Je, Japan ndiyo nchi inayoongoza kwa kuthamini Utu na Ubinadamu?

Je, Japan ndiyo nchi inayoongoza kwa kuthamini Utu na Ubinadamu?

Hawa jamaa wamebarkiwa Sana , hata hivyo wamefika hapo Kwa Gharama kubwa , waafrica viongozi wetu ni mamluki wa nchi za Magharibi, tunaogopa Gharama ya kujinasua , Africa isahau kufikia level za Asia ambayo pia nchi nyingi zilipitia adha ya kutawaliwa Ila wakajinasua , mara moja moja nchi za Africa hubahatisha kupata viongozi mashuhuri na wenye maono Ila huishia kusalitiwa na kuuliwa ..kila mmoja apambane na Hali yake tuu
Utengano ni udhaifu, tushikamane, tuinuane, tuinuke!
 
Back
Top Bottom