Je, inawezekana utekaji na upoteaji unaotokea haufanywi na Watanzania?

Je, inawezekana utekaji na upoteaji unaotokea haufanywi na Watanzania?

RESILIENT KATO

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
1,472
Reaction score
2,766
Tangu awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hao askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
 
Tangy awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hai askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
Whatever it is watanzania wako involved. Watu kama hao hawawezi fanya hayo mambo without kuwa involved
 
Tangy awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hai askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
Ni polisi na ni watanzania, msitake kutupoteza kienyeji.
 
Tangy awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hai askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
nadhani kuna imani potofu za kishirikina ndani yake, zinazochochea kutoana kafara na kuchukuana misukule, ndani ya vyama vya siasa ili tu mwingine asie na hoja na asiekubalika aendelee kukaa madarakani..

kuficha fedheha na aibu hiyo ndio visingizio sijui vinaelekezwa kwa hata wasiohusika 🐒

Ni muhimu kuepuka masuala ya kiganga na uchawi kwenye kutafuta uongozi. kuna siku mganga atukutuma kufanya magumu na mabaya zaidi ili upate uongozi, hali ya kua ni uongo tu 🐒
 
Tafuta kitabu hiki "The Dark Side of Nyerere's Legacy by Ludovick S. Mwijage ukisome ndio utaelewa huu ujinga wa kuteka na kupoteza Watu umeanza zamani sana!

Bahati mbaya asili ya Tanzania tunafanya kazi kwa kurithishana, na hivyo ofisi nyingi tangu Uhuru wamo ndugu na watoto WA watangulizi wao!
 
nadhani kuna imani potofu za kishirikina ndani yake, zinazochochea kutoana kafara na kuchukuana misukule, ndani ya vyama vya siasa ili tu mwingine asie na hoja na asiekubalika aendelee kukaa madarakani..

kuficha fedheha na aibu hiyo ndio visingizio sijui vinaelekezwa kwa hata wasiohusika 🐒

Ni muhimu kuepuka masuala ya kiganga na uchawi kwenye kutafuta uongozi. kuna siku mganga atukutuma kufanya magumu na mabaya zaidi ili upate uongozi, hali ya kua ni uongo tu 🐒
Mtu mzima hivyo!!

Toa mataputapu yako hapa
 
Tangy awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hai askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
Sasa wewe haujuhi kwamba mafunzo ya askari yanawageuza roho zao kuwa za kikatili wanapotumwa kufanya yao. Kuna vitengo vingi sana polisi. Pia polisi yetu ni old school, si polisi ya karne hizi, bali ni ya karne za huko kwa wakoloni.
 
Tangu awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hao askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
Wewe unajua ulinzi na usalama wa nchi hii. Hii nchi kwa investigation (upelelezi) I ni moja ya nchi Bora sana Duniani. Haya mambo wewe waachie tu wenyewe.
 
nadhani kuna imani potofu za kishirikina ndani yake, zinazochochea kutoana kafara na kuchukuana misukule, ndani ya vyama vya siasa ili tu mwingine asie na hoja na asiekubalika aendelee kukaa madarakani..

kuficha fedheha na aibu hiyo ndio visingizio sijui vinaelekezwa kwa hata wasiohusika 🐒

Ni muhimu kuepuka masuala ya kiganga na uchawi kwenye kutafuta uongozi. kuna siku mganga atukutuma kufanya magumu na mabaya zaidi ili upate uongozi, hali ya kua ni uongo tu 🐒
Leo hujaenda kuteka watu ?
 
Mtu mzima hivyo!!

Toa mataputapu yako hapa
acheni ramli chonganishi, kutoana kafara na kuchukua vijana misukule,sawa gentleman? alaaaa!
muache hiyo tabia maramoja okay ?

na wale wa kuchoma vitenge nao muwaambie matambiko ya kichawi Karne hii ni utumwa wa kishetani...

nao waache kufuru mara moja sawa? Right?,

na laana ya kufuru Lazima itawatafuna wote wale walioshiriki jambo lile 🐒
 
Tangu awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hao askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
Kwanini wateke watu wanaopinga serikali peke ake na pia wageni wanaezaje kumteka mtu na kumpeleka oysterbay . Na kama ni wageni ina maana kazi ya majasusi wetu ni nini
 
Tafuta kitabu hiki "The Dark Side of Nyerere's Legacy by Ludovick S. Mwijage ukisome ndio utaelewa huu ujinga wa kuteka na kupoteza Watu umeanza zamani sana!

Bahati mbaya asili ya Tanzania tunafanya kazi kwa kurithishana, na hivyo ofisi nyingi tangu Uhuru wamo ndugu na watoto WA watangulizi wao!
Wewe utakuwa una akili sawa na kuku ...hakuna nchi duniani mambo hsyo hayapo tunachopinga siyo kuua watu au kuteka watu bali kuua na kuteka watu wasio na hatia ...ila kuua au kuteka watu waovu hatupingi hata sikumoja ...TOFAUTI YA SAMIA NA JPM NA NYERERE NI HIYO HAPO KWA SASA CHINI YA SAMIA WAOVU NDIYO WANATUKUZWA NA WEMA NDIYO WANAULIWA ...UKIWA MZALENDO WA TAIFA BASI MAISHA YAKO CHINI YA BUSHIRI SAMIA YAPO HATARINI MUDA WOWOTE UNAULIWA
 
kuingia HQ tu saivi vijana wanaskiliziana bana, akienda atarudi kweli? kumbe huko ndiko hupotelea misukule dah...🐒
TLS Wana ujumbe wenu.
Kibaya zaidi Sasa hivi raia wanawaweka bisibisi Afande wenu Bila woga.
 
Back
Top Bottom