Hongera zako Kwa kuwa na Mungu
1) Alikaa tumboni Kwa mama yake miezi 9 so Mungu wako ana mama yake
2)Ana wadogo zake hapa Duniani wa kuzaliwa nae tumbo Moja
3) Alijinyea na kujikojolea alipokuwa mtoto mchanga
4) Alivalishwa nepi na mama yake
5) Alikuwa anakula chakula alafu anaenda chooni kunya
6) Alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya
7) Alikuwa fundi seremala akichonga vitanda na makabati Ili ajipatie ridhiki yake
8) Wakati wewe ni Mungu wako Kuna wengine ni mjomba wao maana dada zake walizaa watoto
Ila tambua kuwa sisi waislam na Yesu Mungu wetu ni mmoja na ndio maana hata stail zetu za kumuabudu Mungu wetu zinafanana
Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Alafu na andiko hili nakupa kama zawadi Ili ujijue kuwa wewe haufati mafundisho ya Yesu ila unafuata uongo wa wazungu
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.