Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Historia haiendani na biblia
HII NDIO BIBLIA ,QURAN HUWEZI KUKUTA KITU KAMA HIKI

Andiko:

"Angalia, mji wa Ninawi utateketezwa. Nani atakayeweza kuukwepa?" (Nahumu 1:8)

Utimilifu:

Unabii wa Nahumu ulitimia kwa ukamilifu wakati Wababu waliposhambulia mji wa Ninawi mwaka wa 612 KK. Mji huu, ambao ulikuwa umejaa dhambi na maovu, uliteketezwa kama alivyotabiri Nahumu. Hii ilikuwa ni hukumu ya haki ya Mungu kwa maovu yaliyokuwa yakifanywa na watu wa Ninawi, na hakuna aliyekwepa adhabu.
 
Ikiwa Muhammad alitumwa kwa mataifa yote, kwa nini manabii wa awali walipelekwa hasa kwa Waisraeli?
Mudi hajawahi kutumwa na Mungu wa wayahudi

Mudi alipewa utume na Waraq na Bi Khadija

Mudi ni nabii wa uongo, ndio maana haendani kimafundisho na manabii waliotokea Israeli

Mudi anaingia moja kwa moja kwenye utabiri wa Yesu kuhusu manabii wa uongo wa siku za mwisho
 
Historia haiendani na biblia
VITU KAMA HIVI HUWEZI KUVIPATA KWENYE QURANI ,LAZIMA HISTORIA IKATAE MAANA QURAN IMEJAA UONGO

Andiko la Yeremia 25:8-11:

"Kwa hiyo, Bwana wa majeshi asema hivi: Kwa sababu ninyi hamkusikiliza maneno yangu, tazama, nitawaletea mataifa ya kaskazini, na Bwana, na mfalme wa Babeli, mtawala wangu, nao watakupiga ninyi na miji hii yote, na kutafanya kuwa mawe ya kivumbi. Nanyi mtakuwa mateka kwa mfalme wa Babeli kwa muda wa miaka sabini."

Utimilifu:

Unabii huu ulitimia wakati Wababiloni waliposhambulia Yerusalemu mwaka wa 586 KK, na mji wa Yerusalemu uliteketezwa pamoja na hekalu lake. Waisraeli walichukuliwa mateka kwenda Babeli kama alivyotabiri Yeremia, na walikaa huko kwa miaka sabini kabla ya kurejea kutoka katika utumwa wa Babeli. Huu ni mfano mwingine wa jinsi Mungu alivyotekeleza hukumu yake dhidi ya dhambi za watu wake.
 
Historia haiendani na biblia
QURAN HUWEZI KUKUTANA NA VITU EXACTLY KAMA HIVI ,SABABU QURAN NI PROJECT YA ROMAN CATHOLIC

Andiko: Isaya 13:19-22: "Na Babiloni, utukufu wa falme, mji wa kiburi cha Wakaldayo, utakuwa kama Sodoma na Gomora… Haiwezi kuishi tena, wala watu wa Babeli hawawezi kukalia tena."

Utimilifu: Isaya alitabiri kuanguka kwa Babeli, mji mkuu wa Ufalme wa Babeli. Unabii huu ulitimia mwaka 539 KK, wakati Wajemi walipoiteka Babeli na kuiangamiza. Mfalme Koreshi wa Uajemi aliingilia kati na Babeli ikawa ni kivuli cha kilichokuwa mji wa nguvu.

Ushahidi wa Historia: Babeli ilitekwa na Wajemi chini ya Mfalme Koreshi (Cyrus the Great), na mji wa Babeli uliachwa ukiwa na uharibifu mkubwa. Taarifa hii inapatikana katika maandiko ya kihistoria kama vile Cyrus Cylinder na Historia ya Herodotus.
 
Huna hoja ,ndio maana unaniletea utapeli wa Quran na hadithi eti ndio ithibitishe historia ya zaidi ya miaka 2000

Huo upuuzi ni mkubwa
Je wewe unaamini biblia??
Na kama unaamini, ni sababu ipi inayokufanya uamini uwepo biblia?

Je ulikuwepo nyakati za yesu??
Je dini ni nini??
Na imani ni nini?
Huyo Mungu unayemuamini ushawahi kumuona?

Jibu hayo maswali uache mipasho, uwezo wako wa kujadiliana bado sana , na chakusikitisha badala ya kujibu hoja , unakimbilia kujilinda, kukejeli imani za wengine.
Kwani wewe hujui kuna watu hawaamini uwepo wa Mungu??
 
