Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mimi jina langu katusyo ni shule ya msingi niliyosoma japokuwa sasa hivi nipo tunduma
 
Mkuu hii ID yangu nadhan ni miongoni mwa ngumu kusomeka. Hebu jaribu kuisoma kwa sauti, angalia usije ukaacha ulimi shemeji akakukimbia.....hahaaa

Shieshie...,asante kwa kichina...
 
Hili ni jina la babu mzaa mamangu japo nilipofika sec nilijibatiza kama nick name yangu.
Ulale mahali pema NGANU asilia
 
Last edited by a moderator:


Umefanya nimkumbuke Roulette dah!
Wen zos dei s jf was jf bana!
Tulikuwa tunashinda humu af wala hatugundui kuwa tumekuwepo siku nzima
AshaDii wap na wewe mamiie?
 
Last edited by a moderator:
Umefanya nimkumbuke Roulette dah!
Wen zos dei s jf was jf bana!
Tulikuwa tunashinda humu af wala hatugundui kuwa tumekuwepo siku nzima
AshaDii wap na wewe mamiie?
Roulette nakumbuka alinifundisha french enzi hizo nikiwa sifuri level.. hivi kumbe ni moderator madam??

mbona hii habari haiwi verified?
 
Last edited by a moderator:
Matika wa Chonya, miss Chilonwa....the one and only! Kwa mliokula chumvi kidogo nadhani mnakumbuka kitabu cha "Shida" written by Ndyanao Balisidya. I just loved her character!
 
Charty,jina la mtoto wa kaka angu wa kwanza, she z my queen,my life,my swt,my evrythn,i love her so much!
 
Mlomgeni.kila m/mke nnaezaa nae watu wananshangaa.coz nimezaa na w/ke wanne tofauti.halafu watoto wote watano ni me.
 
"Sir Mimi",,,,7bu kwanza najikubali mimi binafsi,pili hili jina lilitokana na jamaa'angu ambaye kila alipokuwa akinpigia/mpigia simu akipokea kauli ya kwanza ilikua "Yes Sir",siku nliyokua naji-register JF nikiwa ktk kutaka kuandika jina nlilotaka kujiita mara mshkaji akanipigia nilipopokea tu akaanza na kauli yake "Yes Sirr",tulipomaliza maongezi nikaunga unga herufi mwisho ndo hiyoo "Sir Mimi".
 
spyware you can google it i love the way those application function in your pc or phone
 

Maana ya Id yako ndo tunataka sio za Ndugu zako.
 
Last edited by a moderator:
Mko poa wana Jamii forums.

Nimeshaona majina ya kushangaza kweli hapa Jamii forums.Mengine yanatisha(kama la mdau fulani anajiita 'uso wa nyoka').Majina mengine ya kike yananipa hard-on (kama miss neddy).
made me wonder the meaning of some of these ID.

Karibuni tujadiliane nini maana ya ID unayotumia na nini kilikufanya ukachagua hilo jina.

Tunawesmake-inamaanisha tunaweza kutekeleza(we can make it).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…