Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Kuna mtu ameniuliza kwanini nimebadili id ukamuambia akutajie hiyo id yangu ya zamani ili usije ukatongoza mara mbili mimi mwenyewe nikakutajia nikakuambia ni Edelyn ukasema kwamba sijakupata bado nijaribu tena siku nyingine ndiyo nikakuuliza kivipi yaani kwamba umemaanisha nini?
Hebu rudia swali lako mjukuu
 
Uenda halina maana..Ila naamini kuna sababu za kutumia hilo jina
Yeah nimeshasema kule juu sababu ni kuwa nilitaka tu jina lolote zuri lenye herufi nane, yaani konsonanti nne na irabu nne zilizojipangilia vizuri ndiyo likaja hili.
 
Kuna mtu ameniuliza kwanini nimebadili id ukamuambia akutajie hiyo id yangu ya zamani ili usije ukatongoza mara mbili mimi mwenyewe nikakutajia nikakuambia ni Edelyn ukasema kwamba sijakupata bado nijaribu tena siku nyingine ndiyo nikakuuliza kivipi yaani kwamba umemaanisha nini?
Ohooo...nimemaanisha ulikuwa huitwi Edelyn unatudanganya... Yaani ujipange upya kunidanganya siku nyingine labda ndo utaweza kunipata....

Umeelewa sasa au twende PM tukanong'onezane??
 
Hahahaha ni kweli babu my former id was Edelyn au waulize hata kina Extrovert na Lizarazu watakwambia
Ohooo...nimemaanisha ulikuwa huitwi Edelyn unatudanganya... Yaani ujipange upya kunidanganya siku nyingine labda ndo utaweza kunipata....

Umeelewa sasa au twende PM tukanong'onezane??
 
Asante, haha the other one is my famous nickname wengi wanaonijua nje ya JF wanalijua lile jina na ukizingatia ninayoandika humu sivyo nilivyo basi kuna watu wakaanza kunifuata wakisema hawaamini kama ni mimi ndiyo naandika haya ninayoandika humu

Wakati kiuhalisia mimi ni mpole ila humu naonekana nina mdomo nikasema mimi ndiyo napenda nionekane hivi humu ila nikaona isiwe taabu acha nibadilishe tu nitafute id ambayo hamna mtu yeyote anayenijua anaijua then nikaona hii ndiyo inafaa.
Kwani hauna mdomo ? Au umemaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante, haha the other one is my famous nickname wengi wanaonijua nje ya JF wanalijua lile jina na ukizingatia ninayoandika humu sivyo nilivyo basi kuna watu wakaanza kunifuata wakisema hawaamini kama ni mimi ndiyo naandika haya ninayoandika humu

Wakati kiuhalisia mimi ni mpole ila humu naonekana nina mdomo nikasema mimi ndiyo napenda nionekane hivi humu ila nikaona isiwe taabu acha nibadilishe tu nitafute id ambayo hamna mtu yeyote anayenijua anaijua then nikaona hii ndiyo inafaa.
Sasa kwanini uliamua kubadili???
Sababu hiyo hapo babu
 
Back
Top Bottom