Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mimi ni jina nilalosubir kwa hamu kumpa Mtoto wangu wa kiume
 
Msomi uchwara;,wakati nipo chuo nilikua naonekana wakati wa presentation, test na UE, yani hadi quiz wenzangu walikua wananifanyia ,,,nikapata upper second na tokea hapo nikaanza kujiita msomi uchwara
Avatar:, huyo dogo ni Mk yupo katika season inaitwa into the Badland,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alaaa kumbe ndio wewe uliembaka mtoto wa mwenyekiti wa kijiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na BAK maana yake hujatoa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaabad= smart,tough and intelligent , mind game player [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inshort me ni janjajanja

KAABAD THE GREATEST
 
-jimmie ni jina langu halisi

-gatsby ni character ya leonardo dicaprio kwenye the great gatsby (james gatsby)

-avatar..hyo ni Glock G19 Gen4 9x19 pistol maarufu kama glock 9mm
 
SMART PASSENGER = Niliwahi kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar. Sasa tukafika katika eneo moja ambapo matrafiki hukagua abiria...! Aisee huwezi amini Mimi pekee ndo nilionekana kua nmevaa mkanda na tiketi yangu niliyokua nmeishika mkononi barabara tulikuwamo wanavyuo wengi kwenye basi hilo ambao ni watani wangu mmoja tunaye humu JF basi walicheka tulipotoka wakanitania kwa jina hili toka siku hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…