Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Ukichaa siyo tusi. Waislam wengi ni vichaa Kama wewe😂 wanasema mbinguni Kuna kusenyentana😂😂 Mara ooo mbinguni lugha inayozungumzwa ni kiarabu😂😂😂 mmeshazoea porojo tu.
Sawa lakini ushahidi uko wapi
 
Kwanini mnapata shida? Kwenye imani ya kikikristo unatakiwa kujua na kutofautisha kati ya haya makundi, Yaani
Nabii
Masihi
Mitume.

Kwenye biblia takatifu manabii wote walikuja kwaajili ya utabiri wa ujio wa masihi yaani Yesu kristo,

Pia kwenye biblia takatifu mitume ni wale wanafunzi wa Yesu kristo 12 ambao waliwakilisha idadi ya makabila 12 ya wayahudi.

Nabii wa mwisho kwenye biblia takatifu ni Yohana mbatizaji ambae alipata bahati ya kipekee ya kuuona utabiri wake na ndiye aliembatiza yule aliemtabiri kuwa atakuja, Yaani "Masihi".

Kwahiyo kusema kuwa Injili ilitabiri ujio wa Muhamad huko ni kuikosea heshima imani ya kikristo. Utabiri uliisha kwa utabiri wa Yohana mbatizaji na baada ya Yohana alikuja kristo yaani masihi Yesu kristo.

Baada ya Yesu kristo, wakristo tuliletewa Roho mtakatifu, Note: Roho mtakatifu hakutabiriwa bali aliletwa na mwenyezi Mungu baada ya kuondoka kwa Masihi.

Kuhusu siku ya mwisho au kiama, hakuna utabiri kwenye siku ya mwisho kwa maana tumeambiwa na masihi yaani Yesu kristo kuwa twapaswa kujiandaa maana hatujui siku wala saa hivyo tuenende kwenye utakatifu kwa kutendeana yaliyo mema na kumuabudu bwana Mungu wetu kwa roho na kweli.

Hakuna utabiri wowote kwenye ukristo baada ya utabiri wa Yohana mbatizaji ambao ulitabiri ujio wa masihi, baada ya kuondoka Yesu kristo tulibakiwa na mitume na roho mtakatifu ambae kwa sasa aliebakia ni roho mtakatifu pekee ambae hatuwezi kumuona kwa macho ila tunaweza kumhisi yu ndani yetu kwakuwa yeye ndio mlinzi na kiongozi wetu.

Ukiujua ukristo na mpangilio wake kuanzia Uungu, malaika,manabii,mitume,masihi na roho mtakatifu kamwe hutopata shida kubisha na watu either wawe ni wakristo wenzako au hata hawa wa upande mwingine.
 
Chief unaamini Hadith za kutungwa? Unajua Bukhari hakuwahi kumuona Mohamed,hakuishi Saudi Arabia. Alikuwa mtu wa Uzbekistan huko,km zaidi ya 1000 kutoka Mecca.

Hizi Hadith zimeandikwa miaka Zaidi ya 200 baada ya Mohamed kufa, kali kuliko ni hadithi za Bukhari ni karibia miaka 400 baadaye. Wewe leo unaleta hapa kama authentic source ya maneno ya Allah 🤔🤔!!!
 
Injeel ni nini? Pia injeel iko wapi?
 
Mwenyezi Mungu hana roho.
Labda unaweza kunielezea hiyo roho ipoje?
Quran 3:45-47 kasome hii sura kwa kiarabu,sio tafsiri za kiswahili/English ambazo neno Gabriel limepachikwa. Kisha uje hapa utwambia Ruh maana yake nini?
 
Uislam ni mpinga kristo halisi kwa sababu unapingana na mafundisho ya Yesu. Hapa umesahau hoja moja ya muhimu sana, Yesu alikuwa anamwita Mungu wake baba. Allah hana mwana,huyu Allah sio Mungu wala baba yake Yesu .
 
Leta hapa aya kutoka kwenye Quran inayosema injeel imepotoshwa? Umekaririshwa uongo na upotoshaji tu,hakuna mahali kitabu chenu kinasema enjeel imepotoshwa,pili injeel waislam hamuijui japo mnasema imepotoshwa.

Imepotoshwa wakati hamuijui wala hamjawahi kuiona!! Imani yenu imesimama kwenye msingi dhaifu sana na ndiyo maana mnajitafuta kwenye kitabu cha wakristo.
 
(Roho aliyoumba kwa uandishi) Imeongezwa kwa tafsiri ya kiswahili na English 🤔. Kwenye Quran ya kiarabu hakuna hayo maneno.
 