UNAANZAJE KUNISHAWISHI NISIIAMINI BIBLIA ,NIAMINI UONGO WA QURANI?


ONA MFANO HUU👇👇


Unabii wa Mika kuhusu kuanguka kwa Samaria na Yerusalemu

Andiko: Mika 3:12: "Kwa sababu ya ninyi, mji wa Sayuni utalima kama shamba, na Yerusalemu utakuwa kama makao ya mnyama wa porini."

Utimilifu: Mika alitabiri kuanguka kwa Samaria (mji mkuu wa Ufalme wa Israel) na Yerusalemu. Samaria ilianguka mnamo mwaka wa 722 KK wakati Waashuru walipovamia Ufalme wa Israel, na Yerusalemu ilihusishwa na uharibifu uliofuata wakati Wababiloni waliposhambulia.

Ushahidi wa Historia: Samaria ilitekwa na Waashuru mwaka wa 722 KK na Waisraeli walichukuliwa mateka. Yerusalemu ilikufa mwaka wa 586 KK kama ilivyotabiriwa na Mika, na Wababiloni waliteketeza mji.
 
Je wewe unaamini biblia??
Na kama unaamini, ni sababu ipi inayokufanya uamini uwepo biblia?

Je ulikuwepo nyakati za yesu??
Je dini ni nini??
Na imani ni nini?
Huyo Mungu unayemuamini ushawahi kumuona?

Jibu hayo maswali uache mipasho, uwezo wako wa kujadiliana bado sana , na chakusikitisha badala ya kujibu hoja , unakimbilia kujilinda, kukejeli imani za wengine.
Kwani wewe hujui kuna watu hawaamini uwepo wa Mungu??
HUNA HOJA MZEE, NISIIAMINI BIBLIA NIAMINI NINI TENA?

QURANI HAIWEZ KUKUPA KITU KAMA HIKI

Unabii wa Danieli kuhusu Ufalme wa Babeli na Ufalme wa Roma

Andiko: Danieli 2:44: "Na katika siku za mfalme hao, Mungu wa mbinguni atauinua ufalme usioweza kuanguka, wala hautakuwa na mwisho."

Utimilifu: Danieli alitabiri kuanguka kwa Ufalme wa Babeli, na baadaye Ufalme wa Uroma, na pia alitabiri ufalme wa milele wa Mungu. Huu unahusiana na ufalme wa Yesu Kristo, ambao unaanza na utawala wake wa kiroho.

Ushahidi wa Historia: Ufalme wa Babeli ulitekwa na Wajemi mwaka wa 539 KK. Baadaye, Ufalme wa Uroma ulianzishwa na Julius Caesar na kutawala maeneo makubwa duniani. Ufufu wa Kristo na kuanzishwa kwa Kanisa la Kikristo ulileta ufalme wa milele wa Mungu.
 
Toa
QURAN HUWEZI KUKUTANA NA VITU EXACTLY KAMA HIVI ,SABABU QURAN NI PROJECT YA ROMAN CATHOLIC

Andiko: Isaya 13:19-22: "Na Babiloni, utukufu wa falme, mji wa kiburi cha Wakaldayo, utakuwa kama Sodoma na Gomora… Haiwezi kuishi tena, wala watu wa Babeli hawawezi kukalia tena."

Utimilifu: Isaya alitabiri kuanguka kwa Babeli, mji mkuu wa Ufalme wa Babeli. Unabii huu ulitimia mwaka 539 KK, wakati Wajemi walipoiteka Babeli na kuiangamiza. Mfalme Koreshi wa Uajemi aliingilia kati na Babeli ikawa ni kivuli cha kilichokuwa mji wa nguvu.

Ushahidi wa Historia: Babeli ilitekwa na Wajemi chini ya Mfalme Koreshi (Cyrus the Great), na mji wa Babeli uliachwa ukiwa na uharibifu mkubwa. Taarifa hii inapatikana katika maandiko ya kihistoria kama vile Cyrus Cylinder na Historia ya Herodotus.
Toa udhibitisho kuwa quran ni uongo, je mtu akikuambia biblia unayoitumia wewe na mimi ni ya uongo utamjibuje??
Bila mipasho na nadharia umebakia na ujuaji tu
 
Je wewe unaamini biblia??
Na kama unaamini, ni sababu ipi inayokufanya uamini uwepo biblia?

