Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Ohoo ni vizuri ..

Ohoo yes wakati mwingine hutokea na inakuwa ngumu kujua labda kama unamjua mhusika basi inakuwa rahisi kidogo.

Uncle dereva hata nikibadilisha kalamu basi mwandiko hautoweza kubadilika😃😃

😊

Aunt abiria wewe endelea kuniandikia mwandiko wako mzuri, badilisha kwa wengineo 😉😉
 
😍uzuri wangu hauishi kila siku niko binti (sinyora)
 
Mwanao wa kiume muite Ivan sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…