Ndio nimemwambia Imani Yao ni dhaifu sana ,thus why wanalazimisha Yesu ni Isa ,maana wakisema wasimame na Isa wao hakuna atakayewaamini
 
Unazidi kudanganya mkuu ,yaani ameanza kusubishwa saa 3 asubui au saa sita mchana? Na kama alianza kusubishwa saa 3 asubui na kufa saa 9 mchana hiyo saa 12 jioni imehusikaje? Kwa sababu mchana huanzia saa 6 na jioni huanzia saa 10 jioni.
Ama unataka kusema alisulubiwa saa 3 asubui mpaka saa 12 jioni Kisha akafa saa 9 mchana siku hiyo hiyo? Na kama hivi mbona unaleta uongo wa wazi
 
Nikukosa kwako elimu tu ,sio kosa langu Mzee,

Unaulizia

"Ameanza kusulubishwa saa 3 asubuhi au saa 6 mchana?"


Biblia inaonyesha wazi kwamba Yesu alisulubiwa saa 3 asubuhi (Marko 15:25), na kuanzia saa 6 kulikuwa na giza (Mathayo 27:45).

Saa 6 si muda wa kusulubiwa bali ni muda ambapo giza lilianza kutanda.


"Na kama alianza kusulubiwa saa 3 asubuhi na kufa saa 9 mchana, hiyo saa 12 jioni imehusikaje?"

Saa 12 jioni haijatajwa kama muda wa kusulubiwa au kufa, bali jioni inaanza baada ya saa 9, wakati mwili wa Yesu ulipoandaliwa kwa mazishi (Marko 15:42-43).

Kwa mfumo wa Kiyahudi, jioni huanza baada ya saa 9 na kabla ya machweo (takribani saa 12 kwa saa za Kisasa).


"Ama unataka kusema alisulubiwa saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni, kisha akafa saa 9 mchana siku hiyo hiyo?"


Hapana, Yesu alisulubiwa saa 3 asubuhi, giza likaanza saa 6 mchana, akafa saa 9 alasiri, na jioni mwili wake ukaondolewa msalabani na kuzikwa kabla ya Sabato.


"Na kama hivi mbona unaleta uongo wa wazi?"

Hakuna uongo hapa, bali ni kutoelewa mpangilio wa muda wa Kiyahudi na maandiko yanavyotaja muda wa matukio.

NAMALIZIA KWA KUSISITIZA SITEGEMEI UJE TENA ,LABDA KAMA UNALETA UBISHI ,MAANA MUDY ALISHAWADANGANYENI NA MKAAMINI

Yesu alisulubiwa saa 3 asubuhi (Marko 15:25).

Giza lilianza saa 6 mchana hadi saa 9 alasiri (Mathayo 27:45).

Yesu alikata roho saa 9 alasiri (Luka 23:46).

Mwili wake uliombwa na kuzikwa jioni kabla ya Sabato (Marko 15:42-43).

Kwa hiyo, hoja inayodai kuwa kuna mkanganyiko wa muda wa kusulubiwa kwa Yesu ni kutoelewa mfumo wa Kiyahudi wa kuhesabu saa na uhusiano kati ya matukio yaliyotokea.
 
Mkuu yesu mwenyewe hakufa wala hakusulubiwa na yeye alisema kabisa.
Soma YOHANA 7:30
 
UISLAMU NI PROJECT YA UKATOLIKI KUITEKA YERUSALEMU

Wanazuoni wote wanajua hili
 
Kwamba mda wa sasa tunaoutumia ni tofauti na wakiyahudi
 
Mkuu yesu mwenyewe hakufa wala hakusulubiwa na yeye alisema kabisa.
Soma YOHANA 7:30
USISOME biblia kama Quran au hadithi

Yohana 7:30 inasema:
"Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyemshika mkono, kwa sababu saa yake ilikuwa haijaja bado."

Aya hii inamaanisha kuwa wakati huo Yesu alikuwa bado hajafika kwenye muda wake wa kusulubiwa, lakini haimaanishi kuwa hakusulubiwa kabisa. Katika mafundisho ya Biblia, kuna nyakati ambazo watu walitaka kumkamata Yesu lakini hawakuweza kwa sababu muda uliopangwa na Mungu haukuwa umefika.

Hata hivyo, maandiko yanaonyesha wazi kuwa baadaye alikamatwa, akahukumiwa, na kusulubiwa. Kwa mfano:

1. Mathayo 27:35 – "Wakam-sulubisha, wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura."


2. Marko 15:25 – "Na ilikuwa saa tatu walipomsulubisha."


3. Luka 23:46 – "Yesu akapaza sauti yake, akasema, 'Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.' Akiisha kusema hayo, akakata roho."


4. Yohana 19:30 – "Basi Yesu alipokwisha kuupokea ule siki, akasema, ‘Imekwisha.’ Akainama kichwa chake, akatoa roho."


Aya hizi zote zinathibitisha kuwa Yesu alisulubiwa na akafa. Kwa hiyo, Yohana 7:30 haipingani na kusulubiwa kwa Yesu, bali inaonyesha kuwa wakati huo hakuwa bado amekamatwa kwa sababu muda wa
ke haukuwa umefika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…