Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Kwa criteria hizi, yakupasa kufuta usemi kwa uliyemuita fake

Anhaa. Unamaanisha yule anayewaelekeza mlipize visasi, mmalize kizazi cha Myahudi na mueneze dini kwa upanga! Hello, are you there?

Yule aliyewataka mjitenge na kuwaona wengine makafiri. Nina coworker hatoi hata pole kwa "kafiri" akifiwa au kupatwa na janga. Ila yuko mstari wa mbele kuchangia muislam mwenzie akifiwa, my dear you!

Anha! ni huyo anayesema usiadopt watoto yatima kwakuwa ni haramu, ai wewe!, yule aliyemruhusu Mood alale na kabinti kalikokuchuliwa nyumbani kwao wakati kanacheza zake bembea kako na midoli yake, kakaharibiwa kizazi kakashindwa hadi kuzaa maisha yake yote, nyie!

Huyohuyo anayemdiscribe mwanamke kama nusu mtu, kiasi kwako ushahidi wa mwanamke mmoja haujatimia, huko nchi za waarabu wanawake wanaobakwa wanaishia kutiwa kunyongwa hadharani kisa walibakwa?

Huyuhuyo anayetaka mfanye jihad na honor killing, just for Allah wewe ua tu (fyi wetu anasema usiue)

Huyohuyo anayewaahidi wanaume bikra 72 wasioisha bikra, unajua maumivu ya kutolewa bikra wewe, why Allah hates women this much?

Huyohuyo aliyejaa vitisho na hofu kwa wanadamu na full of confusing information?

Huyohuyo anayeyatambua majini kama viumbe wazuri, wakati hayo majini ni shetani na wafuasi wake wanaosubiri adhabu ya milele?

Wakristo leo na wengine wasio Waislam na hata Waislam wenyewe wanateseka sana kwa sababu ya Uislam. Mungu huyu aendele kusaidia taifa hili (tz) liendelee kuvumiliana maana hatujakutana na ile full wrath ya dini yenu. Ila kuna nchi zinateseka sana jamani nyie! Bloodshed everywhere!

Niishie hapa kwa leo. Ila nakushauri usimfananishe Mungu na vitu vya ajabu ajabu! Ila nakupa tu tumaini kuwa Mungu anatupenda sisi sote, mtafute uipate amani na upendo wa kweli.
 
Hakuna cha mtume wala yesu wote ni characters wa kufikirika wanaonakshiwa na kupambwa na hadithi za kufikirika nothing else.

"A man called gonamwitu"
 
Anhaa. Unamaaniaha yule anayewaelekeza mlipize visasi, mmalize kizazi cha Myahudi na mueneze dini kwa upanga! Hello, are you there?

Yule aliyewataka mjitenge na kuwaona wengine makafiri. Nina coworker hatoi hata pole kwa "kafiri" akifiwa au kupatwa na janga. Ila yuko mstari wa mbele kuchangia muislam mwenzie akifiwa, my dear you!

Anha! ni huyo anayesema usiadopt watoto yatima kwakuwa ni haramu, ai wewe, yule aliyemruhusu Mood alale na kabinti kalikokuchuliwa nyumbani kwao wakati kanacheza zake bembea kako na midoli yake, kakaharibiwa uzazi kakashindwa hadi kuzaa maisha yake yote, nyie!

Huyohuyo anayemdiscribe mwanamke kama nusu mtu, kiasi kwako ushahidi wa mwanamke mmoja haujatimia huko nchi za waarabu wanawake wanaobakwa wanaishia kutiwa vitanzi hadharani na kuuliwa kisa walibakwa?

Huyuhuyo qnayetaka mfanye jihad na honor killing, just for Allah wewe ua tu (fyi wetu anasema usiue)

Huyohuyo anayewaahidi wanaume bikra 72 wasioisha bikra unajua maumivu ya kutolewa bikra wewe, why Allah hates women this much?

Huyohuyo aliyejaa vitisho na hofu kwa wanadamu na full of confusing information?

Huyohuyo anayeyatambua majini kama viumbe wazuri, wakati hayo majini ni shetani na wafuasi wake wanaosubiri adhabu ya milele?

Niishie hapa kwa leo. Ila nakushauri usimfananishe Mungu na vitu vya ajabu ajabu!
Bro, mimi nimekuuliza criteria umenitajia, na nikakwambia uliyemuita wewe "fake" hizo criteria ulizo taja wewe anazo. Umekuja na gazeti za debate.

Na wakati huo huo umekuja na maswali ambayo mwanzo uliniambia mimi nikija na mentality za kuuliza maswali .. wewe sasa ndo umeshika usukani mkuu. Ukanipa na last statement kwamba "hata kama vitu havimake sense Mungu hakosei" mimi sikubisha mkuu. Lakini maelezo yote uliyonipa mwanzo umeyavunja kwa sababu nimesema criteria ulizotoa kote zipo.