Je ulikuwepo nyakati za yesu??
Je dini ni nini??
Na imani ni nini?
Huyo Mungu unayemuamini ushawahi kumuona?

Jibu hayo maswali uache mipasho, uwezo wako wa kujadiliana bado sana , na chakusikitisha badala ya kujibu hoja , unakimbilia kujilinda, kukejeli imani za wengine.
Kwani wewe hujui kuna watu hawaamini uwepo wa Mungu??
NISIPOIAMINI BIBLIA YENYE KWELI KAMA HIZI NITAAMINI NINI TENA?

HEBU ONA VITU KAMA HIVI HUWEZI KUVIPATA KWENYE QURANI

Unabii wa Luka kuhusu Uharibifu wa Yerusalemu

Andiko: Luka 19:41-44: "Alipokaribia, akaona mji, akalilia, akisema, 'Laiti ungeshawahi kufahamu, hata wewe, siku yako ya kuokolewa! Lakini sasa imefichwa machoni pako. Maana watajipatia maadui, watakujengea kuta, na kukuzunguka, na kukuangamiza…'"

Utimilifu: Unabii huu unatabiri uharibifu wa Yerusalemu, na ni moja ya unabi ulio wazi kabisa uliofanyika mwaka wa 70 BK.

Ushahidi wa Historia: Katika mwaka wa 70 BK, Wayahudi walitekewa na Wakaldayo wa Kirumi, na mji wa Yerusalemu uliteketezwa kabisa, na Hekalu la Sulemani liliharibiwa. Hii ni matukio yaliyotokea kama ilivyotabiriwa na Yesu katika Luka 19.
 
Kamuulize Isack Newton aliyeichambua biblia hasa kitabu cha Daniel

Kimeelezea historia ya tawala zote kuu zitakazoteka ulimwenguni kwa usahihi ,NAKULETEA ushahidi
Umri wa Dunia – Mwanzo 1:1-31

Biblia: Kitabu cha Mwanzo kinaeleza kuwa dunia na viumbe vyote viliumbwa ndani ya siku sita, na binadamu waliumbwa siku ya sita.

Pingamizi la kihistoria:

Tafiti za kisayansi (kama theory of evolution na uchunguzi wa umri wa dunia kwa njia ya radiometric dating) zinaonyesha kuwa dunia ina umri wa takribani bilioni 4.5, na viumbe waliibuka taratibu kwa muda wa mamilioni ya miaka.

Ushahidi wa akiolojia unaonyesha kuwepo kwa binadamu wa kale waliokuwa hai zaidi ya miaka 200,000 iliyopita, kinyume na tafsiri ya Biblia inayosema binadamu waliumbwa hivi karibuni.

Gharika ya Nuhu – Mwanzo 6:9 – 8:22

Biblia: Inasema kuwa gharika ilifunika dunia nzima, na Nuhu aliingiza kila aina ya mnyama kwenye safina yake.

Pingamizi la kihistoria:

Hakuna ushahidi wa mafuriko yaliyofunika dunia nzima kwa wakati mmoja.

Ushahidi wa kijiolojia unaonyesha kuwa hakujawahi kutokea mafuriko ya ulimwengu wote

Ndege Walioumbwa Kabla ya Wanyama wa Ardhi – Mwanzo 1:20-25

Biblia: Inasema kuwa ndege waliumbwa kabla ya wanyama wa ardhini.

Pingamizi la kihistoria:

Tafiti za kisayansi zinaonyesha kuwa wanyama wa ardhini walikuja kabla ya ndege kulingana na rekodi za visukuku.

Ndege walitokana na dinosaur wa theropod, ambao waliishi baada ya wanyama wa ardhini.

Nyota Ziliumbwa Baada ya Dunia – Mwanzo 1:14-19

Biblia: Inasema kuwa dunia iliumbwa kabla ya nyota na jua.

Pingamizi la kihistoria:

Sayansi inaonyesha kuwa nyota na jua vilikuwepo mabilioni ya miaka kabla ya dunia kuundwa.

Dunia ni sehemu ya mfumo wa jua, kwa hiyo haiwezekani jua kuumbwa baadaye.
 
UNAANZAJE KUNISHAWISHI NISIIAMINI BIBLIA ,NIAMINI UONGO WA QURANI?


