Je, ipo siku yatajirudia ya Magufuli kwamba Ndege zimeleta faida! Rais Samia atatulazimisha kusema Royal tour imeingiza mabilion? Swali tu

Je, ipo siku yatajirudia ya Magufuli kwamba Ndege zimeleta faida! Rais Samia atatulazimisha kusema Royal tour imeingiza mabilion? Swali tu

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Niliuliza kwamba je mwaka 2025 tutalazimishwa kusema TANZANIA iko uchumi wa kati ? Wakati ni Data za kupika?

Je ipo siku tutaambiwa kwamba Royal tour imezaa matunda wameongezeka watalii mamilion ? Na mapato ya Utalii yamefika mabilioni?

Mama usiingie mtego huu hata kidogo

Najua zitapikwa reports nyingi tu za kuonesha mafanikio, basi yawe ya Ukweli

Pia pitia huku


 
Na Kwanini isingeitwa KATAVI TOUR AU ZANZIBAR TOUR AU SERENGETI TOUR ???iitwe Royal Tour ??
 
Nikiwa kama mdau wa utalii naamini Royal tour italeta impact ingawa tutawamis watalii kutoka Urusi ambao wana mapesa ya kufa mtu hasa familia ya Putin.

Kwa miaka 10 mfululizo tumekuwa tunapokea ugeni wa watu wenye mafungamano na Putin hawa jamaa wakija huwa wanashuka na dolali za kufa mtu na ndege yao wanatembea na cash.
 

Huyu mama Urais hauwezi ni mzigo mzito kwake ! Si Kwa kumuonea huku Kwanini Magufuli alimpa Umakamu kwanza!?

Magu alikuwa shetani muuaji ila kwenye Mambo ya msingi alisimama kusema, badala Leo hii awe anawajibisha wale wa Tarime waliokula Bilion 142 yeye anazindua Royal Tour?? Hii kazi si wafanye kina Aunt Ezekieli?!

Badala Muda huu azungumzie Bilion 4 zilizotolewa kinyemela Kwa mgongo wa wizara ya Nishat na madini tarehe 12-03-2022 anazungumzi filamu!!!

Aisee

Wazanzibar uongozi hawauwezi
 
Hiyo project haijaanzia Tanzania tu, hata Kagame amefanya Royal tour naye.
Kwahiyo tunaiga Kwa kagame? Huyu Peter ndo amefeli hapo Kwa Kagame ndo akasukumizwa huku ? Kataifa haka Kananuka sana Rushwa
 
Kwahiyo tunaiga Kwa kagame? Huyu Peter ndo amefeli hapo Kwa Kagame ndo akasukumizwa huku ? Kataifa haka Kananuka sana Rushwa
Kwani mmeshaacha kumtumia Kagame kama sample au mimi ndio msahaulifu?
 
Huyu mama Urais hauwezi ni mzigo mzito kwake ! Si Kwa kumuonea huku Kwanini Magufuli alimpa Umakamu kwanza!...
Kakosea nini na wapi? Kaikuta nchi hohehahe. Hamuelewi hilo?

Mama Urais anauweza mpaka roho zinawauma, mnakzania "hauwezi" mkiambiwa onesheni kashindwa wapi? Hamna la kusema. Tuondoleeni ukafiri wenu hapa. Mnafikiri nchi zinaendeshwa kwa jazba, mama tartiiib, anweka mambo sawa kote palipoharibiwa.

Sema tu Waislam, ussijifiche nyuma ya Wazanzibar. Tunawafahamu nyinyi.

Mzanzibar wa kwanza alikuwa Ali Hassan Mwinyi, alitutoa kwenye lindi la umasikini aliotuachia Nyerete, na huyu ameshatutoa kwenye lindi la uozo alilotuachia Magufuli, Roho zinawauma kwa Uislam wake tu, hakuna zaidi.
 
Na Kwanini isingeitwa KATAVI TOUR AU ZANZIBAR TOUR AU SERENGETI TOUR ???iitwe Royal Tour ??
Wewe Royal Tour, hizo ni programs ambazo hazijaanzia Tanzania. Hauna "exposure" utazijuaje? Sasa utawapangia wenye brand yao waiite vipi?

Unaonesha hata maana ya Royal tour huielewi.
 
Kakosea nini na wapi? Kaikuta nchi hohehahe. Hamuelewi hilo...
[emoji102][emoji23][emoji23][emoji23]..nyie mbona huyu ana hasira...hem kunywa maji kwanza...ufikishwe kileleni. Stress zipungue.. sasa uislamu hapa umefikaje...wanawake msioridhishwa mna mambo sana..MAMA AKO uraisi hauwezi...ukweli ndo kama huo
 
kwa ilani ya ccm ilivyo mama analeta air bus kama picha treni tuliyopigwa na jiwe
 
Nikiwa kama mdau wa utalii naamini Royal tour italeta impact ingawa tutawamis watalii kutoka Urusi ambao wana mapesa ya kufa mtu hasa familia ya Putin.

Kwa miaka 10 mfululizo tumekuwa tunapokea ugeni wa watu wenye mafungamano na Putin hawa jamaa wakija huwa wanashuka na dolali za kufa mtu na ndege yao wanatembea na cash.
Oo
 
Back
Top Bottom