Mkuu imebidi namimi nije na gazeti sikua na namna mkuu🤣

Lakini kama wewe ni muumini wa debates utakubaliana na mimi kwamba miongoni ya maswali yako uloweka mengi hayapo kwa usahihi na yaliyo kwa usahihi ni mepesi sana. Na kuna vitu umeshutumu ingawa hata kwa upande wako vipo

Last paragraph umenipa ushauri na mimi ushauri mdogo, karibu kwenye angle ya kuuliza maswali kwa maana maswali na majibu huleta uelewa, lakini kwenye kuuliza maswali uwe unauliza maswali yenye taarifa sahihi na sio hearsay. Nasema hivi kwa sababu kwa tone ya maandishi yako naamininutakua mkristo, sasa kwa uzoefu wakristo wengi hua wanapenda kuquote mifano au mistari ya imani zingine kwa hearsay kiasi likija swali onesha inakua tabu. (Na hapa ndo maana hapo juu nimekwambia maswali yako hayapo kwa usahihi, na yaliyo kwa usahihi ni mepesi)
 
Bro, mimi nimekuuliza criteria umenitajia, na nikakwambia uliyemuita wewe "fake" hizo criteria ulizo taja wewe anazo. Umekuja na gazeti za debate.

Na wakati huo huo umekuja na maswali ambayo mwanzo uliniambia mimi nikija na mentality za kuuliza maswali .. wewe sasa ndo umeshika usukani mkuu. Ukanipa na last statement kwamba "hata kama vitu havimake sense Mungu hakosei" mimi sikubisha mkuu. Lakini maelezo yote uliyonipa mwanzo umeyavunja kwa sababu nimesema criteria ulizotoa kote zipo.

Mkuu imebidi namimi nije na gazeti sikua na namna mkuu🤣

Lakini kama wewe ni muumini wa debates utakubaliana na mimi kwamba miongoni ya maswali yako uloweka mengi hayapo kwa usahihi na yaliyo kwa usahihi ni mepesi sana. Na kuna vitu umeshutumu ingawa hata kwa upande wako vipo

Last paragraph umenipa ushauri na mimi ushauri mdogo, karibu kwenye angle ya kuuliza maswali kwa maana maswali na majibu huleta uelewa, lakini kwenye kuuliza maswali uwe unauliza maswali yenye taarifa sahihi na sio hearsay. Nasema hivi kwa sababu kwa tone ya maandishi yako naamininutakua mkristo, sasa kwa uzoefu wakristo wengi hua wanapenda kuquote mifano au mistari ya imani zingine kwa hearsay kiasi likija swali onesha inakua tabu. (Na hapa ndo maana hapo juu nimekwambia maswali yako hayapo kwa usahihi, na yaliyo kwa usahihi ni mepesi)

I can't recall where nimesema usiulize maswali. Unapouliza maswali ambayo yalishatolewa majibu hapo ndipo dhana nzima ya kuuliza maswali inakoposa uhalisia. Nilichoandika hapo siyo hearsay, ni facts tupu zipo either kwenye vitabu vyenu, au zinasomwa kwenye hadithi za Mtume na pia tunashuhudia ulimwenguni kote.
 
I can't recall where nimesema usiulize maswali. Unapouliza maswali ambayo yalishatolewa majibu hapo ndipo dhana nzima ya kuuliza maswali inakoposa uhalisia. Nilichoandika hapo siyo hearsay, ni facts tupu zipo either kwenye vitabu vyenu, au zinasomwa kwenye hadithi za Mtume na pia tunashuhudia ulimwenguni kote.
So far me mimi sijadeclare imani yangu ni ipi hili la kwanza.
Soma tena gazeti langu
 
Nyie watu mnachosha mjue. Mungu wetu ni mmoja anaye-exist katika nafsi tatu yaani Baba, Mwana (Yesu) na Roho Mtakatifu. Mbona mnakuwa wagumu hivyo kukuelewa
Umesema God is all-knowing halafu hapo hapo unasema eti mungu mwana hajui sasa huyo mungu mwana ni Mungu gani?
Halafu kama umesema Mungu Baba anajua na mungu mwana hajui maana yake hapo kuna miungu zaidi ya mmoja
 
Hongera zako Kwa kuwa na Mungu
1) Alikaa tumboni Kwa mama yake miezi 9 so Mungu wako ana mama yake

2)Ana wadogo zake hapa Duniani wa kuzaliwa nae tumbo Moja

3) Alijinyea na kujikojolea alipokuwa mtoto mchanga

4) Alivalishwa nepi na mama yake

5) Alikuwa anakula chakula alafu anaenda chooni kunya

6) Alicheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) Alikuwa fundi seremala akichonga vitanda na makabati Ili ajipatie ridhiki yake

8) Wakati wewe ni Mungu wako Kuna wengine ni mjomba wao maana dada zake walizaa watoto


Ila tambua kuwa sisi waislam na Yesu Mungu wetu ni mmoja na ndio maana hata stail zetu za kumuabudu Mungu wetu zinafanana

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Alafu na andiko hili nakupa kama zawadi Ili ujijue kuwa wewe haufati mafundisho ya Yesu ila unafuata uongo wa wazungu

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Acha kujipendekeza kwa Wayahudi na Yesu kristo ,
 
Umesema God is all-knowing halafu hapo hapo unasema eti mungu mwana hajui sasa huyo mungu mwana ni Mungu gani?
Halafu kama umesema Mungu Baba anajua na mungu mwana hajui maana yake hapo kuna miungu zaidi ya mmoja

Umefuatilia maelezo ya Utatu Mtakatifu? Usingeuliza hili swali hapa ndugu yangu.
 
