Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Huwa mnatumia nguvu nyingi sana kujaribu kutetea ujio wa huyo muarabu na uzombi wake alioambukiza dunia, alitabiriwa ujio wake kama mpinga Kristo.
Kwanza maisha yake hayaendani kabisa na Ukristo, ukizingatia alikua anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa, pili alihusika kwenye mauaji ya Wayahudi, pamoja na mauchafu mengine mengi.
 
Umeelewa hata ulichoandika,ebu kisome vizuri
 
Tutayaamini vipi mandiko unayodai sio halali?
 
Yatolee ushahidi wa wazi hayo uliyoyasema wewe!!!
Sio maneno tu!!!
 
Kwa hiyo huyu ni mungu wa waisrael tu

Hapana. Ni description inayolenga kumtofautisha na miungu wengine, pia anaitwa Mungu wa Eliya, Mungu wa Yakobo nk. Kwa kuwa kuna miungu wengi mfano Allah, sijui miungu wa baharini, miungu jua nk ambayo yote ni miungu fake), kuna ulazima wa kuspecify ni mungu yupi hasa unayemzungumzia. Waisraeli wana historia ndefu sana na Mungu wa kweli, ndiyo maana kuwafanyia reference ni sahihi kabisa.
 
Unatumia criteria gani kujua yupi ni fake na yupi si-fake?
 
Allah ni imaginary God. He never existed ni mpango tu wa shetani wa kuwapoyosha. Au ndiye shetani mwenyewe
Kwanini unaswma ni mpango wa shetani? Shetani ana nguvu kubwa kiasi hicho?
 
Hongera zako Kwa kuwa na Mungu
1) Alikaa tumboni Kwa mama yake miezi 9 so Mungu wako ana mama yake

2)Ana wadogo zake hapa Duniani wa kuzaliwa nae tumbo Moja

3) Alijinyea na kujikojolea alipokuwa mtoto mchanga

4) Alivalishwa nepi na mama yake

5) Alikuwa anakula chakula alafu anaenda chooni kunya

6) Alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) Alikuwa fundi seremala akichonga vitanda na makabati Ili ajipatie ridhiki yake

8) Wakati wewe ni Mungu wako Kuna wengine ni mjomba wao maana dada zake walizaa watoto


Ila tambua kuwa sisi waislam na Yesu Mungu wetu ni mmoja na ndio maana hata stail zetu za kumuabudu Mungu wetu zinafanana

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Alafu na andiko hili nakupa kama zawadi Ili ujijue kuwa wewe haufati mafundisho ya Yesu ila unafuata uongo wa wazungu

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
 
Mkuu kwenye hii hoja yako nina swali.

Kwanini kauli hizi zipo pande zote yani utasikia Masheikh wamekula kiapo wasiseme ukweli. Hali kadhalika Mapadri wamekula kiapo wasiseme ukweli.

Unatoa tamko gani ?
 
Kwanini unaswma ni mpango wa shetani? Shetani ana nguvu kubwa kiasi hicho?
Mpango wa shetani ni kuwarubuni binadamu waende naye motoni. Ana nguvu sana ukilinganisha na uwezo wa binadamu. We angalia mnavyopelekeshwa na majini (minions) mnayoyafuga hadi mnacomply kuishi yanavyotaka. Sisi hao wala hatuwaogopi maana tunaye Yesu.
 
Umetumia neno kama "mnavyopelekeshwa". Nikiweka kumbukumbu sawa sidhani kama nimefafanua mimi nipo upande gani zaidi ya kuuliza swali.

Huyu shetani hii nguvu ya kufanya hivyo kapewa na nani? Na kwanini?
 

Hakika unesema yote. Upendo, ni amri kuu mpya ambayo inapingwa kabisa na waislam. Wao wanaamini revenge , na fake until you can make it. Ukiona mwislam anakuchekea be careful, probably anakulia timing, au kuna wale (nina marafiki kadhaa waislam) hawajui vizuri dini yao so naturally wanapractice upendo kwakuwa hawajui dini yao inataka nini kwneye hilo.
 
Kwenye ukristo hakuna mafundisho ya kiislam na biblia haitambui utume wa mohamad zaidi ya kumuona ni nabii wa uongo anayeupotosha ulimwengu. Ni pro ant christ
 
Mkuu juzi niliuliza hili swali ngoja ni quote
Swali langu umejibu hoja ya bams kwakukubaliana naye, lakini katika paragragh yake ya kwanza mbona kapotosha na wewe umekubaliana naye

Je hapa tatizo lipo wapi yeye kukupotosha? , wewe kukubali kupotoshwa?, The Almighty kuruhusu zoezi zima?
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwenye ukristo hakuna mafundisho ya kiislam na biblia haitambui utume wa mohamad zaidi ya kumuona ni nabii wa uongo anayeupotosha ulimwengu. Ni pro ant christ
Fundisho la kiislam katika Bibilia hili hapa

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma

Wewe siku utakapo liamini hili andiko na kuyakubali haya ambayo Yesu amekuambia uyamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Na wewe utakuwa Muislam kama Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…