Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Nilikuwa na J1 visa ambayo ambayo inaangukia kwenye exchange visitor...nilipomaliza exchange programu, nilitakiwa kurudi nyumbani...ndiyo niweze kuapply kurudi twna airha kimasomo, au mambo mengine....so ndiyo tupo kwenye michakatoKwanini uliamua kurudi bongo?
Ooh vizuri.Nilikuwa na J1 visa ambayo ambayo inaangukia kwenye exchange visitor...nilipomaliza exchange programu, nilitakiwa kurudi nyumbani...ndiyo niweze kuapply kurudi twna airha kimasomo, au mambo mengine....so ndiyo tupo kwenye michakato
Yaani kwa mfano wewe umeoa mke.
Wazazi wa kwako na wa mke wako wanaitana kayemba
Wewe itakuwa "Dusky dove"[emoji23][emoji23][emoji23]Black dove...Njiwa mweusi.
.
I'm a black Tanzanian lady. Proudly Tanzanian and Tutsi.
Naomba kuwasilisha
Ukiwa na utaalamu fulani, wenzetu wanajali...lakini kma hunq utaalamu, endapo una green card utapata kazi za kawaida za kutumia nguvu mfano...usafi, uhudumu wa restaurants and the likes...Ooh vizuri.
Kwa binti km Mimi kule Kuna fursa gani halali ninazoweza kufanya!??
Zipi zinalipa zaidi?Ukiwa na utaalamu fulani, wenzetu wanajali...lakini kma hunq utaalamu, endapo una green card utapata kazi za kawaida za kutumia nguvu mfano...usafi, uhudumu wa restaurants and the likes...
Personally, i was teaching Swahili..[emoji15][emoji15]
Ooh kumbe unawapenda wachezaji wa liverpool tu basi??Hawa hawako Kwenye timu yetu Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukiwa na utaalamu fulani, wenzetu wanajali...lakini kma hunq utaalamu, endapo una green card utapata kazi za kawaida za kutumia nguvu mfano...usafi, uhudumu wa restaurants and the likes...
Personally, i was teaching Swahili..[emoji15][emoji15]
Ndiyo.Ooh kumbe unawapenda wachezaji wa liverpool tu basi??
Kwaiyo saivi unaenda kuingia chuo mwaka wa pili[emoji41]
Hahah kwahiyo hata mimi ambaye timu yangu siyo liverpool nakushinda kwenye kuwajua wachezaji wake??Ndiyo.
Maana ndio timu yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ok, InshallahIlikuwa hivyo mkuu nilipata ARU pale mwaka jana lakini ilinibidi niandike barua ya kuahirisha masomo kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu....Am going to restart this year inshaallah..
Inawezekana [emoji23][emoji23][emoji23].Hahah kwahiyo hata mimi ambaye timu yangu siyo liverpool nakushinda kwenye kuwajua wachezaji wake??
naamPiga kitabu Mkuu kwa uwezo wako wote.
Duh mwaka 1989,kumbe kuna wazee humuTalibKweli aka Kweli ni jina ambalo nalitumia kwenye mitandao tofauti ya Kibongo kitambo, ni jina alilonipa swahiba wangu mmoja mnamo mwaka 1989 pale Piraeus,Greece kutokana na kupenda kwangu sana Hip-hop na kutema mistari kama Talib Kweli.
Oohh Gosh!!Inawezekana [emoji23][emoji23][emoji23].
Man u namjua Pogba tu