Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?

Je, inawezekana mtu kupata HIV kwenye sex chini ya dakika 2?


Aiseeee ni Kazeze ,Ni Kazeze ,Ni kazeze.

-Vitoto vya 2000 kweli aisee vingi vina grid.

-Utapata Ukimwi endapo umepata michubuko na damu iiyoathirika ikaingiliana na wewe ambaye haujaathirika haijalishia dakika 2 au sekunde ,kama hakuna michubuko hata uende dakika 100 hautopata na kama kuna michubuko hata sekunde tu imoooooo.
 
Mimi niliingiza mara mbili nikavaa ndom nkapiga kidogo nkavua,nkachapa kavu dk 5 hazikuisha kukamilisha action 3 yaani kuingiza mara 2 yaan ile ingiza toa ingiza toa nkavaa mpira nkachapa ka dk 1-2 nkavua nkamaliza kwa dk ka mbili tenna,ile nmeachana na demu nkataka nipate abc zake make alkua mgeni kitaani haa nilihaha..naambiwa mtu wake kawaka na hapo katoka town kupigwa..ilkua samoja sa3:30 usiku nlienda hosp nkapewa kidonge kimoja "pep"kesho asubui nkaenda kupima na nkapewa dozi kamili nilipiga siku 20 nkaacha...toka tar 31/2-19/3..
nMeacha sabu sina uhakika kam nlichubuka lkn nilitumia tu kujikinga
.ndoto za kupaa
.njaa
.homa/mafua
.head ache
.mwili kukosa nguvu


Nilichagua kutumia sa4 au 5 usiku.

Hadi saivi kila nikiumwa napatwa na mawazo mengi sana,leo nmejaribu kwenda kupima wameniambia hadi ipite miezi 3 nikarudi..
 

Attachments

  • 20240408_190809_mfnr.jpg
    20240408_190809_mfnr.jpg
    1.2 MB · Views: 9
Aiseeee ni Kazeze ,Ni Kazeze ,Ni kazeze.

-Vitoto vya 2000 kweli aisee vingi vina grid.

-Utapata Ukimwi endapo umepata michubuko na damu iiyoathirika ikaingiliana na wewe ambaye haujaathirika haijalishia dakika 2 au sekunde ,kama hakuna michubuko hata uende dakika 100 hautopata na kama kuna michubuko hata sekunde tu imoooooo.
Navyo vinaweka vipini puani?
 
Ukimaliza Pep then anza kutibu pre mature ejaculation maana hiyo sex ya dk2 ni tatizo
No nlikua na mda san bila sex lkn pia ilikua mida ya kuingia kazin kam dakik 2 nmezidish ili niondok, na ndo maan nlivowek nkawah
 
Mimi niliingiza mara mbili nikavaa ndom nkapiga kidogo nkavua,nkachapa kavu dk 5 hazikuisha kukamilisha action 3 yaani kuingiza mara 2 yaan ile ingiza toa ingiza toa nkavaa mpira nkachapa ka dk 1-2 nkavua nkamaliza kwa dk ka mbili tenna,ile nmeachana na demu nkataka nipate abc zake make alkua mgeni kitaani haa nilihaha..naambiwa mtu wake kawaka na hapo katoka town kupigwa..ilkua samoja sa3:30 usiku nlienda hosp nkapewa kidonge kimoja "pep"kesho asubui nkaenda kupima na nkapewa dozi kamili nilipiga siku 20 nkaacha...toka tar 31/2-19/3..
nMeacha sabu sina uhakika kam nlichubuka lkn nilitumia tu kujikinga
.ndoto za kupaa
.njaa
.homa/mafua
.head ache
.mwili kukosa nguvu


Nilichagua kutumia sa4 au 5 usiku.

Hadi saivi kila nikiumwa napatwa na mawazo mengi sana,leo nmejaribu kwenda kupima wameniambia hadi ipite miezi 3 nikarudi..
USingeach wanasem dawa zinasaidia san, maan kun nes aliniambia yy alikua kwa wale wanaokusany dam ukiend kutoa na aliwah kujichom kwa sindan ya mdau ambae alikua anachanga dam na dam ilikua chaf ila alianza dawa baada ya kujichom, ko kweny kupim zile dam ile ikawa chaf.. alitumia na akaw saw ila kikubwa ni matumiz sahih
 
Kama kweli ulienda kupata dawa za kufubaza uko salama. Ila kama umekuja kutafuta huruma humu nakuhurumia sana maana hata sekunde moja inatosha kirusi kuingia mwilini . Hiv sio mpaka mchubuko hata majimaji yanayopatikana kwenye k hubeba hivyo virusi. Kumbuka pia kucheki na Homa ya ini
 
Back
Top Bottom