Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mi ya kwangu inasimama special for watoto wa uswazi,wale ukinianza nakumaliza halafu Kanitangazeni na wengine wanijue vizuri..
 
Wakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia

Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!

Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
why asking ?
 
Hulielewi jina lako?
kwani maana ya kuhide id ni nini tunaelewa tumeficha id zetu na haya ma id feki mengine ni matusi achana na mambo hayo ukishafahamu inakuwaje mkuu kila mtu ameweka ka sababu zake unless uwe umtafutr mtu uliyevutiwa na id yake pm akuelewe?............................

vinginevyo wacha ufukunyuku
 
Wakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia

Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!

Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
fanya kazi wacha kupoteza tyme instead tumia bando yako kwa kujifunza mambo mbalimbali yenye tija maishani mwakokuliko kutaka kujua id za wana jf zina kazi gani ukishajua inakusaidia nini................
 
fanya kazi wacha kupoteza tyme instead tumia bando yako kwa kujifunza mambo mbalimbali yenye tija maishani mwakokuliko kutaka kujua id za wana jf zina kazi gani ukishajua inakusaidia nini................
Jf ina majukwaa mengi
Huenda hata maana ya chit chat huijui
Hujiulizi kwa nini hii topic sjaiweka jukwaa la eimu, uchumi au siasa?
 
Back
Top Bottom