Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Kwa nini huo utatu uwepo , jibu swali langu vizuri, una mahusiano gani na muktadha wa Mungu mmoja na wa kipekee??
Dogma ya utatu inasema Yesu ndiye huyo huyo Mungu baba ,tofauti na maandiko ambayo yanasema YHWH ni Mungu baba na Yesu ni Mungu ,maana wa Mungu

Hata Zaburi inasema hivi

1. Zaburi 45:7 (SUV)

"Umependa haki, umechukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta Kwa mafuta ya furaha kupita wenzio."

2. Waebrania 1:8-9 (SUV)

8 "Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili."
9 "Umeipenda haki, umechukia maasi; Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta Kwa mafuta ya furaha kupita wenzio."

Hapa, maandiko yanaonyesha kwamba:

Yesu ni Mungu, lakini pia anamtambua Baba kama Mungu wake.

Baba amemtia Yesu mafuta (kumtenga na kumtukuza) zaidi ya wenzake, akimpa utukufu wa kipekee.

Hili linathibitisha nafasi ya Yesu kama Mfalme wa milele, aliye juu ya wote.


Huu ni uthibitisho wa Uungu wa Kristo na pia uhusiano wake wa kipekee na Mungu Baba, akionyesha nafasi yake kama Masihi na Mwokozi wa ulimwengu
 
Swali langu si kuwa kwa nini yesu ana majina mengi bali ni kuwa kama Mungu ana mwana anayeitwa yesu naye ni mungu
Je hapo kutakuwa na miungu mingapi?
Mungu ni mmoja ,aliyejidhihirisha kupitia mwanae ,

Alipokuja duniani akaitwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi wenye mwili
 
Hakuna miungu iliyokufa ikarudi...

Wenye akili wataelewa
 
Unaamini yesu ni mungu pia unaamini ni mwana wa mungu je hapo kutakuwa na miungu wangapi tukimjumuisha na roho mtakatifu?
Na nimemuuliza hilo suala la utatu lilianzia wapi??
Na ikiwa Mungu ni wa kipekee, kwa nini maandiko mengine yanapingana na hayo mafundisho.
Na haya mafundisho tangia, nimeanza kujifunza yanachanganya sana , na yanapingana kwa wakati mmoja.


Je , hili linaweza likaamua mstakabali wa biblia??
Na kama yesu alikuja kukamilisha mafundisho yaliyokuwepo na sio kuyatengua , kwa nini mafundisho mengine yanapingana.

Na huu utofauti wa vitabu ulianziaje kati ya wakatoliki na waprotestanti??
 
Mafundisho gani yanapingana?

Wakatoliki wanatumia biblia na mapokeo

Wapo clear mafundisho Yao mengi ni mapokeo sio maandiko
 
Mwambie akujibu
Lakini pia wewe unaweza kutafuta vitabu vya dini zote ili kujiridhisha usiangalie vitabu vya upande mmoja.
 
Kama unaamini kuwa kuna

Kwa hiyo mwanae sio mungu?
Jibu unaamini Zaburi?

ili nikujibu kwa maandiko ya Zaburi

Maana sitaki nikujibu ,halafu unauliza Tena swali hilo hilo

Jibu kabisa naamini au siamini

Mfano Mimi siamini Qurani
 
Kawaulize watu wa utatu ,

Utatu dogma yake wala haihusihani na Uungu wa Yesu,

Yesu ni Mungu kwa mujibu wa maandiko ,fullstop
Kwa hiyo wewe unaamini utatu , au hauamini?

Nimejibiwa utatu , haukuwa mafundisho ya yesu , ulikuja muda mrefu baada ya yesu kuondoka, je hukumu yake ni ipi?
 
Jibu kwanza unaamini Zaburi ? Ili nikileta sitegemei kuulizwa swali hilo hilo Tena

Jibu naamini Zaburi
Je,nikitaka kukuletea maandiko ya Qur’an na mimi nikuulize kama unayaamini au huyaamini?
 
Kwa hiyo wewe unaamini utatu , au hauamini?

Nimejibiwa utatu , haukuwa mafundisho ya yesu , ulikuja muda mrefu baada ya yesu kuondoka, je hukumu yake ni ipi?
Utatu sio fundisho la biblia ,nimejibu huko juu ,Siamini utatu
 
Jibu unaamini Zaburi?

ili nikujibu kwa maandiko ya Zaburi

Maana sitaki nikujibu ,halafu unauliza Tena swali hilo hilo

Jibu kabisa naamini au siamini

Mfano Mimi siamini Qurani
Wewe huna Zabur
Labda uniambie biblia
 
Je,nikitaka kukuletea maandiko ya Qur’an na mimi nikuulize kama unayaamini au huyaamini?
Quran inajulikana ni ya juzi tu hapa ,

Unapouliza habari za Yesu huwez kuzipata kwenye Quran

Ndio maana nimekuuliza unaamini Zaburi ?jibu ndio au hapana

Maana nataka kukujibu kwa Zaburi ,humo Yesu kaelezewa kama Mungu sehemu kubwa ,sasa kabla sijaanza sitaki kupoteza muda ,kwa uliiza maswali yale yale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…