Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mkuu hii ID yangu nadhan ni miongoni mwa ngumu kusomeka. Hebu jaribu kuisoma kwa sauti, angalia usije ukaacha ulimi shemeji akakukimbia.....hahaaa
 
Nikwasababu nilienda kufundisha shule fulan nikashuka sifa za metal nikawa natoa mfano wa sodium na wanafunzi wakanibatiza jina hilo na likawa maharufu
 
nilikuwa kila niligoogle kitu nakupata jf ndo maana nikajiita google helper kwan kiukweli vingi nilipata huku jf so ikawa inaisaidia google kunipa vitu
 
habari zenu wana JF, nimekuwa nikivutiwa na baadhi ya majina ya hapa JF, kuna baadhi ni mepesi kusomeka na kuna baadhi ya majina ni shida hata kuyasoma. Wengi wetu majina tunayotumia ni feki. Je ni sababu gani ilikufanya kuchagua hilo jina unalotumia hapa JF? Mfano mimi, Mussolin, nimetumia jina hili kwa kuwa nilipenda sana falsafa za kidikteta za Benito Mussolini wa Italy, karibuni...

grace aliyejaaliwa kwani nna BAMBATAA HATARI
 
Hadi nafika umri wa miaka 24 kichwani hakuna dalili ya kipara baada ya hapo ndipo kikaanza kuonekana ndio maana nikaita feki.
 
Nahisi mi ni mrembo sana maana majority wananiambia....shemeji yenu mwenyewe nikipendeza afu natoka peke yangu hupata presha ya wivu kwa mdaaaa!!
 
Mkuu hii ID yangu nadhan ni miongoni mwa ngumu kusomeka. Hebu jaribu kuisoma kwa sauti, angalia usije ukaacha ulimi shemeji akakukimbia.....hahaaa

maana yake .ni ahsante ....kwa lugha ya uchina
 
nilifungua microsoft excel maalum kabisa kwa ajili ya kurekodi idadi ya warembo niliowahi kuwaona kiundani kabisa kabisa...

ntafungua m-word baadae kwa ajili ya kuwaandikia barua ya kuwarudia wote kwa pamoja...!

haba na haba huongeza mahaba..
 
Adharusi ina maana ya Mapambano au Vita...ili jina nililichukua katika kamusi ya kiswahili,sijaliokota tu barabarani
 
Last edited by a moderator:
Ni jina langu halisi na herufi mbili za mwishoni ni initials za middle name na surname yangu. :eyebrows:
 
Back
Top Bottom