Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Nilikuwa nimepotea wakati sredi hii inaendelea.

Zakumi - Ni mascot iliyotumika kwenye world cup 2010, nchini Africa kusini. Nilichagua mascot hii ni kwa sababu ni chui (Leopard). Mnyama mwenye kupenda uhuru na kuwa pekee yake (solitary animal). Hawezi kufugwa. Hatabiriki. Instinctive. Territorial. Eat fresh meat. Risk taker.

Hivyo nili-create a character yenye persona za chui kama ifuatavyo:-
---Hakuna urafiki wala kujuana hapa JF (solitary animal)
---Hafuati imani au kundi la watu, yuko tayari kutetea au kupinga ideas hata kama atabaki pekee yake (hawezi kufugwa)
---Hana personal issues ana connect dots tu (Instinctive)
---Ana maeneo na topiki zake (territorial)
---Anapenda idea mpya (Fresh meat Easter)
---Mgomvi wa mawazo na haogopi kujaribu (Risk taker)

nimependa.
 
MAMENGAZI: maana yake ni shangazi kwa lugha ya kwetu, baba yangu hupenda kuniita hivyo kwa kua nilipewa jina la shangazi yake wa pekee.
 
Mimi ni dada na pia ni mrembo naamini.
Pretty Ni jina langu halisi na nikiwa home wananiita Da Pretty lakini hata lisingekua langu lazima ningejiita
Da Pretty,nahisi ndio jina pekee linalonipendeza!
Nalipenda jina langu jamani!
 
Yes! jina langu linamaanisha km nilivyo :smile-big::smile-big:
 
Mwenzenu jina langu ni kama linavyojieleza lenyewe, NAZALISHA...
 
Haya twambie kama wewe ndiyo ulikuwa mkali wa kuzishusha namba darasani kwako

THANX......!
NIMEPATA JINA HILI WAKATI TUNAISHI ILALA MTAA WA KILWA NA DODOMA......! MWANZONI MWA MIAKA YA 90...its all about football and not numbers, kulikuwa na mchezaji mmoja ambaye enzi hizo akiitwa KOMPYUTA(manara)....kisha kukawa na jujuman.....then ball juggler malota soma...hawa walipewa majina haya kutokana na uwezo wao wa kucheza na mpira......mimi wakaniita MATHEMATICIAN wakinifananisha na wachezaji hao.....hapa namkumbuka HASSAN MBUNDA"KAWESA"....ATHMAN DIGADIGA "DOUBLE D"...KISELELA....ABDALAH DIMA...N.K
 
Jina langu ni jina la mmoja wa mabinti wa Ayubu (kwenye biblia), maana yake ni: "The horn or child of beauty".
Ni jina la binti wa tatu wa Ayubu, na mimi kwetu ni binti wa tatu! Halfu naipenda na maana yake pia!
 
THANX......!
NIMEPATA JINA HILI WAKATI TUNAISHI ILALA MTAA WA KILWA NA DODOMA......! MWANZONI MWA MIAKA YA 90...its all about football and not numbers, kulikuwa na mchezaji mmoja ambaye enzi hizo akiitwa KOMPYUTA(manara)....kisha kukawa na jujuman.....then ball juggler malota soma...hawa walipewa majina haya kutokana na uwezo wao wa kucheza na mpira......mimi wakaniita MATHEMATICIAN wakinifananisha na wachezaji hao.....hapa namkumbuka HASSAN MBUNDA"KAWESA"....ATHMAN DIGADIGA "DOUBLE D"...KISELELA....ABDALAH DIMA...N.K
mbona sikuwahi kulisikia hili jina japo nimezaliwa na kukulia hapo unapopataja!
 
Mohammed, ni jina nililopewa na wazazi wangu.........napenda kuwa mimi the real me sipendi kuwa fake huyo ndio mimi.
 
Jina langu ni jina la mmoja wa mabinti wa Ayubu (kwenye biblia), maana yake ni: "The horn or child of beauty".
Ni jina la binti wa tatu wa Ayubu, na mimi kwetu ni binti wa tatu! Halfu naipenda na maana yake pia!

Aisee!
 
Hiki ni kijiji maarufu sana kule kwetu kinaitwa MARA SOMOCHE...nakitangaza hapa jamani mkitembelee mkifika Mugumu serengeti
 
Hii ni Amri!

Tatizo ni jinsi ya kulitamka....Hivi Ayubu ndio alilewa mabinti zake wakamlala?

hahahah..!! unaniangusha sasa babu! Vitu kama hivi unatakiwa uvijue ili uwafundishe wajukuu!

Ayubu hakulewa, na hakulala na mabinti zake! Aliyefanya hivyo ni Lutu.

Yaani unanifikiri ingekuwa Keren_Happuch amefanya hayo, ningechukua jina lake, aakha!!!! Tabia nyingine zinatembea na majina ati!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mine means ''Goodwill and lighthearted rapport between or among friends; comradeship''
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahah..!! unaniangusha sasa babu! Vitu kama hivi unatakiwa uvijue ili uwafundishe wajukuu!

Ayubu hakulewa, na hakulala na mabinti zake! Aliyefanya hivyo ni Lutu.

Yaani unanifikiri ingekuwa Keren_Happuch amefanya hayo, ningechukua jina lake, aakha!!!! Tabia nyingine zinatembea na majina ati!

Kumbe unayajua mambo...nlifikiri unabahatisha.

Najua bana, Ayubu ni yule aliyevumilia mateso mengi kwa ajili ya kutetea imani yake ya kutokumkufuru Mungu.....Nakumbuka alipata majipu mwili mzima, damn na majipu yanavyouma OMG!

na hapa usiponigongea senksi ntakususia wiki nzima!
 
Back
Top Bottom