Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikublock maduanz sina nafasi naoN
nenda majukwaa mengine hujalazimishwa kuwepo hapa!
Pamoja sana kiongoziPole sana Mkuu endelea kupigania haki yako mpaka kieleweke.
Ata mimi nakuogopa bana!!! Si kwa ukubwa huo wa akiliHapa jukwaani ni paprika tu ndiyo ananiwezea wengine holaaa.[emoji23] [emoji23]
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Hahahaa..No Comment!!
Mimi ni wakawaida sana kwa watu ambao ni standardized tuuh, hapa jukwaani my best friend naamini ni misschagga, sababu life yake ni natural.Ata mimi nakuogopa bana!!! Si kwa ukubwa huo wa akili
kama mimi..la mama na langu nimeunganisha[emoji4]Ndio lina maaana ya majina mawili jina la mama yangu na langu
Safi sanakama mimi..la mama na langu nimeunganisha[emoji4]