Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Walihamisha langu kilichowakuta walisimulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa mujibu wa sheia kaburi la bnaadam linatakiwa lifukuliwe baada ya miaka 30! Kama yamemaliza huo muda unaweza kuyafukua tuNikiongea na wahusika ili wahamishe wenyewe je?
Ulinunua kiwanja itabdi Sasa ununue kiwanja Cha makaburi na gharama za kuhamisha. Bado Kazi unayo... Kuna jamii haziamin kwenye kuhamisha makaburi itabidi utumie nguvu Zaidi..Nimenunua kiwanja pembeni kina makaburi matatu, ni kipande cha mita tatu kwa tatu, sasa nawaza niyahamishie sehemu nyingine huko ili nipate nafasi kubwa zaidi ya kiwanja, nimekuja kwenu ili nijue kama kuna madhara yoyote au la.
Umeshalipia unaambiwa ila pale kwenye kile kichaka usifanye shughuli yoyote kuna makaburi.Sio kawaida sana hii.. Kuna nini?
Sawa Mkuu.Usifanye kienyeji wapate wahusika myajenge
Ukiwa ni mchawi utaona ni swali la kijinga. Mchawi tu ndye anaona kawaida kuishi makaburiniUmeuliza swali nililotaka kuulizaa[emoji1][emoji1][emoji1]
Ht kiwanja kiwe kizuri namna gan km kiko karibu na makaburi mm NO