Toa andiko sio maneno matupu
Lugha ya Yohana ni ya namna ya peke yake.
Injili tatu za mwanzo, Mathayo, Marko na Luka zinamweleza Yesu ni binaadamu.
Lakini Yohana amepindukia mipaka hapa kwa kumweleza Yesu kuwa ni "Neno" kwa maana aliyoipata kutokana na waandishi wa Kigiriki, sio kutokana na maandishi ya Kiyahudi.
Kauli hii haikutajwa katika Injili hizo tatu za mwanzo wala katika vitabu vyote vya Agano la Kale.
Katika karne ya sita kabla ya Yesu kulizuka katika maifalasufi wa Kigiriki nadhariya ya kuwa uumbaji wa ulimwengu haukuzuka ovyo lakini kwa mpango wa kiakili, na ulimwengu wote unaendeshwa kwa kufuata sharia maalumu.
Sharia hii au akili hii au mpango huu waliuwita "Logos", maana yake ni "Neno".
Tunaona tamko hilo linatumika katika "Bio-logy" "Geo-logy" "Psycho-logy", kwa maana ya "ilimu".
Katika zile zile zama za Yesu alikuwako mwanachuoni wa Kiyahudi katika mji wa Iskandaria katika Misri ambaye alikuwa ni mwanachuoni katika ilimu za Kiyahudi na vile vile ni mtaalamu katika falsafa za Kigiriki.
Alijaribu kutaka kueleza mafunzo ya Kiyahudi kwa kutumia hoja za falsafa za Kigiriki. Yeye alitumia hii kauli ya Logos au "Neno"
kwa kueleza ile hekima na busara ya Mwenyezi Mungu katika kuumba. Myahudi huyu akiitwa Filo.
Yohana aliitumia lugha ya huyo Filo na kuingiza ndani yake mawazo ya kipagani akachanganya falsafa ya Kigiriki kwa kumuambatishia Yesu, na kumfanya yeye Yesu ndiye "Logos" au "Neno" na hilo "Neno" lilikuwapo tangu mwanzo, na hilo "Neno"lilikuwa pamoja na Mungu, bali ndilo khasa likawa ni Mungu.
Haya yote hayakusemwa kabisa na Injili zote zilizotangulia, wala Yesu mwenyewe hakuyadai, wala wanafunzi wake hawakupata kumdaia. Tena Yohana alizidi kusema:
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yohana 3.16
Tunaona kwa mara ya kwanza Yesu kuitwa Mwana wa Mungu wa pekee. Lakini hata kulitumia neno "Mwana wa Mungu" kuna maana gani khasa?
Tukiipitia Biblia na kufungua sahifa zake tutaona kuwa jina hilo limetumiliwa kwa watu wengi licha Yesu.
Katika Agano la Kale ambalo lote limeandikwa hata kabla ya Yesu hajazaliwa tunakuta mifano kama hii:
Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
Mwanzo 6.1-2
Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani?
Au ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni,
Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja,
Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
Ayubu 38.6-7
Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari, usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu aliye hai.
Hosea 1.10
Ni dhaahiri tunaona ilikuwa ni jambo la kawaida hata kwa waandishi wa Kiyahudi wanaoamini Mwenyezi Mungu mmoja kutumia maneno kama "wana wa Mungu" kwa kukusudia "vipenzi vya Mungu", au "waja wa Mungu", yaani watu wema.
Mwanachuoni wa Biblia wa Kitaliana, Marcello Craveri, aliyeandika kitabu chake, Maisha ya Yesu (The Life of Jesus), anaamini kuwa neno hilo "Mwana wa Mungu" limegeuka maana kwa kupitiwa na miaka ya makosa ya kufasiri. Ameandika:
"Kwa hakika, Agano la Kale limetumia neno ebed Yahweh, ambalo maana yake ni 'mtumishi wa Mungu', 'mtumwa wa Mungu', 'khaadimu wa Mungu'. Matini ya Kigiriki ya Septuagint imeipa tafsiri ambayo yaweza kuwa na maana mbili, (Pais Theou), hali ya kuwa pais, kama neno puer laweza kuwa maana ya 'mvulana mdogo' au 'mtumwa'.
Baada yake ilikuwa ni wepesi kuliondoa neno pais lenye maana ya 'mvulana' likatiwa neno (hyos)ambalo maana yake ni 'Mwana'."
