Niliwah kusikia Allah ni jamaa fulani, aliwahi kuishi zamani na alikuwa na watoto watatu. Huu ukweli waumini wa kiislamu, wanaupinga sana.Hapo Allah anasema kuwa hayo ni majina makureshi waliyatunga na kusema ni watoto wa Allah
Acha propaganda sema mna miungu wangapi?
Lete aya za Qur’an nilizokwambia uzilete kama ushahidi acha porojo.Quran imechakachuliwa.
Lete ushahidi si maneno ya vijiwe vya kahawaNiliwah kusikia Allah ni jamaa fulani, aliwahi kuishi zamani na alikuwa na watoto watatu. Huu ukweli waumini wa kiislamu, wanaupinga sana.
Yesu hakuwahi kuwepo ,mtume alikuwepo na aliishi maana yupo hadi kwenye vitabu vya historia ila ni muhuni flani aliyetembelea hekaya za wayahudi na huyo yesu/feki na alikua tapeli ,muuaji,mbakaji ,alikufa kwa kupewa sumu .Injili ni hekaya za kutungwa na kusadikika tu.
Quran ni hekaya za kutungwa na kusadikika tu.
Mtume Muhammad hajawahi kuwepo na hayupo.
Hakuna Mungu.
Unaombea maiti amani ili iwejeKatika Uislamu unapotaja jina la Mtume yeyote wa Mwenyezi Mungu unatakiwa umuombee amani. Hii ni kwa Mitume wote akiwemo na Mtume Muhammad (Rehema na Amani ziwe juu yake).
Hapo ndo kichwa ya muislamu ilipopigwa kufuli, Hawa watu wanamfanisha MUNGU na mwanadamu. MUNGU ni roho, Hana mwili, mnasema mnaamini injili na bado mnaichambua na kuitafsiri vibaya.Hapana mimi si watatu mimi ni mmoja tu!!!
Yatolee ushahidi wa wazi hayo uliyoyasema wewe!!!
Sio maneno tu!!!
Waislam ndo wanywa kahawa wakubwa vijiweni, fatilia.Lete ushahidi si maneno ya vijiwe vya kahawa
Ninavyojua watu huwa wanafata ukoo wa baba hata waarabu na sio wa mama/ujombani sasa huyu ismail babaake alikua mwarabu??Waarabu wanagawanyika katika makundi makuu mawili:
1. Waarabu wa Qahtani – Hawa wanahusishwa na Yemen, na wanadaiwa kuwa na asili yao ya ukoo wa Qahtan, ambaye si mzawa wa Ismail (A.S.).
2. Waarabu wa Adnani – Hawa wanarudi kwa Nabii Ismail (A.S.) kupitia ukoo wa Adnan, na ndio kundi ambalo Quraysh (uko wa Mtume Muhammad S.A.W.) linatoka.
Hatuwanasibishi waarabu na wayahudi ila tunawanasibisha na Ismail(عَلَیهِالسَّلام).
Ama wewe una ushahidi wowote kuwa waarabu si kizazi cha Ismail(عَلَیهِالسَّلا
Si mnadai biblia hii sio halisi imechakachuliwa ,kwanini sasa kutumia kama reference,tuleteeni ile biblia halisi achaneni na hii ilochakachuliwa na wazungu.Hongera zako Kwa kuwa na Mungu
1) Alikaa tumboni Kwa mama yake miezi 9 so Mungu wako ana mama yake
2)Ana wadogo zake hapa Duniani wa kuzaliwa nae tumbo Moja
3) Alijinyea na kujikojolea alipokuwa mtoto mchanga
4) Alivalishwa nepi na mama yake
5) Alikuwa anakula chakula alafu anaenda chooni kunya
6) Alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya
7) Alikuwa fundi seremala akichonga vitanda na makabati Ili ajipatie ridhiki yake
8) Wakati wewe ni Mungu wako Kuna wengine ni mjomba wao maana dada zake walizaa watoto
Ila tambua kuwa sisi waislam na Yesu Mungu wetu ni mmoja na ndio maana hata stail zetu za kumuabudu Mungu wetu zinafanana
Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Alafu na andiko hili nakupa kama zawadi Ili ujijue kuwa wewe haufati mafundisho ya Yesu ila unafuata uongo wa wazungu
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Lakini yesu alikuwa na mwiliMUNGU ni roho, Hana mwili,
Mkuu Quran imekuja mwaka 1500 Baada ya uyahudi,, uislam ulianza mwaka 1500 Baada ya uyahudi(dini ya kiyahudi) ALLAH SUBHANA WATAALAH amekuja miaka 1500 baada ya uyahudi Labda alikuwa kabla akitumia jina lake la AL BAAL... LAKINI LA SUBHANA WATAALAH kaanza kulitumia Kwa makuresh waliosali uchi Al Kaaba na wakati Muhammad alipouleta uislam....kama unao ushahidi wa kimaandiko kuwa Mungu aliyempa Taurati nabii Musa sio Mungu aliyempa Quran nabii Muhammad weka hapa tuone
Lete ushahidiVitabu vyenu vyenyewe vinasema hilo lizee liligegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa, yaani nje huku nikiangalia katoto ka miaka tisa halafu niwaze libabu la miaka hamsini linakagegeda najikuta nahisi kichefu chefu Cha kutaka kutapika.
Mohamed Kusababisha mauaji kwa watoto wa Wayahudi mbona maandiko yenu yapo wazi au nikuletee humu, yaani huyo Babu ana mauchafu mengi sana nashangaa iweje mnamuabudu.
Sasa hapo ukielezewa Nguvu halisi ya MUNGU utabisha, kwasababu nyinyi mna vichwa vigumu sana.Lakini yesu alikuwa na mwili
Umeambiwa yapo kadhaa yaliyoacha sahihi na sio yote kama vile usiibe na usiabudu miungu mingineSi mnadai biblia hii sio halisi imechakachuliwa ,kwanini sasa kutumia kama reference,tuleteeni ile biblia halisi achaneni na hii ilochakachuliwa na wazungu.
Na vipi biblia inapoelezea mambo ya Adamu 😃😀😄Quran kuelezea Jambo la miaka 1500 kabla ni hadithi na historia..
Nyinyi mnamuabudu Allah siyo MUNGU.Lete ushahidi
Halafu sisi hatumuabudu mtu kama nyinyi
Toa hoja wewe!!! 😃Sasa hapo ukielezewa Nguvu halisi ya MUNGU utabisha, kwasababu nyinyi mna vichwa vigumu sana.
Allah ni nani mbona unapagawa mapema kijana!!!Nyinyi mnamuabudu Allah siyo MUNGU.