Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je una andiko au uthibitisho kuhusu hili??
Andiko kuhusu nini Mzee ?

Yaani mafundisho ya upagani ya Ukatoliki yalioanzishwa miaka baada ya Yesu unataka andiko kutoka wapi?

Historia ipi wazi haidanganyi
 
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya manabii na mitume,na wazee wa imani

Haya SWALI ,unaamini Zaburi ?ili tufanye mjadala
Nani kavikusanya hivyo vitabu,kwa nini na ni kwa amri ya nani?

Nimekwambia hakuna Zaburi hivyo hata nikakwambia naamini huwezi kuniletea
 
Na nilichogundua wengi ni wapotoshaji, analeta hoja kwa kujeli watu wa dini fulani , bila ya kuwa na uthibitisho.
Kejeli ipi hapo,au dini yako ishaguswa basi unasema ni kejeli

Hamtaki ukweli ,mnataka propaganda
 
Sasa ndiyo umuulize anayekwambia Uislam ni zao la ukatoliki ana ushahidi gani?
Hili halihitaji hata elimu, kasome historia ya Uislamu Hadi mudi anapewa utume

Uislamu ni project ya wakatoliki

Ukate ukubali
 
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya manabii na mitume,na wazee wa imani

Haya SWALI ,unaamini Zaburi ?ili tufanye mjadala
Mimi ninauuliza ni nani , anayewajibika na huu ukusanyaji wa vitabu , na ikawa biblia?

Kwa mantiki hiyo, kwa nini isiwe ni biblia moja wakati wa ukusanyaji wake , badala yake tukaletewa biblia mbili tofauti (wakatoliki na waprotestasti)

Je ni kitabu kipi cha kusema ni sahihi??
 
Manabii hawajaishi wakati mmoja wameishi era tofautitofaut

Simple tu ,unaulizaje swali kama hilo
 
Acha kurudi nyuma rudi kwenye mjadala
Lete hayo maandiko yako unayosema ni zaburi
ZABURI UNAIAMINI ? KABLA SIJAANZA KUSHUSHA NONDO ,NIKISHUSHA NATAKA UKIRI KABISA NI MAANDIKO

SIO NAWEKA MAANDIKO ,UNAYAKATAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…