Je, inawezekana utekaji na upoteaji unaotokea haufanywi na Watanzania?

Je, inawezekana utekaji na upoteaji unaotokea haufanywi na Watanzania?

TLS Wana ujumbe wenu.
Kibaya zaidi Sasa hivi raia wanawaweka bisibisi Afande wenu Bila woga.
nadhani niliwapa hoja pia ya kujadili kongamano lijalo, kwamba wajadili athari za ushirikina, ramli chonganishi kutoana kafara na kuchukuana misukule ili kupata uongozi hususani ndani ya vyama vya siasa upinzani nchini 🐒
 
Wewe unajua ulinzi na usalama wa nchi hii. Hii nchi kwa investigation (upelelezi) I ni moja ya nchi Bora sana Duniani. Haya mambo wewe waachie tu wenyewe.
Hili liliwezekana kwa sababu watanzania wote wanajiona ni ndugu (sera ya Baba wa taifa, apumzike kwa Amani alipolala).
Wakati huo maslahi ya uma (walio wengi) yalipewa kipaumbele kwa uwazi.
 
Kwa ubobezi nilio nao inawezekana pia upinzani ukafanya uhalifu huu wa utekaji ili kuchafua reputation ya alie madarakani, ukiniuliza upinzani wanawezaje kuteka watu wao wenyewe ntakujibu inawezekana ni kama mzazi mwenye tamaa ya mali anavyoweza kumtoa kafara mtoto wake ili yeye awe tajiri.

Aliye madarakani hata kama anafanya uchafu lakini hawezi kufanya uchafu huo kwa kiwango ambacho kinaharibu sifa yake kwa kiasi hiki, kwahiyo inaweza kuwa ni upinzani ndo wanafanya au kikundi cha watu walio ndani ya chama tawala chenye nia ya kumchafua alie madarakani, lakini siyo rahisi aliemadarakani kujichafua mwenyewe.
 
Kwanini wateke watu wanaopinga serikali peke ake na pia wageni wanaezaje kumteka mtu na kumpeleka oysterbay . Na kama ni wageni ina maana kazi ya majasusi wetu ni nini
Kwasasa sio kila anaepinga serikali anatekwa!wengine hata wazo Hilo hawana lakini wanatekwa!fuatilia utaona mitandaoni!

Mpo wawili mnatembea mmoja anachukuliwa na askari kanzu mwingine anaachwa!!!

We fuatilia TU!
 
Wewe unajua ulinzi na usalama wa nchi hii. Hii nchi kwa investigation (upelelezi) I ni moja ya nchi Bora sana Duniani. Haya mambo wewe waachie tu wenyewe.
Kama ipo hivyo tungekua pro active kwenye Kila jambo!

Mfano maandamano ya chadema yasingezuiliwa kwa polisi Bali spinning ingetosha!

Haya yanayoendelelea yanaonyesha kufeli kwa organs au Organs hazisikilizwi au tumewaachia wanasiasa badala ya wataalamu wacheze na hatma ya nchi!
 
nadhani kuna imani potofu za kishirikina ndani yake, zinazochochea kutoana kafara na kuchukuana misukule, ndani ya vyama vya siasa ili tu mwingine asie na hoja na asiekubalika aendelee kukaa madarakani..
damu ya binadamu sio maji useme ikimwagika itachochea mimea kujua na watu wakala wakasitawi.
Damu ya mtu ni Laana juu ya ardhi na kwa wanaoimwaga.
Unapoleta ushabiki na anonymous names ambapo unawaoshabikia hawakatambui na hakuna wanachokupa kama faida, unaowasingizia Wana Mungu naye aliyeumba anaona machungu ya wapendwa wao!

Mzee kibao hakukamatwa na washirikina, it was an open abduction and subsequently extermination, na Masauni amejaribu wazi wazi kutuliza Hali ya hewa, polisi kutumia nguvu kuzuia Wana Sheria wa chama chake wasishiriki Postmortem, huu sio ushirikina. Mkuu wa nchi ametoka hadharani na kusema ni kifo Cha wkawaida hakipaswi kuleta taharuki na serikali zote duniani zinaua watu! Huu sio ushirikina. Kiongozi mkubwa wa chama Cha mapinduzi huko Kanda Fulani aliweka bayana kwamba matukio hayo wanaambatana nayo, huku DC aliyefukuzwa kwa kusema ukweli huo huo akifutwa kazi!
Tundu lisu faced attempted murder in a well secured area! Leo ametaja hadharani mtu aliyehusika kupanga tukio lile, hata polisi wameogopa kumuita tu kuandika maelezo, Mafwele amewekwa bayana kabisa namna Gani anashiriki kuhujumu uhai wa watu! Kwa nchi inayofuata utawala wa Sheria ni lazima majalada yangekua mezani na watu wako charged! Sasa jiepushe na damu ya binadamu ndugu. Vinginevyo nakuapia kwa Jina la Mungu aliye hai kwa kinywa chako na vidole unavuotumia kuandika utaonja vivyo hivyo ukiwa hai au kizazi chako!
Lucas Mwashambwa Pascal Mayalla

