Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Asalam wanajamvi?

Niende moja kwa moja kwenye mada! nini kilichopo nyuma ya hilo jina. Nini unakikumbuka ukajiita hilo jina! yapo majina mengi yanatoa tafakari na burudani!

Nikianza na mimi kindikinyer leborosier

Ni muunganiko wa vijiji vinne vilivyoandkwa kwa kifupi:

Kindi ni kijiji kimoja kipo kibosho kilimanjaro ambapo niliwahi kukaa kwa miaka minne nilijifunza uchaga na tamaduni zao zilinivutia na hua napakumbuka sana!

Kinyer (lendikinya) ni mtaa mmoja upo monduli umasaini niliwahi kwenda kusanya data nikajifunza mambo mengi ya kimasai.
Na tamaduni zao pia!

Leboro ni kijiji kingine kipo Manyara wilaya ya mbulu kata ya mama isara, ni chimbuko la wambulu (wairaki) niliwahi kwenda kukaa na kufanya shughuli zangu pale kwa muda pia, ni mahali pako vizur sana milima ile hali ya hewa ya ubaridi.. napakumbuka sana!

Na mwisho sier (esere) ni kijiji kipo wilaya ya ngorongoro mkoa wa Arusha kata ya enduleni, hapa kuna mambo mengi sana yalinifanya niishangae sana Tanzania, madini, mapango ya kale, na nyayo za mtu wa kale ambae zipo pembeni kidogo panaitwa laitolye, wanaishi wamasai nilijifunza mengi pia!!

Nini kinakukumbusha ukitazama jina lako la JamiiForums!!

Uzi tayari
Felista means Happy!
 
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Ebanae... kama kweli vile asee
 
Mbona hujaelezea unavyopasuliwa mayai. Na kwa nini unapenda kuanguka kifudifudi?
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
 
Mimi langu ni jina la course yangu niliyosomea chuo, nimesoma Bcom banking and financial services, huwa napata sms za watu wanahitaji financial assistance wakihisi nahusika na hizo huduma,dooh mwenyewe naunga unga tuu
Nimekusamehe lakini sitakusahau...

Hujambo lakini?

Naomba niwe dawa yako ya kutuliza maumivu
 
"Yaani we mwanaume usingenioa ningekuwa kichaa. Nimeolewa na dawa. Nikijisikia maumivu natamani nikuone ili maumivu yaishe" ... bibi yenu.

Kwanini nisiwe aspirin? Wakati anatamka maneno hayo dawa pekee ya kutuliza maumivu ilikuwa aspirin (wengi hapa baba zenu walikuwa hawajazaliwa, najua kwakuwa nilikuwa boyfriend wa bibi zenu)

Sky Eclat hebu njoo hapa uthibitishe hii kauli kabla sijabadili mawazo
 
"Yaani we mwanaume usingenioa ningekuwa kichaa. Nimeolewa na dawa. Nikijisikia maumivu natamani nikuone ili maumivu yaishe" ... bibi yenu.

Kwanini nisiwe aspirin? Wakati anatamka maneno hayo dawa pekee ya kutuliza maumivu ilikuwa aspirin (wengi hapa baba zenu walikuwa hawajazaliwa, najua kwakuwa nilikuwa boyfriend wa bibi zenu)

Sky Eclat hebu njoo hapa uthibitishe hii kauli kabla sijabadili mawazo
"Yaani we mwanaume usingenioa ningekuwa kichaa. Nimeolewa na dawa. Nikijisikia maumivu natamani nikuone ili maumivu yaishe" ... bibi yenu.

Kwanini nisiwe aspirin? Wakati anatamka maneno hayo dawa pekee ya kutuliza maumivu ilikuwa aspirin (wengi hapa baba zenu walikuwa hawajazaliwa, najua kwakuwa nilikuwa boyfriend wa bibi zenu)

Sky Eclat hebu njoo hapa uthibitishe hii kauli kabla sijabadili mawazo
sawa sawa!! 😊😊😊
 
"Yaani we mwanaume usingenioa ningekuwa kichaa. Nimeolewa na dawa. Nikijisikia maumivu natamani nikuone ili maumivu yaishe" ... bibi yenu.

Kwanini nisiwe aspirin? Wakati anatamka maneno hayo dawa pekee ya kutuliza maumivu ilikuwa aspirin (wengi hapa baba zenu walikuwa hawajazaliwa, najua kwakuwa nilikuwa boyfriend wa bibi zenu)

Sky Eclat hebu njoo hapa uthibitishe hii kauli kabla sijabadili mawazo
I 💖
 
Back
Top Bottom