Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Well said
 
Hizi ndio porojo zisizo na Uthibitisho wa maandiko
 
Hakuna sehemu niliyojinasibisha , na upande fulani . Na nikasema niko hapa ninajifunza, ndio maana ninauliza maswali tuuh , nakuwa natafuta na maandiko , lakini kutokana na uoga wako unakuwa unajilinda kuliko kujibu hoja.
😂😂😂umeshajitokeza acha kujifichaficha sasa

Umeshaeleweka upo upande wa mudi ,kaa hapa utulie uache KUTETEA upagani wa uislamu ,upagani wa Maka wa kuabudu jiwe jeusi,

Eti nakuomba historia unaniletea hadithi na Quran

Hiyo Quran haijaja ,hapo Maka watu wanaabudu hilo jiwe jeusi,
 
Yesu anaelezewa kwa vitabu vilivyopo na hata ambayo alivikuta na alinukuu

Quran ni ya juzi na hatuiamini maana imejaa uongo mwingi sana
Mbona hunijibu kwa nini mnatumia vitabu hivyo kumuelezea yesu?
 
Hizi ndio porojo zisizo na Uthibitisho wa maandiko
Quran sio maandiko ,Quran na Hadith ni porojo ,ndio maana History imekuwa ikiitoa knockout Quran

Historia ipo kabla ya Qurani na Hadith,hivo hakuna atakayeiamini hiyo Quran na ujinga wake
 
Mbona hunijibu kwa nini mnatumia vitabu hivyo kumuelezea yesu?
Nikujibu nini ? Unauliza vitabu ambayo vimeandikwa na wanafunzi na mitume waliomuona Yesu, ulitaka tuamini Quran na hadithi ambazo hazimjui Yesu? Hebu uwe unauliza maswali ya msingi basi

Hivo vitabu vimeandikwa na watu Waliokaa na Yesu na kumuona ,

Ndio maana ni mjinga Pekee ataamini Quran ikumuelezea Yesu maana imekuja juzi
 
Kwa upande wa historia ya kisayansi na akiolojia, hakuna ushahidi wa Ibrahim kujenga Kaaba.

Kaaba ilikuwa sehemu ya ibada ya kipagani kabla ya Uislamu, na Nabii Ibrahim anasingiziwa tu .

hadithi za Kiislamu zinazosema kuwa Ibrahim alijenga Kaaba zina uhusiano na maandiko ya kidini na propaganda za Uislamu zaidi kuliko ushahidi wa kihistoria wa kiakiolojia.


Kwa hiyo, hoja kwamba Ibrahim alijenga Kaaba inahusisha zaidi imani za kidini za Waislamu, na sio uthibitisho wa kihistoria unaokubalika katika mazingira ya kisayansi.

Uislamu ni propaganda
 
Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.”
Kuna neno linasema akae nanyi Milele? Mtume wenu mpaka Leo hakuna anaweza kusema alienda wapi kama ni kuzimu au wapi hamjui. Msaidizi Yesu alimsemelea ni Roho wa Mungu, binadamu katika asili yake ya Dhambi Mungu hawezi kukaa nae lakini Kwa kulipiwa Dhambi zake tumepata neema kuweza kua karibu nae kupitia roho wake
 
Quran sio maandiko ,Quran na Hadith ni porojo ,ndio maana History imekuwa ikiitoa knockout Quran

Historia ipo kabla ya Qurani na Hadith,hivo hakuna atakayeiamini hiyo Quran na ujinga wake
Pia historia ipo kabla ya biblia
 
Quran sio maandiko ,Quran na Hadith ni porojo ,ndio maana History imekuwa ikiitoa knockout Quran

Historia ipo kabla ya Qurani na Hadith,hivo hakuna atakayeiamini hiyo Quran na ujinga wake
Kejeli na porojo kijana, kubali wewe ni mweupe kichwani.

Bila kukejeli hauna hoja mtu hawezi kujifunza kutoka kwako, mara yangu ya mwanzo kuandika nikasema lengo ni kujifunza, ili niweze kuchagua njia sahihi , katika imani. Lakini wewe umeshikilia hilo hilo tuuh.

Kumbuka hizi sio zama , za kumdanganya mtu , nina biblia wakati huo nina softcopy ya quran, kwa hiyo ukishaweka andiko , ndo kujifunza kwenyewe , sasa wewe hoja zako ni mipasho
Mitupu , sio kila kitu unaweza kujibu , mengine unanyamaza wenye ujuzi wanakusaidia kujibu
 
Historia haiendani na biblia
Kamuulize Isack Newton aliyeichambua biblia hasa kitabu cha Daniel

Kimeelezea historia ya tawala zote kuu zitakazoteka ulimwenguni kwa usahihi ,NAKULETEA ushahidi
 
Huna hoja ,ndio maana unaniletea utapeli wa Quran na hadithi eti ndio ithibitishe historia ya zaidi ya miaka 2000

Huo upuuzi ni mkubwa
 
Ikiwa Muhammad alitumwa kwa mataifa yote, kwa nini manabii wa awali walipelekwa hasa kwa Waisraeli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…