Lakini wakimaanisha jina mojaTatizo hakuna jina moja wazungu wanamwita Jesus na waswahili wanamwita Yesu na lugha zengine wanamwita vyengine pia sasa hapo tutasemaje ni jina moja?
Malaika wa ovu awajabadilika wamebakia kwenye uovu,pili wao walishahukumiwa tayari, mwanadamu ndo anaesubiria hukumuMalaika waovu huwa nao wana sifa kama za malaika wengine wao wamebadilika?
Yani unaona kabisa hizo ni Translation , alafu unajiona umeweka biblia tofauti nyingi 😁All versions are not saying the same thing!
This chart is by no means complete.
Most Christians recognize the New World Translation (NWT - Jehovah's Witness Bible) for the corrupt work it is. What most Christians don't recognize is the same corruption in their own "Christian" bibles!
AV (King James) New International New American Standard New World Translation Hos 11:12 …but Judah yet ruleth with God, and is faithful with the saints. Judah is unruly against God, even against the faithful Holy One. Judah is also unruly against God, even against the Holy One who is faithful. Judah is yet roaming with God, and with the Most Holy One he is trustworthy. Mt 9:13 for I am not come to call the righteous, but sinners to repentance. For I have not come to call the righteous, but sinners. For I did not come to call the righteous, but sinners. For I came to call, not righteous people, but sinners. Mt 18:11 For the Son of man is come to save that which was lost. OMITTED footnote casts doubt OMITTEDMt 19:17 Why callest thou me good? "Why do you ask me about what is good?" "Why are you asking me about what is good?" "Wny do you ask me about what is good?" Mt 25:13 Ye know neither the day nor the hour wherein the Son of man cometh. You do not know the day or the hour. You do not know the day nor the hour. You know neither the day nor the hour, Mk 10:24 …how hard it is for them that trust in riches to enter into the kingdom of God! …how hard it is to enter the kingdom of God! …how hard it is to enter the kingdom of God! …how difficult a thing it is to enter into the kingdom of God! Lk 2:33 And Joseph and his mother,,, The child's father and mother… His father and mother… its father and mother… Lk 4:4 Man shall not live by bread alone, but by every word of God. Man does not live on bread alone. Man shall not live on bread alone. Man must not live by bread alone. Lh 4:8 Get thee behind me, Satan. OMITTED OMITTED OMITTEDJn 6:47 He that believeth on me hath everlasting life. He who believes has everlasting life. He who believes has eternal life. He that believes has everlasting life. Jn 8:9 And when they heard it, being convicted by their own conscience, went out… …those who heard began to go away… …when they heard it, they began to go out one by one… OMITTEDJn 9:4 I must work the works of him that sent me. We must do the work of him who sent me. We must work the works of Him who sent Me. We must work the works of him that sent me. Jn 10:30 I and my Father are one I and the Father are one. I and the Father are one. I and the Father are one. Ac 2:30 that of the fruit of his loins, according to the flesh, he would raise up Christ to sit on his throne; …he would place one of his descendants on his throne. …to seat one of his descendants upon his throne. …he would seat one from the fruitage of his loins upon his throne. Ac 8:37 If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God. OMITTED footnote casts doubt (some editions just omit it) OMITTED Ac 23:9 Let us not fight against God. OMITTED OMITTED OMITTED Rom 13:9 Thou shalt not bear false witness. OMITTED OMITTED OMITTEDCo 1:14 In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins. In whom we have redemption, the forgiveness of sins. In whom we have redemption, the forgiveness of sins. By means of whom we have our release by ransom, the forgiveness of our sins. 1Ti 3:16 God was manifest in the flesh. He appeared in a body. He who was revealed in the flesh. He was made manifest in the flesh. 1Ti 6:5 Perverse disputings of men of corrupt minds, and destitute of the truth, supposing that gain is godliness: from such withdraw thyself. "from such withdraw thyself" is omitted "from such withdraw thyself" is omitted "from such withdraw thyself" is omitted 1Pe 1:22 Ye have purified your souls in obeying the truth through the Spirit… you have purified yourselves by obeying the truth… Since you have in obedience to the truth purified your souls… Now that you have purified your souls by your obedience to the truth… 1Jo 4:3 And every spirit that confesseth not that Jesus Christ is come in the flesh is not of God. But every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God. And every spirit that does not confess Jesus is not from God. But every inspired expression that does not confess Jesus does not originate with God. Re 5:14 Four and twenty elders fell down and worshipped him that liveth for ever and ever. …the elders fell down and worshipped. …the elders fell down and worshipped. …the elders fell down and worshipped. Re 20:9 Fire came down from God out of heaven… Fire came down from heaven… Fire came down from heaven… Fire came down out of heaven… Re 21:24 And the nations of them which are saved shall walk in the light of it. The nations will walk by its light. And the nations shall walk by its light. And the nations will walk by means of its light.
