Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Shansarie ....Jina la mtu muhmu sana ktk maisha yangu amenifanya niwe hivi nilivyo bila yeye nisingekuwa hivi nilivyo
 
Reactions: BAK
Abarikiwe sana kwa kukufanya uwe hivyo ulivyo mpaka mwenyewe ukajikubali hivyo ulivyo.

Shansarie ....Jina la mtu muhmu sana ktk maisha yangu amenifanya niwe hivi nilivyo bila yeye nisingekuwa hivi nilivyo
 
Hili jina nililitoa kwenye sehemu za starehe, kuna jamaa alikuwa akiingia sehemu yenye yale maji ya rangi ya mende. Haijalishi ana kiasi gani atazitumia zote hadi kufikia hatua ya kukosa hata nauli ya kurudi home.
 
Reactions: BAK
nimefurahishwa na uzi huu besti imenibidi nami nijisemee kwanini niilijipa jina hili hapa jf
binafsi nami nilikuwa mwanachama wa jf kitambo kirefu sana wakati ilikuwa inaitwa jambo chat enzi zile
niliona michango ya wenzangu humu jamvini yaliyonipa hamasa kubwa na mi kujiunga nilikuwa bado niko guest katika forum hii mnamo mwaka 2006 hadi 2009 ndipo nikaamua kujiunga rasmi 2011 nikijipachika jina hili la Ladyfurahia ambalo maana yake halisi ni mtu mwenye furaha, upendo, mkarimu, mvumilivu na mcheshi kwa watu wote hivyo ndivyo nilivyo hata sasa wewe muuulize Simplicity atakwambia kwani mtu wangu wa karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Hongera zako best naamini hivyo ndivyo ulivyo best hata michango yako mingi hapa inatoa picha hiyo.

 
Such a wonderful thread. And a creative name BAK. The thread provided a glimpse of the creativity behind most usernames as well as the history of JF. You are such an inspiration.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Jawilat ni name ya my sweet and lovely daughter,by the time i had her in my womb nilikua napenda sana kukaa humu Jf,thats why nikamtafutia jina linaloanza na "Ja" na nlipojiunga rasmi ndo nikalitumia as my ID...
 
My appreciation Karucee 🙂🙂


Such a wonderful thread. And a creative name BAK. The thread provided a glimpse of the creativity behind most usernames as well as the history of JF. You are such an inspiration.[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
siko na siku nyingi toka nijiunge na Jf. Nilipojiunga nilitaka kutumia jina la firstlady mbaya zaidi nikamkuta ndani. Hili nilitaka kulitumia sababu they used to call me that name chuoni kwetu. Nikaona sio mbaya, because l am charming let me use charminglady, lol napo pia nikamkuta ndani ya mjengo, nikaona si mbaya, they have my names and l am nameless so l called myself nameless girl.
 
zedovish don=means a leader or a university/collage teacher or aperson who use peaceful means to solve da problem rather dan fightng or using force
 
Mimi jina langu la Bantu lady linaniwakilisha nilivyo, kuanzia rangi yangu ya chocolate, nina natural hair na umbo ni full bantu. Kwahiyo najiwakilisha mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…