Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Umetumia neno kama "mnavyopelekeshwa". Nikiweka kumbukumbu sawa sidhani kama nimefafanua mimi nipo upande gani zaidi ya kuuliza swali.

Huyu shetani hii nguvu ya kufanya hivyo kapewa na nani? Na kwanini?

Shetani na wafuasi wake ni malaika waasi. Alipomkosea Mungu kule mbinguni alitupwa duniani na wafuasi wake. Hakunyang'anywa ukuu wake kama malaika. Yeye na wafuasi wake wanatumia zile nguvu za kimalaika walizonazo kuwahadaa wanadamu hapa duniani.
Hizi hapa chini ni baadhi ya uwezo wa malaika. Sasa kwakuwa shetani alikosana na Mungu na anafanya juu chini kufanya maovu, anazitumia hizi nguvu hapa chini kufanya kinyume chake;

1. Angels are guardians, shielding individuals from physical and spiritual harm.
2. They can provide guidance and direction in life decisions, sometimes through signs or intuition.
3. Angels can act as messengers, delivering prayers to God on behalf of humans.
4. Angels can motivate people towards good deeds and virtuous behavior.
5. They may alert individuals about potential threats or dangers.
6. Angels can facilitate physical or spiritual healing
7. Angels can deliver divine messages or revelations to individuals
8. Angels can perform miracles
9. Angels are celestial beings who continuously praise and glorify God
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Andiko lako feki feki feki feki.

1. Siyo biblia yote inaitwa Injili, Injili ni ujumbe wa Yesu. Ni vitabu vya agano jipya.

2. Vitabu vya mwanzo, torati na manabii, vilitabiri ujio wa Yesu siyo mpenda mademu

3. Yesu aliposema ataleta msaidizi, hakukusudia Mzee Mudi, alimaanisha Roho mtakatifu. Utabiri ulitimia kwa matendo 2.


Hivyo wacha kujidanganya, Yesu ni Alfa na Omega, baada yake hakuna nabii mwingine aliyetumwa
 
Fundisho la kiislam katika Bibilia hili hapa

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma

Wewe siku utakapo liamini hili andiko na kuyakubali haya ambayo Yesu amekuambia uyamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Na wewe utakuwa Muislam kama Yesu
muachage kupotosha maandiko matakatifu ya Bibla, huyo msaidizi aliyeandikwa ni Roho Mtakatifu, full stop
 
Shetani ni wafuasi wake ni malaika waasi. Alipomkosea Mungu kule mbinguni alitupwa duniani na wafuasi wake. Hakunyang'anywa ukuu wake kama malaika. Yeye na wafuasi wake wanatumia zile nguvu za kimalaika walizonazo kuwahadaa wanadamu hapa duniani.
Hizi hapa chini ni baadhi ya uwezo wa malaika. Sasa kwakuwa shetani alikosana na Mungu na anafanya juu chini kufanya maovu, anazitumia hizi nguvu hapa chini kufanya kinyume chake;

1. Angels are guardians, shielding individuals from physical and spiritual harm.
2. They can provide guidance and direction in life decisions, sometimes through signs or intuition.
3. Angels can act as messengers, delivering prayers to God on behalf of humans.
4. Angels can motivate people towards good deeds and virtuous behavior.
5. They may alert individuals about potential threats or dangers.
6. Angels can facilitate physical or spiritual healing
7. Angels can deliver divine messages or revelations to individuals
8. Angels can perform miracles
9. Angels are celestial beings who continuously praise and glorify God
Kwa reply hii seems like tatizo limeanzia kwa Muumba mkuu
 
YESU wa Quran sio YESU wa wakristo....Mnangangania Vitu visivyo vyenu kila siku.MUhamad ameua watu zaidi ya 800 kwa mikono yake mwenyewe, ajafanya muujiza wowote na ameleta mambo tofauti na yale ya YESU.kuna mpaka haya za Quran zina mpa upendeleo yeye kama yeye.MUngu gani huyo ???

Hawata kuelewa maana wameziba masikio. Alipotaka kuoa mke wa mtoto wake "akajiteremshia" aya ya kumpa go ahead. Alipotaka kuoa wake wengi zaidi ya hao wanne akajifanyia hivyo hivyo. Alipopata challenge ya mwanamke au mkewe akaweka aya za kuwalaani wanawake na kuwafanya nusu watu and the list goes on and on! What a delusional fake prophet.
 
Kwa reply hii seems like tatizo limeanzia kwa Muumba mkuu

Mungu anaruhusu free will ya viumbe wake. Ha-dictate maamuzi ya kiumbe chake. Ukija na mtazamo huo utauliza maswali endlessly. Kwanini Mungu anaruhusu watu wake wema wateseke, kwani kuna vita, kwanini watu wake na njaa, kwanini alimtupa shetani duniani, kwanini asingemuua tu shetani pale alipomkosea badala yake akatuletea hizo shida, kwanini aliruhusu Eva aongee na yule nyoka (shetani) , kwanini Adam alikubali kudanganywa. Huwezi kumaliza maswali. Ila usisahau hata kama haileti maana, Mungu hakosei.
 