Wakristo hawana urafiki wa aina yoyote na mashetaniMajini si yapo kanisani huko ndiyo wanatokana kila siku,akianza yesu kuyafurusha,Sasa yamebaki hukohuko kanisani
Kwenye ile filamu napenda sana clip ya yule dogoDesmond Doss alikua ni mwanajeshi kutokea Marekani, alishiriki Vita Ya Pili Ya Dunia kama mtoa huduma ya kwanza. Kipindi chote cha vita alikataa kushika bunduki au kuua adui kutokana na imani yake (alikua ni msabato). Vitani aliweza kuokoa wanajeshi takribani 75 na kupokea medali nyingi za heshima. Alifariki mwaka 2006, Filamu inayohusu maisha yake inaitwa Hacksaw Ridge (2016) iliigizwa na Andrew Garfield
Shetani ni sifa siyo kiumbe,hata wewe unapomtongoza mtoto wa watu ukazini huwa unakua shetani,ukuaji mwingi ilhali hujui chochote,yule aliyekua anapinga story na yesu akawa anamjaribu kule milimani hakua shetani unayemsema!?...akamwambia abadili jiwe kuwa mkateWakristo hawana urafiki wa aina yoyote na mashetani
- Upande wa pili Allah anasema kila muislamu ana shetani yupo nae mpaka Muhammad alikuwa na shetani ambae kawa muislamu
- "I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960
- “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
- Je Kanisani wanayashughulikia yanatoka wapi, Koran inaweka wazi allah anayatuma
- Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Yesu hajajiitapo mwana wa mungu hizo sehemu ambazo amenukuliwa amejiita ni ametiwa maneno hayo kinywani mwake Na waandishiNaridia tena na kukuonya usiseme uongo tena kwamba Yesu hajawahi kujiita mwana wa Mungu
Yani unaona kabisa hizo ni Translation , alafu unajiona umeweka biblia tofauti nyingi 😁
😁
Usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,baba yangu ambaye ni baba yenu,mungu wangu ambaye ni mungu wenu...huwa wanakosea tu kuelewa,Ila jamaa aliwekaga waziYesu hajajiitapo mwana wa mungu hizo sehemu ambazo amenukuliwa amejiita ni ametiwa maneno hayo kinywani mwake Na waandishi
Usilete stori za vijiwe , Muhammad anasema shetani ni kiumbe sio sifaShetani ni sifa siyo kiumbe,hata wewe unapomtongoza mtoto wa watu ukazini huwa unakua shetani,ukuaji mwingi ilhali hujui chochote,yule aliyekua anapinga story na yesu akawa anamjaribu kule milimani hakua shetani unayemsema!?...akamwambia abadili jiwe kuwa mkate
Nenda mazabahuni wakakufanyie ule mchezo walokuzowesha tangu mdogoUsilete stori za vijiwe , Muhammad anasema shetani ni kiumbe sio sifa
- Upande wa pili Allah anasema kila muislamu ana shetani yupo nae mpaka Muhammad alikuwa na shetani ambae kawa muislamu
- "I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960
- “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
- Je Kanisani wanayashughulikia yanatoka wapi, Koran inaweka wazi allah anayatuma
- Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Umesoma hicho ulichoandika?Usilete stori za vijiwe , Muhammad anasema shetani ni kiumbe sio sifa
- Upande wa pili Allah anasema kila muislamu ana shetani yupo nae mpaka Muhammad alikuwa na shetani ambae kawa muislamu
- "I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960
- “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
- Je Kanisani wanayashughulikia yanatoka wapi, Koran inaweka wazi allah anayatuma
- Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
UsipanikiNenda mazabahuni wakakufanyie ule mchezo walokuzowesha tangu mdogo
Usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,baba yangu ambaye ni baba yenu,mungu wangu ambaye ni mungu wenu...huwa wanakosea tu kuelewa,Ila jamaa aliwekaga wazi