Mimi niliingiza mara mbili nikavaa ndom nkapiga kidogo nkavua,nkachapa kavu dk 5 hazikuisha kukamilisha action 3 yaani kuingiza mara 2 yaan ile ingiza toa ingiza toa nkavaa mpira nkachapa ka dk 1-2 nkavua nkamaliza kwa dk ka mbili tenna,ile nmeachana na demu nkataka nipate abc zake make alkua mgeni kitaani haa nilihaha..naambiwa mtu wake kawaka na hapo katoka town kupigwa..ilkua samoja sa3:30 usiku nlienda hosp nkapewa kidonge kimoja "pep"kesho asubui nkaenda kupima na nkapewa dozi kamili nilipiga siku 20 nkaacha...toka tar 31/2-19/3..
nMeacha sabu sina uhakika kam nlichubuka lkn nilitumia tu kujikinga
.ndoto za kupaa
.njaa
.homa/mafua
.head ache
.mwili kukosa nguvu
Nilichagua kutumia sa4 au 5 usiku.
Hadi saivi kila nikiumwa napatwa na mawazo mengi sana,leo nmejaribu kwenda kupima wameniambia hadi ipite miezi 3 nikarudi..