Lakini yesu si amesha jua kabisa fulani ataingia motoni au bado hajajua? Maana ulisema hata kabla yuda hajamsaliti alikuwa amesha jua
Sure anajua fate ya kila mmoja wetu, kifo chake anajua kilishaleta ushindi kwa watu wake wanaostahili huo wokovu kutokana na kuwa na hofu ya Mungu, anajua asingejitoa angepoteza wengi (yaani before and after kujitoa kwake, hiyo picha ya ingekuwaje anajua). Anajua alishamwokoa nani, na nani hataokolewa kutokana na maamuzi binafsi ya mtu.
 
Mungu anaruhusu free will ya viumbe wake. Ha-dictate maamuzi ya kiumbe chake. Ukija na mtazamo huo utauliza maswali endlessly. Kwanini Mungu anaruhusu watu wake wema wateseke, kwani kuna vita, kwanini watu wake na njaa, kwanini alimtupa shetani duniani, kwanini asingemuua tu shetani pale alipomkosea badala yake akatuletea hizo shida, kwanini aliruhusu Eva aongee na yule nyoka (shetani) , kwanini Adam alikubali kudanganywa. Huwezi kumaliza maswali. Ila usisahau hata kama haileti maana, Mungu hakosei.
Nimekutolea mfano wa post ya bams na jinsi ulivyo reply, japo hujajibu swali nililikuuliza baada ya ile post, na ofcourse maswali hayawezi isha maana maswali na majibu huongeza uelewa mkuu.
Swali lingine bams kakupotosha na wewe umekubali , describe the scenario in terms of freewill
 
Yaani wanachekeshaga hawa jamaa maana hata ukichukia utaumia moyo na roho, ngoja tuwaombee tu siku moja watatembelewa na nguvu ya YESU.
Sure wako wanaopata neema ya kumjua Mungu. Tusiwalaumu sana, haya maswali na majibu yetu huenda yakaokoa roho moja au mbili.
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Kuna watu waliamua kuiba maandiko ya wengine wakatengeneza dini isiyoeleweka 😃😃😃
 
Sure wako wanaopata neema ya kumjua Mungu. Tusiwalaumu sana, haya maswali na majibu yetu huenda yakaokoa roho moja au mbili.
Mkuu kwa statement hii nina swali la mwisho kwako hata kama yale ya nyuma ukiyapotezea sawa tu swma hili la mwisho natamani kuona reply yako
 
Mathayo 20:23
"Akawaambia, Hakika mtakunywa kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kuume, na mkono wangu wa kushoto, si langu kuwapa; bali watapewa waliowekewa na Baba yangu."

Yohana 5:30
"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo, ndiyo nihukumu; na hukumu yangu ni ya haki; kwa sababu sitafuti mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka."

Mwenyewe hapo amekiri mambo asiyoyaweza

Kama umefuatilia mijadala ya hii post huko nyuma usingekuja na hii hoja. Tutakuwa tunaandika yale yale over and over again. Hiyo hoja yako haijustify point yako kabisa.
 
Hapana. Ni description inayolenga kumtofautisha na miungu wengine, pia anaitwa Mungu wa Eliya, Mungu wa Yakobo nk. Kwa kuwa kuna miungu wengi mfano Allah, sijui miungu wa baharini, miungu jua nk ambayo yote ni miungu fake), kuna ulazima wa kuspecify ni mungu yupi hasa unayemzungumzia. Waisraeli wana historia ndefu sana na Mungu wa kweli, ndiyo maana kuwafanyia reference ni sahihi kabisa.
Na Yesu ni mungu wa akina nani
 
Unatumia criteria gani kujua yupi ni fake na yupi si-fake?

1. God knows everything, past, present, and future
2. God is all-knowing
3. Omnibenevolence - God is supremely good
4. God is all-loving, and God shows compassion and mercy.
5. Omnipresence God is everywhere
6. Holy: God is sacred, revered, and divine
6. Glorious: God is infinitely beautiful and great
7. Fearlessness: God is fearless even in the midst of sorrow
8. Purity of mind: God has a pure mind
9. God is non-violent
10. God speaks the truth
11. Universal: God is universal to all creation
12. God is without limit and unbound
 
1. God knows everything, past, present, and future
2. God is all-knowing
3. Omnibenevolence - God is supremely good
4. God is all-loving, and God shows compassion and mercy.
5. Omnipresence God is everywhere
6. Holy: God is sacred, revered, and divine
6. Glorious: God is infinitely beautiful and great
7. Fearlessness: God is fearless even in the midst of sorrow
8. Purity of mind: God has a pure mind
9. God is non-violent
10. God speaks the truth
11. Universal: God is universal to all creation
12. God is without limit and unbound
Kwa criteria hizi, yakupasa kufuta usemi kwa uliyemuita fake
 
Back
Top Bottom