Kwenye ukristo hakuna mafundisho ya kiislam na biblia haitambui utume wa mohamad zaidi ya kumuona ni nabii wa uongo anayeupotosha ulimwengu. Ni pro ant christ
Waislamu wanalazimisha 🤣🤣
 
muachage kupotosha maandiko matakatifu ya Bibla, huyo msaidizi aliyeandikwa ni Roho Mtakatifu, full stop
Fundisho la kiislam katika Bibilia hili hapa

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma

Wewe siku utakapo liamini hili andiko na kuyakubali haya ambayo Yesu amekuambia uyamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Na wewe utakuwa Muislam kama Yesu

Sisi waislam kazi yetu ni kukufundisheni Kwa sababu nyinyi Wazungu wamekupotezeni
Kuamini au kutoamini hiyo ni juu yako

Si unaona Maneno ya Yesu hayo jinsi yanavyokata maini yako unajifanya kama hauyaoni vile nakuongea vitu vya sjabu
ila Yale Maneno ya Wazungu yanayosema Yesu ndio Mungu wako unayaona Kwa haraka na unayashangilia Kwa sababu wao ndio unao wafuata na Wala sio Yesu

Andiko alilolitoa mtoa mada hiyo Yohana 14 hakuna sehemu yoyote ilipotaja roho mtakatifu bali andiko linasema roho wa kweli

Kwahiyo nyinyi wagalatia hamjui
Roho wa kweli ni nani na roho mtakatifu ni nani ila mpo mpo tu

Hakuna mgalatia yoyote katika Dunia ansyeweza kudibeit na Muislam kuhusu Mungu wa kweli

Tokea lini Miungu akacheza kombolela na watoto wenzake na akatumwa dukani na mama yake akanunie chumvi na mafuta ya taa?
 
Fundisho la kiislam katika Bibilia hili hapa

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma

Wewe siku utakapo liamini hili andiko na kuyakubali haya ambayo Yesu amekuambia uyamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Na wewe utakuwa Muislam kama Yesu

Sisi waislam kazi yetu ni kukufundisheni Kwa sababu nyinyi Wazungu wamekupotezeni
Kuamini au kutoamini hiyo ni juu yako

Si unaona Maneno ya Yesu hayo jinsi yanavyokata maini yako unajifanya kama hauyaoni vile nakuongea vitu vya sjabu
ila Yale Maneno ya Wazungu yanayosema Yesu ndio Mungu wako unayaona Kwa haraka na unayashangilia Kwa sababu wao ndio unao wafuata na Wala sio Yesu

Andiko alilolitoa mtoa mada hiyo Yohana 14 hakuna sehemu yoyote ilipotaja roho mtakatifu bali andiko linasema roho wa kweli

Kwahiyo nyinyi wagalatia hamjui
Roho wa kweli ni nani na roho mtakatifu ni nani ila mpo mpo tu

Hakuna mgalatia yoyote katika Dunia ansyeweza kudibeit na Muislam kuhusu Mungu wa kweli

Tokea lini Miungu akacheza kombolela na watoto wenzake na akatumwa dukani na mama yake akanunie chumvi na mafuta ya taa?
Waambie!!!
 
Ni kweli Mtume Muhammad ﷺ amefariki na hajafufuka na hatofufuka mpaka siku ya kiama na atakayemfufua ni Allah na si yesu ambaye ni binadamu kama yeye.
Siku ya kiama haipo na huyo Allah mwenyewe hayupo kwahyo Kuna uwezekano mkubwa sana hata huyo yesu alikuwa mungu wao kwa wale waliomwamini
 
Siku ya kiama haipo na huyo Allah mwenyewe hayupo kwahyo Kuna uwezekano mkubwa sana hata huyo yesu alikuwa mungu wao kwa wale waliomwamini
Unataka kutuambia nini
Fafanua vizuri labda una hoja za msingi
 
Unataka kutuambia nini
Fafanua vizuri labda una hoja za msingi
Hoja nikwamba usipinge anachoamini mwenzio kwamba yesu atamfufua Mohammad kwa maana wote mnaamini katika ufufuo, pengine kwenu yesu ninyi mnamuita Allah na kwa Allah wanamuita yesu
 
Hoja nikwamba usipinge anachoamini mwenzio kwamba yesu atamfufua Mohammad kwa maana wote mnaamini katika ufufuo,
Sawa nimekuelewa mkuu.
Kwa hiyo inatakiwa nikubaliane nalo tu hata kama najua ni uongo.
 
Muhamad alikuwa mhuni tu ,alikuwa anafanya biashara, baada ya mtaji lumuishia kwa kuhonga vitotozi akaja na plan B, ya kujifanya mhubiri . Ila ukweli kwa kiswahili cha kileo tunasema alikuwa amefuria
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Usilazimishe unalazimisha maandiko
 
Back
Top Bottom