Asantekaribu jf
Mambo weye?Bado sijaelewa nitakuja baadae
Shwari... Mzima Mamy??Mambo weye?
Nawe pia. Msalimie shemejiMzima mwaya!
Asubuhi njema
Hulielewi jina lako?Bado sijaelewa nitakuja baadae
why asking ?Wakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia
Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!
Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
kwani maana ya kuhide id ni nini tunaelewa tumeficha id zetu na haya ma id feki mengine ni matusi achana na mambo hayo ukishafahamu inakuwaje mkuu kila mtu ameweka ka sababu zake unless uwe umtafutr mtu uliyevutiwa na id yake pm akuelewe?............................Hulielewi jina lako?
fanya kazi wacha kupoteza tyme instead tumia bando yako kwa kujifunza mambo mbalimbali yenye tija maishani mwakokuliko kutaka kujua id za wana jf zina kazi gani ukishajua inakusaidia nini................Wakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia
Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!
Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
Jf ina majukwaa mengifanya kazi wacha kupoteza tyme instead tumia bando yako kwa kujifunza mambo mbalimbali yenye tija maishani mwakokuliko kutaka kujua id za wana jf zina kazi gani ukishajua inakusaidia nini................
Inawezekana. Kuna tatizo[emoji28][emoji28][emoji28]Hulielewi jina lako?