ONA MFANO HUU👇👇


Unabii wa Mika kuhusu kuanguka kwa Samaria na Yerusalemu

Andiko: Mika 3:12: "Kwa sababu ya ninyi, mji wa Sayuni utalima kama shamba, na Yerusalemu utakuwa kama makao ya mnyama wa porini."

Utimilifu: Mika alitabiri kuanguka kwa Samaria (mji mkuu wa Ufalme wa Israel) na Yerusalemu. Samaria ilianguka mnamo mwaka wa 722 KK wakati Waashuru walipovamia Ufalme wa Israel, na Yerusalemu ilihusishwa na uharibifu uliofuata wakati Wababiloni waliposhambulia.

Ushahidi wa Historia: Samaria ilitekwa na Waashuru mwaka wa 722 KK na Waisraeli walichukuliwa mateka. Yerusalemu ilikufa mwaka wa 586 KK kama ilivyotabiriwa na Mika, na Wababiloni waliteketeza mji.
Leta uthibitisho huo unaosema acha maneno mengi.
Katika suala la imani , kila mmoja wetu ana amini anavyoona yeye suala la kusema , mtu au kikundi fulani cha watu wamepotoka, bila uthibisho , ni upotoshaji mtupu.
 
VITU KAMA HIVI HUWEZI KUVIPATA KWENYE QURANI ,LAZIMA HISTORIA IKATAE MAANA QURAN IMEJAA UONGO

Andiko la Yeremia 25:8-11:

"Kwa hiyo, Bwana wa majeshi asema hivi: Kwa sababu ninyi hamkusikiliza maneno yangu, tazama, nitawaletea mataifa ya kaskazini, na Bwana, na mfalme wa Babeli, mtawala wangu, nao watakupiga ninyi na miji hii yote, na kutafanya kuwa mawe ya kivumbi. Nanyi mtakuwa mateka kwa mfalme wa Babeli kwa muda wa miaka sabini."

Utimilifu:

Unabii huu ulitimia wakati Wababiloni waliposhambulia Yerusalemu mwaka wa 586 KK, na mji wa Yerusalemu uliteketezwa pamoja na hekalu lake. Waisraeli walichukuliwa mateka kwenda Babeli kama alivyotabiri Yeremia, na walikaa huko kwa miaka sabini kabla ya kurejea kutoka katika utumwa wa Babeli. Huu ni mfano mwingine wa jinsi Mungu alivyotekeleza hukumu yake dhidi ya dhambi za watu wake.
Zungumzia na jinsi inavyokinzana
 
Toa

Toa udhibitisho kuwa quran ni uongo, je mtu akikuambia biblia unayoitumia wewe na mimi ni ya uongo utamjibuje??
Bila mipasho na nadharia umebakia na ujuaji tu
NAONA HUJUI HATA QURAN WALIOIANDIKA NI WALEVI

SIO MANENO YANGU

Ukweli ukoje kuhusu kitabu hiki.


Kitabu cha maisha ya Nabii muhammad. Kinatuelezea kuhusu waandishi wa hiyo Qur'an. Uk.8


Mtu wa awali aliyejifundisha kusoma na kuandika katika mji wa maka alikuwa Bwana Harb bin Ummayya_ babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa yamen na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa maka. Wakati Mtume alipopata Utme walikuwako watu 6 tu katika makka waliokuwa akijua kuandika. 4 katika hao waliingia katika Uislam, wakawa ndio waandikaji "Wahy" (Aya za Qur'an ). Watu hao alikuwa ni

Sayyidna Abubakr.
Sayyidna umar.
Sayyidna Uthman na
sayyidna Ali.


Hawa jamaa ndio maswahaba wa muhammad na nio walio andika hiyo qur'an

Lakini wandishi hawa walikuwa na hali gani?


Maidah 5:93
fafanuzi mwandishi anatupasha habari


93. Aya hizi za kukataza ulevi kwa tashidd hii zimeteremka mwaka wa sita wa Al-jra baada ya kuwa masaba wengi wamekufa na hali ya kuwa wakilewa.
Huyu jamaa naye alipoona kuna kasoro za kilevi akaisahihisha.


Na Shekh Abdullah saleh akaipitia tena tafsiri yake yote nzima kabla ya kutabiishwa chapa ya pili akaongeza ya akasafisha yakusafisha kwa mwisho wa jitihada yake ili iwe na nafuu kubwa na kusahihika kabisa. Lakini kinacho kinachofanywa na Mwanaadam hata kikitengenezwa vipi muhali kusalimika na makosa.
Kumbe quran inamakosa meng
 
NISIPOIAMINI BIBLIA YENYE KWELI KAMA HIZI NITAAMINI NINI TENA?

