Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Yawezekana Watu8 .
Unaweza kumsoma mtu kupitia mwandiko?nakuruhusu nisome unapatie majibu.

Naweza kusema Niko hivi ama Niko vile kumbe ikawa tofauti na watu wanavyonitazama/nisoma kwa mwandiko

Nasubiri majibu uncle dereva wangu😊😊😉😉😉

☺️

Yes, naweza na kuna mada nyingi huwa sichangii au mtu akiniquote sijibu na huwa baada ya kusoma mwandiko na kuuelewa...

Hata hivyo kwa JF, mwandiko huweza kudanganya sababu kuna baadhi ya werevu hapa wapo ahead of time kwa makusudi kabisa 😊

Ila aunt abiria wangu, wewe mwandiko wako ni mmoja tu labda ubadili kalamu 😉
 
Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?

Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.

Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?

Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!

Ahsante
Mimi napuliza na kuvuta.........
ndio maana naitwa ras.....
 
Oooow'
SweetieLee,
Nililiacha baada ya kuona kuna SweetLee mwingine watu wakawa wanatuchanganya hatari, nikaachana nalo.
Na sababu nyingine tu za kibinadamu.!

Ooh ila hata Carleen mbona wapo wengi SL!!
 
[emoji23][emoji23]kumbe siku ningemuita mtu mbususu ningeshtukia kofi
Asante kwa kunijuza
 
Heheheh, I chose mine for its ambiguity, kama unatafuta maana utapata tu.
Uchoyo sipendi kabisa so kila mtu achukue maana yake, let your imagination run free.
 
Ooh ila hata Carleen mbona wapo wengi SL!!
Humu JF kuna Carleen wengine rafiki yangu..?? Me sijakutana nao akiii'..
Kipindi hicho kuna watu wengi tu washanifata PM wakijua ni SL yule mwingine..
 
☺️

Yes, naweza na kuna mada nyingi huwa sichangii au mtu akiniquote sijibu na huwa baada ya kusoma mwandiko na kuuelewa...

Hata hivyo kwa JF, mwandiko huweza kudanganya sababu kuna baadhi ya werevu hapa wapo ahead of time kwa makusudi kabisa 😊

Ila aunt abiria wangu, wewe mwandiko wako ni mmoja tu labda ubadili kalamu 😉
Ohoo ni vizuri ..

Ohoo yes wakati mwingine hutokea na inakuwa ngumu kujua labda kama unamjua mhusika basi inakuwa rahisi kidogo.

Uncle dereva hata nikibadilisha kalamu basi mwandiko hautoweza kubadilika😃😃
 
Back
Top Bottom