escrow
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 371
- 321
Navyofahamu mimi ni bunge pekee ndio lina weza kupiga kura ya kutokua na iman na rais endapo rais. Endapo serikali itapeleka mswada bungeni (wowote) ukakataliwa Mara mbili ,hapo ni rais kilivunja bunge ama bunge kupiga kura ya kutokua na iman na rais , sijabahatika kuona kifungu cha katiba ambacho kinampa mwananchi mamlaka ya moja kwa moja kupiga kura ya kutokua na Iman na rais isipokua kupitia bunge la jamhuri. Endapo rais akipigiwa kura ya kutokua na Iman bas makamu wa rais atachukua hatamu kumalizia kipindi kilichobaki ili kufikia uchaguzi mkuu. Ni 2/3 ya bunge kupiga kura ya ndio ndipo rais ataondoka madarakan. (Zaid tuwangoje wajuv wa mambo zaid).