GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wewe 'Kukazwa' kwako hovyo na kwenyewe hayo siyo Matatizo?Watu dizain ya GENTAMYCINE ukiwa na akili timamu hawawizi kukusumbua hata,wanajibizana nao kwenye matusi Hadi wanapigwa ban nao Wana matatizo sn😅
Genta kama genta kwenye ubora wake😂😂😂Wewe 'Kukazwa' kwako hovyo na kwenyewe hayo siyo Matatizo?
Yawezekana Watu8 .
Unaweza kumsoma mtu kupitia mwandiko?nakuruhusu nisome unapatie majibu.
Naweza kusema Niko hivi ama Niko vile kumbe ikawa tofauti na watu wanavyonitazama/nisoma kwa mwandiko
Nasubiri majibu uncle dereva wangu😊😊😉😉😉
Debora Paul Laswai
Maana yake ni chotara kwa lugha ya huko kwao ivory coast. Kuna mujamaa mmoja kutoka huko tulikuwa tunasoma nae ndio siku katika story za hapa na pale likaibuka hilo neno. I liked the sound of it basi ndio likakaaga kumukichwamzabzab tupe maana ya jina lako
Anko punguza jazba kwanza utaugua kisukari 😅Wewe 'Kukazwa' kwako hovyo na kwenyewe hayo siyo Matatizo?
Mimi napuliza na kuvuta.........Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?
Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.
Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?
Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!
Ahsante
😂😂Watu hawataki kuumiza vichwa siku hizi wanarudiarudia nyuzi tu.
Oooow'Mimi bado napenda lile jingine hadi leo moyoni huwa nakuita vile
Oooow'
SweetieLee,
Nililiacha baada ya kuona kuna SweetLee mwingine watu wakawa wanatuchanganya hatari, nikaachana nalo.
Na sababu nyingine tu za kibinadamu.!
Huwa sinywi Bia na Mashoga tafadhali.Anko punguza jazba kwanza utaugua kisukari 😅
Jioni tukutane rose garden tule bia
Ila unakunywa na shemale wenzio😅Huwa sinywi Bia na Mashoga tafadhali.
Humu JF kuna Carleen wengine rafiki yangu..?? Me sijakutana nao akiii'..Ooh ila hata Carleen mbona wapo wengi SL!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Debora Paul Laswai
Huwa unashinda stendi nini? Kwa nini umejiita wa stendi?Aise!!!!!
Ohoo ni vizuri ..☺️
Yes, naweza na kuna mada nyingi huwa sichangii au mtu akiniquote sijibu na huwa baada ya kusoma mwandiko na kuuelewa...
Hata hivyo kwa JF, mwandiko huweza kudanganya sababu kuna baadhi ya werevu hapa wapo ahead of time kwa makusudi kabisa 😊
Ila aunt abiria wangu, wewe mwandiko wako ni mmoja tu labda ubadili kalamu 😉