwisho iliisha sahizi nilisahau ila sasa nipo makini haijawahi kutokea
 
Upo salama mkuu...kama ni hatari mimi ilikuwa kubwa zaidi maana nahisi hata dawa alikuwa hatumii vizuri, kuna muda alilazwa week means dawa hakuwa anazingatia ila nilipona...

Usihofu ni hali ya muda tu,utakuwa sawa na kilakitu kitaendelea vizuri chamsingi kushukuru Mungu umeshtuka mapema....maana wengine tuliahtuka baada ya kuota ndoto tena miaka 2 ikiwa imepita
🫱🏽‍🫲🏼 nakubal kaka
 
Ckujua ila bdae nkaambiw na bahat wakat wa sex nlikua nawah job ko nlisukum mar kam 5 nkawa nmemaliz kaka, nlivomuuliz akasem anatumia dawa na hat alipima wing wa wadudu uko chin san, pia aliezaa nae sio mgonjwa
Kwanini asikwambie ili ujikinge
 
Kwanini asikwambie ili ujikinge
HIli swal nmejiuliz mara kadhaa kwann, asingeniambia ili nichague.. hat iv kun mda san hap kat kat amenizungukia ila nkawa nakosa mda kabs yan na hat siku iy ni bas tu
 
Back
Top Bottom