Je, kama kila ukijaribu myamalize ila mpenzi wako haoneshi kutaka yaishe je kuachana hapo ni uamuzi mzuri?

Je, kama kila ukijaribu myamalize ila mpenzi wako haoneshi kutaka yaishe je kuachana hapo ni uamuzi mzuri?

Joined
Oct 27, 2018
Posts
22
Reaction score
9
Habari zenu bila shaka hamjambo em tupeane fikra hapa kidogo

Je mwanaume kuomba samahani kwa mpenzi wako hua mwisho mara ngapi?
Je suluhu pia isipofanya kazi kuachana ni uamuzi sahihi ?

Tumeishi kwa furaha kwa mda mrefu ila vikombe kugongana lazima kabatini ila huyu mwenzangu kila nikitaka yaishe tusonge mbele naona amekua mzito japo ajanitamkia kuachana ila kumtumia sms hajibu nahata akipokea simu ukitaka suluhu atufiki lengo wanazengo
Kwa mwenye mda ushauri Tafadhali 🙏
 
Habari zenu bila shaka hamjambo em tupeane fikra hapa kidogo

Je mwanaume kuomba samahani kwa mpenzi wako hua mwisho mara ngapi?
Je suluhu pia isipofanya kazi kuachana ni uamuzi sahihi ?

Tumeishi kwa furaha kwa mda mrefu ila vikombe kugongana lazima kabatini ila huyu mwenzangu kila nikitaka yaishe tusonge mbele naona amekua mzito japo ajanitamkia kuachana ila kumtumia sms hajibu nahata akipokea simu ukitaka suluhu atufiki lengo wanazengo
Kwa mwenye mda ushauri Tafadhali [emoji120]

Inategemea na mtu ulie nae. Kuomba msamaha hakutoshi kama hutoonyesha kubadilika.
Mwanaume unaomba msamaha mara moja tu, mara nyingi kutashusha dhamani yako

Lakin pia kama mwenzako hataki ya ishe mpe space, usijiependekeze sana kwake punguza attention. Kama anataka kuendelea atabadilika lakin kama hataki sepa kabisa
 
Inategemea na mtu ulie nae. Kuomba msamaha hakutoshi kama hutoonyesha kubadilika.
Mwanaume unaomba msamaha mara moja tu, mara nyingi kutashusha dhamani yako

Lakin pia kama mwenzako hataki ya ishe mpe space, usijiependekeze sana kwake punguza attention. Kama anataka kuendelea atabadilika lakin kama hataki sepa kabisa
Ni KWELI,Kama msamaha umesha MBA,lkn hataki.wewe tulia tu
 
Huo muda wakuomba omba msamaha mtt wakiumee ULIYEKAMILIKAA unaupata wapii??

Ujui kuachaa.......

Embu tafutaa hela hata km unazo tafutaa nyingii zaidii uishii utavyoo ...

Yaan nikimuona mwanaume mwenzangu analiliaaa mapenzi namwonaa Kama mshambaa .....
 
Inategemea na mtu ulie nae. Kuomba msamaha hakutoshi kama hutoonyesha kubadilika.
Mwanaume unaomba msamaha mara moja tu, mara nyingi kutashusha dhamani yako

Lakin pia kama mwenzako hataki ya ishe mpe space, usijiependekeze sana kwake punguza attention. Kama anataka kuendelea atabadilika lakin kama hataki sepa kabisa
Kama hatokuelewa hapa bas achana nae
 
Mpe space huyo inawezekana ndionwale perfectionists huwa hawatak kukosewa.

Angalia mambo zingine.akijiskia kurud mwenyewe atarud ila kama akikuta na wewe ushasonga mbele kama injil ndio inakua imeishia hapo

Thats how mwanaume anatakiwa awe. Hiyo inamfanya mwanamke aone una life nanmambo mengine above her.
Yeye aamue kuwa part of it or not
 
Thats how mwanaume anatakiwa awe. Hiyo inamfanya mwanamke aone una life nanmambo mengine above her.
Yeye aamue kuwa part of it or not
Yah... ukimbembeleza sana pia inakuha sio sawa.Mara moja na ya pil basi zinatosha sana.
Kwa mawanaume kitu cha msingi ni KAZI ..mishe mishe ..
Ndio kinapaswa kuwa kipaumbele
 
Kuomba msamaha hakuzuii mtu kuerjea makosa, wengine ukuomba msamaha Ili kuiteka saikolojia yako tu
 
Habari zenu bila shaka hamjambo em tupeane fikra hapa kidogo

Je mwanaume kuomba samahani kwa mpenzi wako hua mwisho mara ngapi?
Je suluhu pia isipofanya kazi kuachana ni uamuzi sahihi ?

Tumeishi kwa furaha kwa mda mrefu ila vikombe kugongana lazima kabatini ila huyu mwenzangu kila nikitaka yaishe tusonge mbele naona amekua mzito japo ajanitamkia kuachana ila kumtumia sms hajibu nahata akipokea simu ukitaka suluhu atufiki lengo wanazengo
Kwa mwenye mda ushauri Tafadhali 🙏
Bro ushaachwa kwanini usijiongeze ukatambaa?
 
mmmh! je kama ndio bebi baba wake mzee ??? sizani kama ni rahis kama unavyodhan
Hakuna jambo rahisi kwenye changamoto inayohitaji maamuzi magumu. Kama mtu habadiliki wanini na umeshampa muda?
 
kusikia kwa kenge mpaka atoke damu, toka jana unaambiwa kuwa mwanamke huyo achana naye lakini hutaki kuelewa sasa naanza kuelewa tatizo linalokusumbua ni wewe kuwa GIGOLO.
 
Back
Top Bottom