HEBU ONA VITU KAMA HIVI HUWEZI KUVIPATA KWENYE QURANI

Unabii wa Luka kuhusu Uharibifu wa Yerusalemu

Andiko: Luka 19:41-44: "Alipokaribia, akaona mji, akalilia, akisema, 'Laiti ungeshawahi kufahamu, hata wewe, siku yako ya kuokolewa! Lakini sasa imefichwa machoni pako. Maana watajipatia maadui, watakujengea kuta, na kukuzunguka, na kukuangamiza…'"

Utimilifu: Unabii huu unatabiri uharibifu wa Yerusalemu, na ni moja ya unabi ulio wazi kabisa uliofanyika mwaka wa 70 BK.

Ushahidi wa Historia: Katika mwaka wa 70 BK, Wayahudi walitekewa na Wakaldayo wa Kirumi, na mji wa Yerusalemu uliteketezwa kabisa, na Hekalu la Sulemani liliharibiwa. Hii ni matukio yaliyotokea kama ilivyotabiriwa na Yesu katika Luka 19.
Hili ndio imani lako , kwa kuwa umeshindwa kutoa uthibitisho, kwa mantiki hiyo hakuna atakaye kulazimisha uamini kuwa hakuna Mungu.

Ulichobakiwa ni ubinafsi wa kihoja , na upotoshaji.
 
NAONA HUJUI HATA QURAN WALIOIANDIKA NI WALEVI

SIO MANENO YANGU

Ukweli ukoje kuhusu kitabu hiki.


Kitabu cha maisha ya Nabii muhammad. Kinatuelezea kuhusu waandishi wa hiyo Qur'an. Uk.8


Mtu wa awali aliyejifundisha kusoma na kuandika katika mji wa maka alikuwa Bwana Harb bin Ummayya_ babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa yamen na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa maka. Wakati Mtume alipopata Utme walikuwako watu 6 tu katika makka waliokuwa akijua kuandika. 4 katika hao waliingia katika Uislam, wakawa ndio waandikaji "Wahy" (Aya za Qur'an ). Watu hao alikuwa ni

Sayyidna Abubakr.
Sayyidna umar.
Sayyidna Uthman na
sayyidna Ali.


Hawa jamaa ndio maswahaba wa muhammad na nio walio andika hiyo qur'an

Lakini wandishi hawa walikuwa na hali gani?


Maidah 5:93
fafanuzi mwandishi anatupasha habari


93. Aya hizi za kukataza ulevi kwa tashidd hii zimeteremka mwaka wa sita wa Al-jra baada ya kuwa masaba wengi wamekufa na hali ya kuwa wakilewa.
Huyu jamaa naye alipoona kuna kasoro za kilevi akaisahihisha.


Na Shekh Abdullah saleh akaipitia tena tafsiri yake yote nzima kabla ya kutabiishwa chapa ya pili akaongeza ya akasafisha yakusafisha kwa mwisho wa jitihada yake ili iwe na nafuu kubwa na kusahihika kabisa. Lakini kinacho kinachofanywa na Mwanaadam hata kikitengenezwa vipi muhali kusalimika na makosa.
Kumbe quran inamakosa meng
Bado hayo ni maneno yako maana hujatoa ushahidi wa maandiko
 
Mbona huthibitishi hili dai lako
HALAFU LEO MTU KASHIBA BIRIANI ANANIAMBIA NIIAMINI QURANI😂😂

ONA MFANO HUU 👇

Unabii wa Isaya kuhusu Mtoto atakayezaliwa (Yesu Kristo)

Andiko: Isaya 7:14: "Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: tazama, bikira atapata mimba, atajifungua mtoto mwanaume, na kumwita jina lake Immanuel."

Utimilifu: Unabii huu unahusu kuzaliwa kwa Yesu Kristo, ambaye alizaliwa na Bikira Maria, kama ilivyotabiriwa.

Ushahidi wa Historia: Unabii huu ulitimia katika Mathayo 1:23, ambapo Yesu alizaliwa na Maria, ambaye alikuwa bikira. Yesu alikua "Immanuel," maana yake "Mungu pamoja nasi."
 
Back
Top Bottom