😂😂😂🙆🙆🙆🙆🙆Ningenenepa bila hata ya kula..
Ahahahah nenda kabisa kwenye lile ziwa lenyewe mkuu lake magadiAstaghafirulilah wallah... acha nikaogee magadi kutoa nuksi
Hebu rudia swali lako mjukuu
wow...uko njema mtoto mtam[emoji8][emoji8][emoji8] napenda watoto wanaojitahidi kujishughulisha, are you employed mamacita?
[emoji23][emoji23]Hahahah sawa mdada mtam tam[emoji39],,, hongera sana mwayego.
Yeah nimeshasema kule juu sababu ni kuwa nilitaka tu jina lolote zuri lenye herufi nane, yaani konsonanti nne na irabu nne zilizojipangilia vizuri ndiyo likaja hili.Uenda halina maana..Ila naamini kuna sababu za kutumia hilo jina
Ningoje tupite woteNapita tu bro..
Mimi ni maushindi tu,hata kwa bao la mkono cha muhimu sijaua mtu.
Ohooo...nimemaanisha ulikuwa huitwi Edelyn unatudanganya... Yaani ujipange upya kunidanganya siku nyingine labda ndo utaweza kunipata....Kuna mtu ameniuliza kwanini nimebadili id ukamuambia akutajie hiyo id yangu ya zamani ili usije ukatongoza mara mbili mimi mwenyewe nikakutajia nikakuambia ni Edelyn ukasema kwamba sijakupata bado nijaribu tena siku nyingine ndiyo nikakuuliza kivipi yaani kwamba umemaanisha nini?
Hapo unazungumzia bao lipi mpendwa??Mimi ni maushindi tu,hata kwa bao la mkono cha muhimu sijaua mtu.
karibu tena[emoji23][emoji23]
Kwani hauna mdomo ? Au umemaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante, haha the other one is my famous nickname wengi wanaonijua nje ya JF wanalijua lile jina na ukizingatia ninayoandika humu sivyo nilivyo basi kuna watu wakaanza kunifuata wakisema hawaamini kama ni mimi ndiyo naandika haya ninayoandika humu
Wakati kiuhalisia mimi ni mpole ila humu naonekana nina mdomo nikasema mimi ndiyo napenda nionekane hivi humu ila nikaona isiwe taabu acha nibadilishe tu nitafute id ambayo hamna mtu yeyote anayenijua anaijua then nikaona hii ndiyo inafaa.
Asante, haha the other one is my famous nickname wengi wanaonijua nje ya JF wanalijua lile jina na ukizingatia ninayoandika humu sivyo nilivyo basi kuna watu wakaanza kunifuata wakisema hawaamini kama ni mimi ndiyo naandika haya ninayoandika humu
Wakati kiuhalisia mimi ni mpole ila humu naonekana nina mdomo nikasema mimi ndiyo napenda nionekane hivi humu ila nikaona isiwe taabu acha nibadilishe tu nitafute id ambayo hamna mtu yeyote anayenijua anaijua then nikaona hii ndiyo inafaa.
Sababu hiyo hapo babuSasa kwanini uliamua kubadili???
Umeelewa sana ila basi tu jeuriKwani hauna mdomo ? Au umemaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaa umenijibu kwa kuchomekea kabisa?Sababu hiyo hapo babu
[emoji6] utani kidogo na uchokozi kwa mbali ila nmekuelewa mkimya mwenzanguUmeelewa sana ila basi tu jeuri