Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Umechemka sana kununua kiwanja chenye makaburi. Bora ungetosheka tu na kiwanja chako cha awali.Ni kiwanja ambacho kinapakana na na kiwanja changu, nikaona nijitanue .
Binafsi sikushauri kuyahamisha. Badala yake, ni bora mara 100 ukalikwepa hilo eneo kwa namna yoyote ile.