Teh teh..Ningekuwa nani??..Zero IQ??Ujue una bahati sana kuwa na mke kama mimi. Lasivyo usingekuwa kaboom.
Sawa mkuuAhahah ni ukweli mkuu
[emoji23][emoji23]Watz kwa kweli sisi ni shida.....
Mru yupo radhi kukununulia balimi mpaka utambae...lakimi mchongo wa pesa...hakupi
Wait, sijaelewa hapo kwenye bidhaa kwamba ukinunua bidhaa napo unakatwa kodi kivipi?Kwa sasa sijajua kama utaratibu umebadilika au la...ila kwa kila bidhaa niliyonunua kodi ilikuwa 10% kama sikosei..kwa malipo ya kazi, kwa mfano ukilipwa $9 kwa lisaa, kodi inakuwa ilishakatwa huko huko...
Unapoenda kwa mfano supermarke kununua mahitaji, unakuta kila kitu kina bei...kwa mfano unaweza kuta T shirt imeandikwa $ 10.99....ukiichukua ukaenda kulipia utalipa kama $11.99....Wait, sijaelewa hapo kwenye bidhaa kwamba ukinunua bidhaa napo unakatwa kodi kivipi?
Duh,kwa hiyo ile nipunguzie haipo!??[emoji23][emoji23]Unapoenda kwa mfano supermarke kununua mahitaji, unakuta kila kitu kina bei...kwa mfano unaweza kuta T shirt imeandikwa $ 10.99....ukiichukua ukaenda kulipia utalipa kama $11.99....
Price tag b inakuwa tax excluded, though sometimes unaweza kukuta kuna promotion, basi Wataweka matangazo ya discount na tax free...na hakuna bargaining kama huku kwetu....most of the time, commodities have fixed price..[emoji41][emoji41]
DuuhUnapoenda kwa mfano supermarke kununua mahitaji, unakuta kila kitu kina bei...kwa mfano unaweza kuta T shirt imeandikwa $ 10.99....ukiichukua ukaenda kulipia utalipa kama $11.99....
Price tag inakuwa tax excluded, sometimes unaweza kukuta kuna promotion, basi Wataweka matangazo ya discount na tax free...na hakuna bargaining kama huku kwetu....most of the time, commodities have fixed price..[emoji41][emoji41]
Unajua hio tarehe zile note nyekundu zenye tembo huwa zinakuwa nyingi kwenye wallet..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mademu wananipenda sana hasa ikifika kuanzia tarehe 25 hadi 3 hivi kila mwezi,sijui kwa nini..!!
Hahaa.[emoji23][emoji23][emoji23].To be honest...katika majimbo yote manne niliyokaa kule...sijawahi kuona genge..sijui huyu anauza supu ya pweza, huyu mahindi choma na pilipili, huyu samaki wa leo leo..[emoji23][emoji23] n.k...Duh,kwa hiyo ile nipunguzie haipo!??[emoji23][emoji23]
Huko hakunaga magenge Kama huku kwetu!??
Halafu mkuu hujatuambia zile documents (work permit) upatikanaji wake
Sorry mi mMexico kimombo kinanitia ukakasi mpk nitumie dikshenare
Hatimaye umefufuka kama ulivyosema. Hata sijakumisi kiviiiileHahaha babu na wajukuu wake
Hatimaye umefuduka kama ulivyosema. Hata sijakumisi kiviiiile
Mi bado niponipo sana. Mpaka nikague wajukuu wa wajukuu zangu...[emoji3][emoji3]babu muda wa kuretire jf umefika hii ni generation nyingine ujue
πππππTeh teh..Ningekuwa nani??..Zero IQ??
nn kilitokeaId yangu ni kinyume cha jina la ex wangu,sijawahi kupata kama yeye nimebaki na kumbukumbu hata kuoa sitaki
Niliposoma shule ya msingi na ndipo maji yaliyotumika kwenye vita vya majimaji yalipatikana/chukuliwa na kinjeketile Ngwale katika kitongoji cha Lihenga kilichopo kwenye kijiji cha ngarambi vipi pako powa kwa thread.
wewe mtoto wa juzi tuu..le paritizano.le montana bella cioax2..Kama umeangalia Lacasa de Papel... Kuna nyimbo anapenda kuuimba Berlin na Professor....
Bella ciao maana yake ni kwaheri mrembo, original ya huu wimbo ni wimbo wa mapinduzi katika nchi ya ITALIA