Nimemtag Pascal akueleze Nini maana ya karma
 
nadhani niliwapa hoja pia ya kujadili kongamano lijalo, kwamba wajadili athari za ushirikina, ramli chonganishi kutoana kafara na kuchukuana misukule ili kupata uongozi hususani ndani ya vyama vya siasa upinzani nchini 🐒
Hayo mambo huez wazid ccmu
 
Kwa ubobezi nilio nao inawezekana pia upinzani ukafanya uhalifu huu wa utekaji ili kuchafua reputation ya alie madarakani, ukiniuliza upinzani wanawezaje kuteka watu wao wenyewe ntakujibu inawezekana ni kama mzazi mwenye tamaa ya mali anavyoweza kumtoa kafara mtoto wake ili yeye awe tajiri.

Aliemadarakani hata kama anafanya uchafu lakini hawezi kufanya uchafu huo kwa kiwango ambacho kinaharibu sifa yake kwa kiasi hiki, kwahiyo inaweza kuwa ni upinzani ndo wanafanya au kikundi cha watu walio ndani ya chama tawala chenye nia ya kumchafua alie madarakani, lakini siyo rahisi aliemadarakani kujichafua mwenyewe.
Mkuu sio kweli, jinsi polisi walivyo na mahaba na chama tawala wawachie upinzani bila kuwafungulia mashtaka. Tafakari zaidi.
 
Tangu awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!

Mwaka Jana kukapitishwa Sheria ya kitengo kisiingiliwe kwenye utendaji wake pale inapokua kwenye operation na sasa Kuna kelele za askari kanzu wengi sana wametapakaa Tanzania nzima wakiendesha Operation teka teka wakijitambulisha kuwa wao ni polisi na wakiwachukua wahanga hawakutwi kituo chochote Cha polisi!!

Hao askari kanzu wenye roho katili hivi ni watz kweli!!?tunajuaje kama ni mapandikizi Toka Kwa jirani yaliyoingia awamu ile!!?na Sasa kama wanajiimarisha zaidi hamuoni hatari mbeleni !?wakawa na influence kwa aina ya viongozi watakao shika hatamu!!?

What if wakihitilafiana na wenyeji nini kitatokea!!?

Huwa nawaza tu kwa sauti kama mwenye akili timamu!
mbona umeandika kwa uwoga
 
damu ya binadamu sio maji useme ikimwagika itachochea mimea kujua na watu wakala wakasitawi.
Damu ya mtu ni Laana juu ya ardhi na kwa wanaoimwaga.
Pascal Mayalla

Nimemtag Pascal akueleze Nini maana ya karma
Asante kuni tag, ni kweli kabisa damu ya mtu haipotei bure na sio damu tuu hata machozi, jasho na damu havipotei bure karma lazima itafidia!. Baada ya kifo cha Mzee Kibao, nimepandisha makala 3 na zote pia nimezungumzia karma.
  1. Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti
  2. Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti
  3. Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?
P
 
Kama ipo hivyo tungekua pro active kwenye Kila jambo!

Mfano maandamano ya chadema yasingezuiliwa kwa polisi Bali spinning ingetosha!

Haya yanayoendelelea yanaonyesha kufeli kwa organs au Organs hazisikilizwi au tumewaachia wanasiasa badala ya wataalamu wacheze na hatma ya nchi!
Kwani unazani wanaozuia mandamano ni POLISI,POLISI kwa upande wao wako vizuri sana ila hao watawala ndiyo waoga, POLISI wasipo pata maagizo kutoka juu wasnauwezo mkubwaa sana na weledi wa hali juu sana wa kuzuia uhalifu wowote nchini bila matatizo yoyote. Wana intejensia ya hali ya juu sana kuliko nchi yoyote barani Afrika. Interpol wwenyewe huwa wanaomba misaada ya rasdilimali wastu kutoka ktk Jeshi letu, mimi kwa uande wangu sina shaka hata kidogo na uwezo wa hili jeshi letu hata wao roho inawsuma sana na wakiona watu wanamashaka na uwezo wao, lakini watafanya nini sasa wakati katiba yetu imempa mtu mmoja mamlaka yote kuteua kutengua kuamua na anakinga zote.
 
Back
Top Bottom