Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
- Thread starter
- #21
Kwa kosa gani kuwa precise,kuwa anaweza kukamatwa kwa tuhuma fulani? Maana jaji mkuu ana privilege na immunity......na kukamatwa sio kirahisi ivyoo........toa scenario yako vizuri mkuu
Kipi kisichoeleweka hapo? Nimeuliza anakamatika au hakamatiki wewe unaanza kuleta porojo, kwa mfano Raisi wa nchi hakamatiki hapo hkn maelezo mengine!