Je, ipo siku watumishi wa umma watasusia au kuacha kazi?

Je, ipo siku watumishi wa umma watasusia au kuacha kazi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Nafahamu tu:
(a). Nyongeza ya mishahara ilisimama mpaka tulipomaliza ujenzi wa barabara nchini - walitulia kimyaa;

(b). Kikokotoo kimepita - wao wametulia kimyaa;

(c). Nyongeza ya mishahara kwa Julai hii haikuonekana benki - tena wako kimya.

SASA JE HILI NI TABAKA LINALOJITAMBUA KWELI?
 
Nafahamu tu:
(a). Nyongeza ya mishahara ilisimama mpaka tulipomaliza ujenzi wa barabara nchini - walitulia kimyaa;

(b). Kikokotoo kimepita - wao wametulia kimyaa;

(c). Nyongeza ya mishahara kwa Julai hii haikuonekana benki - tena wako kimya.

SASA JE HILI NI TABAKA LINALOJITAMBUA KWELI?
Kada zote za watumishi hawajitambui mkuu,wanalialia tu saivi wameongezewa elfu 20🤣🤣
 
Nafahamu tu:
(a). Nyongeza ya mishahara ilisimama mpaka tulipomaliza ujenzi wa barabara nchini - walitulia kimyaa;

(b). Kikokotoo kimepita - wao wametulia kimyaa;

(c). Nyongeza ya mishahara kwa Julai hii haikuonekana benki - tena wako kimya.

SASA JE HILI NI TABAKA LINALOJITAMBUA KWELI?
Unashawishi watumishi wafanye mgomo na kuleta uasi?
 
Nafahamu tu:
(a). Nyongeza ya mishahara ilisimama mpaka tulipomaliza ujenzi wa barabara nchini - walitulia kimyaa;

(b). Kikokotoo kimepita - wao wametulia kimyaa;

(c). Nyongeza ya mishahara kwa Julai hii haikuonekana benki - tena wako kimya.

SASA JE HILI NI TABAKA LINALOJITAMBUA KWELI?
Nani kakwambia ujenzi wa barabara umekamilika nchini?
 
Back
Top Bottom